Mbona Tanga na mtwara kuna bahari lakini choka mbaya.Dar inabebwa na location yake Bahari ni kitu ingine Mkuuu
Labda dodoma nao watengeneze bahari yao ila Dar ni unbeatable kwa TZ Dar case yake ni ya kusikilizwa na JAJI wa mahakama kuu not otherwise.
Yalikua sahihi Sana ,nakuunga mkono,boss kubwa,haiwezekani miaka yote vichwa vyawatanzania tuwaze DAR miaka nenda Rudi,mbona nchi zingine kuna big cities zaidi yamoja,Sasa kwanini dodoma isiwe makao makuu, hangaya anapenda tuu kukaa dar ila maamuzi ya kuhamia dodoma yalikuwa sahihi
Huna pesa ya kupanga nyumba dom
Sasa kwanini dodoma isiwe makao makuu, hangaya anapenda tuu kukaa dar ila maamuzi ya kuhamia dodoma yalikuwa sahihi
Kwani kukaa kigamboni ndo kuwa na pesa?Pesa mi nakaa kigamboni
Mkuu pa hovyo kwa nani!Dar itaendelea kuwa dar huwezi kulinganisha na huko jangwan mahala pa hovyo
Dar kuna utalii gani au manungayembe nao ni utaliii????Hivi ddma wanazalisha nini? Utalii hamna, viwanda hamna, uzuri hamna., miti hamna, maji hamna
Mkuu pa hovyo kwa nani!
Dar kuna utalii gani au manungayembe nao ni utaliii????
Mkuu mayunga utumwa wafikra ndo sababu ya kuwa na jiji zuri moja tabu! Lakini isingekuwa hivyo mbona majiji mengi yangekuwa kama Dar na tungeongeza njia za kiuchumi.Huwez kulinganisha na mikoa mingine kama dar
Ni kweli siwezi linganisha kwasababu unakuta dume zima la mkoa huo linaogopa mende au mjusi, hali hiyo huku kwetu hukutani nayoHuwez kulinganisha na mikoa mingine kama dar
acha upumbavu, amesema kilimanjaro hajasema moshi (wilaya).Ebu acha ujinga unaweza kucompare dodoma na moshi hivi wewe una akili timamu kwel
mwaka huu wa 2022 hakuna hiyo mafuruko na walishapatengeneza, maji yatapita tu.Kumekucha Na Hii Mvua Ya Leo Zile Nyumba 200 Zilizomezwa huu Na Nkuhungu Ndiyo Shida
Hakuna mtu mwenye akili timamu, ambaye sio mwenyeji, angeenda kujenga/kuwekeza chato simply cause ni nyumbani kwa rais.Bora hata Dom je wale waliojenga Chato?