What do you mean mkongwe. Yes nimeolewa
Nimemshauri Nipo kwenye ndoa huu mwaka 14. Mume wangu nampa Top of the line blow job ok sio mambo ya walnut
Mi nadhani uchumi tu ndio unaleta hizi mambo kizazi hiki. Imagine mtu ana masters na hana kazi, hiyo familia anailisha nn?? Mwishowe ndo hivo over 30's mbka 40's wapo home kwa wazazi na wajukuu kama wte....umri namba tu, mapenzi popote sema ndo hivo apeche alolo hata nauli sina😃Hello wakuu!,
Happy Sunday to everyone, karibuni kwa maoni yenu, je ni kweli ukiwa above 30yrs kuna possibility ya kutokuolewa kwa wadada? Sababu ni nini, kwani suala la ndoa linazingatia umri na si upendo baina yenu mnaotarajia kuwa wanandoa? Mliooa na kuolewa katika umri huo je kuna tofauti yoyote mnayoiona? Maisha yanaendaje? Ushauri wenu ni upi kwa wengine?.
Kumekuwa na maneno ya kutishana mitaani na hata baadhi ya threads humu kwamba mdada ukiwa na 30s ndiyo basi tenaa, sometimes hupelekea wadada kuolewa tu na mtu yeyote hata wasiyempenda sababu tu ya kigezo hicho kwamba she's in her 30s na anahofia atakosa ndoa.
Zamani mtaani kwetu nilikuwa nikisikia wakisema aunt fulani hajaolewa hadi leo, wanamshangaa, naona sasa kibao kimegeuka nimekuwa huyo aunt pia aah😂.
Karibuni na muwe na Jumapili njema...
SafiNimemshauri Nipo kwenye ndoa huu mwaka 14 .Mume wangu nampa Top of the line blow job ok sio mambo ya walnut
Mwanangu umeupiga mwingi ile kinyamaaaaaaYaap olewa sio kwa kua Fulani ameolewa au umri umeenda hapana utajuta sana
Ndoa ni wawili ,mume ni kiongozi ,mama ni msaidizi.
Olewa na rafiki yako"marry your best friend!"utainjoi mnooo!!!
Usiolewe kufurahisha watu au wazazi,olewa kwa kua umepata mwenza sahihi!partner, a should to cry on!a friend and very best friend
Usitamani ndoa na usijiskie vibaya kwa kua hujaolewa mpk Leo ,kawaida sanaa!Siku yako bado..tafuta mwanaume atakaekua kichwa
Kingine hakuna usawa kwenye ndoa,muache mwanaume abebe majukumu yake msaidie panapobidi,hata kama mshahara wako unamzidi 100*jua kua mume ni kichwa na wewe ni moyo!
I swear utainjoi sana muhimu wanadamu tuna mapungufu hatujakamilika Yale madogo yapuuze!angali wema wake kwako na ubaya ndipo upime kama ni mwenza sahihi au sio sahihi kwako..mwanaume mpigaji sikushauri akuoe dear utapata taabu
Mjenge mwanaume akufahamu mapema sana tabia zako ili asikushangae baadae!
Usivumile manyanyaso ktk mapenzi utasuffer consequences!
BTW happy Valentine and I love you[emoji7]
Yaap olewa sio kwa kua Fulani ameolewa au umri umeenda hapana utajuta sana
Ndoa ni wawili ,mume ni kiongozi ,mama ni msaidizi.
Olewa na rafiki yako"marry your best friend!"utainjoi mnooo!!!
Usiolewe kufurahisha watu au wazazi,olewa kwa kua umepata mwenza sahihi!partner, a should to cry on!a friend and very best friend
Usitamani ndoa na usijiskie vibaya kwa kua hujaolewa mpk Leo ,kawaida sanaa!Siku yako bado..tafuta mwanaume atakaekua kichwa
Kingine hakuna usawa kwenye ndoa,muache mwanaume abebe majukumu yake msaidie panapobidi,hata kama mshahara wako unamzidi 100*jua kua mume ni kichwa na wewe ni moyo!
I swear utainjoi sana muhimu wanadamu tuna mapungufu hatujakamilika Yale madogo yapuuze!angali wema wake kwako na ubaya ndipo upime kama ni mwenza sahihi au sio sahihi kwako..mwanaume mpigaji sikushauri akuoe dear utapata taabu
Mjenge mwanaume akufahamu mapema sana tabia zako ili asikushangae baadae!
Usivumile manyanyaso ktk mapenzi utasuffer consequences!
BTW happy Valentine and I love you[emoji7]
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8] karibu dear!!!mmefurahi pia kipenziThank you so much , hujui tu ulivonifariji sana, ubarikiwe[emoji7][emoji7]
Ameen dear!Mjadala uishie hapa
Asante reymage
Hahahaha!ahsante kipanga!
Hahaha!kwetu Manda pale Ziwa pembeni ya Ziwa NyasaMlongo hii comment, mnara wako uwekwe wapi? [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
So soon thread is to come, thank you
Bado sana,mamdogo wangu kavaa shela mwakajana akiwa na 44 sema shida mtoto kusumbuka kumpata
Ndo hivyo44? Miaka 6 kabla ya kutimiza nusu Karne! Aisee!
45 utakua mstafu mimba za umri huo zinaweza kuondoka na uhai wakoUmri sio kitu.
Unaweza kuolewa niaka 24 ukachelewa kupata mtoto.
Unaweza kuolewa miaka 45 ukapata watoto mapema ukaishi miaka mingi ya neema.
Unaweza kuolewa miaka 20 ukapata watoto na ukaishi miaka michache duniani.
Yote ni mipango ya Mungu haijalishi unaolewa au kuoa ukiwa na umri gani kusudi la Mungu litatimia tu juu yako.
Laaah!kazi kweli kweli!!Kila cku vichochoron leo kitandan.Saa moja mpe saa 9 mpe.niliwai kuwasikia wamama wanaimba kwenye haruc ila cjui inamaana gan.
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Sina mpango wa kumuacha .Sasa kama huna mpango wa kumuoa, ni kheri umuache akutane na soulmate wake, huoni unafanya uhaini? Khaaaaah
Oya, toka uzaliwe leo umeongea pointi, kunywa fanta big hapo kwa mangi. 😂 😂Ni kweli mkuu, ila nadhani kila mtu na plan yake , mfano mimi i wish siku nije kuwa na familia ile ya Baba, mama na watoto. So kwangu bila ndoa maisha yanawezekana ila ikipatikana ndoa yatawezekana zaidi maana ntatimiza malengo niliyojiwekea. Mungu mwenyewe alimuumba Adamu na kumpa msaidizi Eve. So nadhani ni muhimu kupata wasaidizi.