kemondaro 57
Member
- Mar 29, 2021
- 46
- 46
Jua la Dodoma utalilinganisha na la Dubai au Cairo? Hii mitandao imetuletea wajinga wengi mnooo!!!Lile jua ni balaa linawaka mapema asubuhi kali, ardhi ina magadi ya kutosha, serikali iliyokuwa ya kizalendo haiwezi kuendelea kumwaga mabilioni ya shilingi jangwani.
Sent using Jamii Forums mobile app