The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Ni mradi wa miezi 18,ujenzi unaendelea.Hiv uwanja wa ndege umefkia wap
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mradi wa miezi 18,ujenzi unaendelea.Hiv uwanja wa ndege umefkia wap
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji11]pole sana kumbe ndo maana una hasiraa!Mi niliwekeza Dom na Chato..nilichukua mkopo sasa nasubiri nyumba yangu iuzwe na benki
Sikuwah kuskia nimesoma south AfricaIssue nini hatujui Historia au? Yani maamuzi yakutangaza makao makuu yalikuwa ya mtu mmoja? Keamba wewe tangia unasoma uko primary hukuwai kusikia makao makuu ya nchi yako ni Dodoma?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sabasaba biashara zikiwa ngumu ndio Mji wote ni mgumu? Hamia kwenye Mji unaoujua wewe wenye biashara rahisi.Hivi unaongea nini nenda pale sabasaba uone hali ilivyo ngum biashara hamna
Kabisa then hawa wanaotetea dodoma n watu wanaokaa around town hawaangalii maeneo mengne ya dodomaIla mtu akikusimulia dodoma sasa kwa masifa unaweza kurupuka vibaya[emoji28]
Sasa hiyo ni shida yako,na sie wengine hatuwezi kuja Dar tunaenda kwingine kabisa.Nitoke dar nije kula holiday dodoma si itakuwa matumiz mabaya ya hela
Weng walikurupukaIla mtu akikusimulia dodoma sasa kwa masifa unaweza kurupuka vibaya[emoji28]
Hayo unayoongea ni uongo!! Dodoma ni moto bro, Tena fire ile moto. Mji huu ni zaidi ya vile unavyofikiria acha propaganda na chuki.in next five years naiona Dodoma mbali sanaaaa. Kodi hapa sio za kitoto lazima ujipange.Kipindi Serikali au mtu mmoja aliyeamua katangaza Dodoma kama makao makuu kwa maslai yake, watu wa Mikoani wakakurupuka kutoka huko kwenda kuwekeza Dodoma, sasa mambo yamekuwa magumu wanalalamika [emoji3] biashara zimekuwa ngumu na ni za msimu.
Nyumba walizojenga hazina wapangaji yaani mambo ni tafrani apeche alolo
Watu waliokimbilia huko wanalia wanapauka kwa vumbi na jua, Maji yamejaa chumvi hata kuyanywa ni shida
Ndo mkome kukurupuka kama chafya bila kufikiria.
Hizo nyumba zibebeni mzilete huku kigamboni [emoji4]
Unakimbia Dar unaenda kuwekeza Dodoma sehemu ngumu vile una akili kweli bora ungeenda kuwekeza Arusha, Mwanza, Moshi, Mbeya, Dar
Tatzo nyie mnajtetea na maeneo ya hapo town tu na sio dodoma yote[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]acheni stress baaasi!mwehu ni ninyi au yeye!!!??mtu amekufa unamuota mwehu ,nyumba zipi hazina soko hapo Dodoma?kuweni basi.
Wenye vyeti feki mnalia sana na magu kwa kua aliwatumbua aliyekufa ,kafa nyie acheni hoja dhaifu za kumponda marehemu,marehemu hana hatia.
Pa hovyo sana kule ukienda kuishi labda uwe mwajiriwa ila biashara mmh hapanaMie dodoma sijaenda japo kwa picha tu huwa sipapendi hata kufika sitaki
Kesho ya niniWewe una matope kichwani si bure! Unawaza leo huwazi kesho!
Sensa ya Mwakani inaweza iweka Dom City Second to Dar au nyuma kidogo ya Mwanza kama Jiji la pili Kwa ukubwa, uchumi na idadi ya watu..Hayo unayoongea ni uongo!! Dodoma ni moto bro, Tena fire ile moto. Mji huu ni zaidi ya vile unavyofikiria acha propaganda na chuki.in next five years naiona Dodoma mbali sanaaaa. Kodi hapa sio za kitoto lazima ujipange.
Kote ni hovyo tuSabasaba biashara zikiwa ngumu ndio Mji wote ni mgumu? Hamia kwenye Mji unaoujua wewe wenye biashara rahisi.
Huna hela ndo maana wewe endelea kupigwa na jua hukoSasa hiyo ni shida yako,na sie wengine hatuwezi kuja Dar tunaenda kwingine kabisa.
Basi tulia hivyo hivyoKote ni hovyo tu
Nyie mnajitetea na hayo maeneo ya townHayo unayoongea ni uongo!! Dodoma ni moto bro, Tena fire ile moto. Mji huu ni zaidi ya vile unavyofikiria acha propaganda na chuki.in next five years naiona Dodoma mbali sanaaaa. Kodi hapa sio za kitoto lazima ujipange.
Ndio hivyo Sina pesa ,wewe endelea kutembea kwenye kivuli cha Dar is slumHuna hela ndo maana wewe endelea kupigwa na jua huko
Kwani tunazungumzia kijijini au town?Nyie mnajitetea na hayo maeneo ya town