Ukamtatulie na matatizo yake ya ndoa basi maana una kiherehere na maisha ya watu kama vile umeolewa. Mwanaume wa hovyo. Huruma kwa aliyeolewa na wewe[emoji706] punguza kushinda vibarazani ma dada zakoJamvi la wageni kila siku halikosi wageni.
Dada yangu alishaolewa long time.
Yaap olewa sio kwa kua Fulani ameolewa au umri umeenda hapana utajuta sanaAmiin ahsante dear[emoji7]
This..... nakazia!Thank you boss... na huwa nachukia sana mambo fake fake. People are so fake. Ni mateso kwa kweli. Unajua kbs hiki kitu siyo real ila ndo hivyo
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Thank you so much , hujui tu ulivonifariji sana, ubarikiwe😍😍Yaap olewa sio kwa kua Fulani ameolewa au umri umeenda hapana utajuta sana
Ndoa ni wawili ,mume ni kiongozi ,mama ni msaidizi.
Olewa na rafiki yako"marry your best friend!"utainjoi mnooo!!!
Usiolewe kufurahisha watu au wazazi,olewa kwa kua umepata mwenza sahihi!partner, a should to cry on!a friend and very best friend
Usitamani ndoa na usijiskie vibaya kwa kua hujaolewa mpk Leo ,kawaida sanaa!Siku yako bado..tafuta mwanaume atakaekua kichwa
Kingine hakuna usawa kwenye ndoa,muache mwanaume abebe majukumu yake msaidie panapobidi,hata kama mshahara wako unamzidi 100*jua kua mume ni kichwa na wewe ni moyo!
I swear utainjoi sana muhimu wanadamu tuna mapungufu hatujakamilika Yale madogo yapuuze!angali wema wake kwako na ubaya ndipo upime kama ni mwenza sahihi au sio sahihi kwako..mwanaume mpigaji sikushauri akuoe dear utapata taabu
Mjenge mwanaume akufahamu mapema sana tabia zako ili asikushangae baadae!
Usivumile manyanyaso ktk mapenzi utasuffer consequences!
BTW happy Valentine and I love you[emoji7]
Unapindisha maneno tuu ila ukweli ni huo niliousema
Still young!Am in my early 30s mkuu
Ata mm nimemwelewa sana kamwaga point tupuThank you so much , hujui tu ulivonifariji sana, ubarikiwe😍😍
Tatizo mabinti mkiwa kwenye 20s mnakuwa wa moto moto akija msela myajenge muoane mnaruka ruka kama popcorn kisa tu kuna wahuni kibao wanawatongoza.
Little do you know kuwa unapo pass up kila opportunity na probability ya kuolewa nayo inazidi kupungua.
Aisee!Mkifika umri huo hamjui mnataka nini, mkikuta pm huko mnaleta masharti kama ya mganga wa kienyeji wakati mmeshakua magazeti ya jioni, kiufupi muache machaguo na kama na wewe ushafika huko jifunze kutokaza komwe au laah utaliwa na kubwagwa
financial service! mi nilishatangazaga ndoa umu jf natafuta mke hatmaye we ndio ukawa wa kwanza kabisa kunipinga, sasa leo hii umeona unaanza kuweweseka? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila nafas bado ipo ...... ukihis unataka kufa na pressure sababu ya 30+ years usione soooooo we ni P.M tu mi nitakuondolea iyo pressure yako sawa [emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]?Hello wakuu!,
Happy Sunday to everyone, karibuni kwa maoni yenu, je ni kweli ukiwa above 30yrs kuna possibility ya kutokuolewa kwa wadada? Sababu ni nini, kwani suala la ndoa linazingatia umri na si upendo baina yenu mnaotarajia kuwa wanandoa? Mliooa na kuolewa katika umri huo je kuna tofauti yoyote mnayoiona? Maisha yanaendaje? Ushauri wenu ni upi kwa wengine?.
Kumekuwa na maneno ya kutishana mitaani na hata baadhi ya threads humu kwamba mdada ukiwa na 30s ndiyo basi tenaa, sometimes hupelekea wadada kuolewa tu na mtu yeyote hata wasiyempenda sababu tu ya kigezo hicho kwamba she's in her 30s na anahofia atakosa ndoa.
Zamani mtaani kwetu nilikuwa nikisikia wakisema aunt fulani hajaolewa hadi leo, wanamshangaa, naona sasa kibao kimegeuka nimekuwa huyo aunt pia aah[emoji23].
Karibuni na muwe na Jumapili njema...
Ok sawafinancial service! mi nilishatangazaga ndoa umu jf natafuta mke hatmaye we ndio ukawa wa kwanza kabisa kunipinga, sasa leo hii umeona unaanza kuweweseka? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila nafas bado ipo ...... ukihis unataka kufa na pressure sababu ya 30+ years usione soooooo we ni P.M tu mi nitakuondolea iyo pressure yako sawa [emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]?
Nakukubali sana mama [emoji3590][emoji3590][emoji3590]Watu hawatakiwi kuoa au kuolewa sababu ya umri jamani, watu wanatakiwa kuoa au kuolewa sababu wamepata wenza wakuwatosheleza na kuwakamilisha
Miaka 30 sio tatizo financial services
Mama hata sijui nikupe nn, unajua kunifurahisha mno, [emoji7][emoji7][emoji7]Acha kukariri maisha na pia usilazimishe mipango ya maisha yako wewe iwe ya mwingine
Sio lazima kila mtu aolewe au azae
Sio lazima kila mtu aolewe akiwa 20s 30s
Sio lazima kila mtu awe na watoto na sio kila anayezaa akiwa 30plus hawezi kucheza na watoto
Ndoa, watoto, mali, mafanikio ni majaliwa na mipango binafsi ya mtu
Kuna watu walazimisha kuoana au kuishi wanaishi kuuana
Kuna couples wanapata watoto wanawatelekeza ili wale bata
Kuna couples wanaoana lakini sio kwaajili ya kuzaa sababu hawajajaliwa au sababu hawajapendezwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukamtatulie na matatizo yake ya ndoa basi maana una kiherehere na maisha ya watu kama vile umeolewa. Mwanaume wa hovyo. Huruma kwa aliyeolewa na wewe[emoji706] punguza kushinda vibarazani ma dada zako
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Mlongo hii comment, mnara wako uwekwe wapi? [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]Yaap olewa sio kwa kua Fulani ameolewa au umri umeenda hapana utajuta sana
Ndoa ni wawili ,mume ni kiongozi ,mama ni msaidizi.
Olewa na rafiki yako"marry your best friend!"utainjoi mnooo!!!
Usiolewe kufurahisha watu au wazazi,olewa kwa kua umepata mwenza sahihi!partner, a should to cry on!a friend and very best friend
Usitamani ndoa na usijiskie vibaya kwa kua hujaolewa mpk Leo ,kawaida sanaa!Siku yako bado..tafuta mwanaume atakaekua kichwa
Kingine hakuna usawa kwenye ndoa,muache mwanaume abebe majukumu yake msaidie panapobidi,hata kama mshahara wako unamzidi 100*jua kua mume ni kichwa na wewe ni moyo!
I swear utainjoi sana muhimu wanadamu tuna mapungufu hatujakamilika Yale madogo yapuuze!angali wema wake kwako na ubaya ndipo upime kama ni mwenza sahihi au sio sahihi kwako..mwanaume mpigaji sikushauri akuoe dear utapata taabu
Mjenge mwanaume akufahamu mapema sana tabia zako ili asikushangae baadae!
Usivumile manyanyaso ktk mapenzi utasuffer consequences!
BTW happy Valentine and I love you[emoji7]
[emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590]Ukweli wa maisha yako sio ukweli wa maisha ya kila mtu
Ndoa au kazi au mali au watoto au mafanikio mengine aliyo nayo mtu sio lazima na wewe uwe nayo ndio uwe umepatia. Kwa hiyo Sio vibaya ukajifunza kuheshimu uhuru na hisia za watu wengine
Inawezekana kabisa wewe ukawa na ndoa au watoto lakini ukakosa kingine
Mwingine akawa na mafanikio makubwa akawa na ndoa na asiwe na mtoto
Maisha ndivyo yalivyo
Sasa kama huna mpango wa kumuoa, ni kheri umuache akutane na soulmate wake, huoni unafanya uhaini? KhaaaaahNafikiria tu haka kamanzi kangu kana 20 yrs, navyo kapelekea moto hadi kaje kafikishe 30 sijui katakuwa na hali gani. Kiufupi 30 yrs kwa mwanamke hiyo ni taa nyekundu.
Japo kila mtu na bahati yake Mungu alivyompangia