Wale mliokimbilia kujenga Dodoma poleni sana

Wale mliokimbilia kujenga Dodoma poleni sana

Mi niliwekeza Dom na Chato..nilichukua mkopo sasa nasubiri nyumba yangu iuzwe na benki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji11]pole sana kumbe ndo maana una hasiraa!
Sasa we ukwekeze chato!!!!kwenu hukukuona?![emoji2][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Dodoma labda labda tufanye kitovu cha biashara ili kuweza kukuza mzunguko biashara zote za inter regional zifanyike pale
 
Kipindi Serikali au mtu mmoja aliyeamua katangaza Dodoma kama makao makuu kwa maslai yake, watu wa Mikoani wakakurupuka kutoka huko kwenda kuwekeza Dodoma, sasa mambo yamekuwa magumu wanalalamika [emoji3] biashara zimekuwa ngumu na ni za msimu.

Nyumba walizojenga hazina wapangaji yaani mambo ni tafrani apeche alolo
Watu waliokimbilia huko wanalia wanapauka kwa vumbi na jua, Maji yamejaa chumvi hata kuyanywa ni shida
Ndo mkome kukurupuka kama chafya bila kufikiria.

Hizo nyumba zibebeni mzilete huku kigamboni [emoji4]

Unakimbia Dar unaenda kuwekeza Dodoma sehemu ngumu vile una akili kweli bora ungeenda kuwekeza Arusha, Mwanza, Moshi, Mbeya, Dar
Hayo unayoongea ni uongo!! Dodoma ni moto bro, Tena fire ile moto. Mji huu ni zaidi ya vile unavyofikiria acha propaganda na chuki.in next five years naiona Dodoma mbali sanaaaa. Kodi hapa sio za kitoto lazima ujipange.
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]acheni stress baaasi!mwehu ni ninyi au yeye!!!??mtu amekufa unamuota mwehu ,nyumba zipi hazina soko hapo Dodoma?kuweni basi.

Wenye vyeti feki mnalia sana na magu kwa kua aliwatumbua aliyekufa ,kafa nyie acheni hoja dhaifu za kumponda marehemu,marehemu hana hatia.
Tatzo nyie mnajtetea na maeneo ya hapo town tu na sio dodoma yote
 
Hayo unayoongea ni uongo!! Dodoma ni moto bro, Tena fire ile moto. Mji huu ni zaidi ya vile unavyofikiria acha propaganda na chuki.in next five years naiona Dodoma mbali sanaaaa. Kodi hapa sio za kitoto lazima ujipange.
Sensa ya Mwakani inaweza iweka Dom City Second to Dar au nyuma kidogo ya Mwanza kama Jiji la pili Kwa ukubwa, uchumi na idadi ya watu..

Maana so far in terms of Mapato ya Jiji ,Dom ni second to Dar.
 
Hayo unayoongea ni uongo!! Dodoma ni moto bro, Tena fire ile moto. Mji huu ni zaidi ya vile unavyofikiria acha propaganda na chuki.in next five years naiona Dodoma mbali sanaaaa. Kodi hapa sio za kitoto lazima ujipange.
Nyie mnajitetea na hayo maeneo ya town
 
Back
Top Bottom