Wale mliooa wake zenu wakiwa na zaidi ya miaka 30 na wadada mlioolewa mkiwa na zaidi ya miaka 30 pia, karibuni kwa maoni na uzoefu wenu

Wale mliooa wake zenu wakiwa na zaidi ya miaka 30 na wadada mlioolewa mkiwa na zaidi ya miaka 30 pia, karibuni kwa maoni na uzoefu wenu

Hello wakuu!,

Happy Sunday to everyone, karibuni kwa maoni yenu, je ni kweli ukiwa above 30yrs kuna possibility ya kutokuolewa kwa wadada? Sababu ni nini, kwani suala la ndoa linazingatia umri na si upendo baina yenu mnaotarajia kuwa wanandoa? Mliooa na kuolewa katika umri huo je kuna tofauti yoyote mnayoiona? Maisha yanaendaje? Ushauri wenu ni upi kwa wengine?.

Kumekuwa na maneno ya kutishana mitaani na hata baadhi ya threads humu kwamba mdada ukiwa na 30s ndiyo basi tenaa, sometimes hupelekea wadada kuolewa tu na mtu yeyote hata wasiyempenda sababu tu ya kigezo hicho kwamba she's in her 30s na anahofia atakosa ndoa.

Zamani mtaani kwetu nilikuwa nikisikia wakisema aunt fulani hajaolewa hadi leo, wanamshangaa, naona sasa kibao kimegeuka nimekuwa huyo aunt pia aah😂.

Karibuni na muwe na Jumapili njema...
Mi nadhani uchumi tu ndio unaleta hizi mambo kizazi hiki. Imagine mtu ana masters na hana kazi, hiyo familia anailisha nn?? Mwishowe ndo hivo over 30's mbka 40's wapo home kwa wazazi na wajukuu kama wte....umri namba tu, mapenzi popote sema ndo hivo apeche alolo hata nauli sina😃
 
Yaap olewa sio kwa kua Fulani ameolewa au umri umeenda hapana utajuta sana
Ndoa ni wawili ,mume ni kiongozi ,mama ni msaidizi.
Olewa na rafiki yako"marry your best friend!"utainjoi mnooo!!!
Usiolewe kufurahisha watu au wazazi,olewa kwa kua umepata mwenza sahihi!partner, a should to cry on!a friend and very best friend
Usitamani ndoa na usijiskie vibaya kwa kua hujaolewa mpk Leo ,kawaida sanaa!Siku yako bado..tafuta mwanaume atakaekua kichwa
Kingine hakuna usawa kwenye ndoa,muache mwanaume abebe majukumu yake msaidie panapobidi,hata kama mshahara wako unamzidi 100*jua kua mume ni kichwa na wewe ni moyo!
I swear utainjoi sana muhimu wanadamu tuna mapungufu hatujakamilika Yale madogo yapuuze!angali wema wake kwako na ubaya ndipo upime kama ni mwenza sahihi au sio sahihi kwako..mwanaume mpigaji sikushauri akuoe dear utapata taabu
Mjenge mwanaume akufahamu mapema sana tabia zako ili asikushangae baadae!
Usivumile manyanyaso ktk mapenzi utasuffer consequences!

BTW happy Valentine and I love you[emoji7]
Mwanangu umeupiga mwingi ile kinyamaaaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaap olewa sio kwa kua Fulani ameolewa au umri umeenda hapana utajuta sana
Ndoa ni wawili ,mume ni kiongozi ,mama ni msaidizi.
Olewa na rafiki yako"marry your best friend!"utainjoi mnooo!!!
Usiolewe kufurahisha watu au wazazi,olewa kwa kua umepata mwenza sahihi!partner, a should to cry on!a friend and very best friend
Usitamani ndoa na usijiskie vibaya kwa kua hujaolewa mpk Leo ,kawaida sanaa!Siku yako bado..tafuta mwanaume atakaekua kichwa
Kingine hakuna usawa kwenye ndoa,muache mwanaume abebe majukumu yake msaidie panapobidi,hata kama mshahara wako unamzidi 100*jua kua mume ni kichwa na wewe ni moyo!
I swear utainjoi sana muhimu wanadamu tuna mapungufu hatujakamilika Yale madogo yapuuze!angali wema wake kwako na ubaya ndipo upime kama ni mwenza sahihi au sio sahihi kwako..mwanaume mpigaji sikushauri akuoe dear utapata taabu
Mjenge mwanaume akufahamu mapema sana tabia zako ili asikushangae baadae!
Usivumile manyanyaso ktk mapenzi utasuffer consequences!

BTW happy Valentine and I love you[emoji7]

Mjadala uishie hapa
Asante reymage
 
Umri sio kitu.
Unaweza kuolewa niaka 24 ukachelewa kupata mtoto.
Unaweza kuolewa miaka 45 ukapata watoto mapema ukaishi miaka mingi ya neema.
Unaweza kuolewa miaka 20 ukapata watoto na ukaishi miaka michache duniani.

Yote ni mipango ya Mungu haijalishi unaolewa au kuoa ukiwa na umri gani kusudi la Mungu litatimia tu juu yako.
45 utakua mstafu mimba za umri huo zinaweza kuondoka na uhai wako
 
Ndoa kwa mwanamke ni heshima sema wanawake wa siku hizi wanajitoa ufahamu tu ila mda ukiyoyoma utasikia yeyote atakae kuja kikubwa pumzi tu.
 
Ni kweli mkuu, ila nadhani kila mtu na plan yake , mfano mimi i wish siku nije kuwa na familia ile ya Baba, mama na watoto. So kwangu bila ndoa maisha yanawezekana ila ikipatikana ndoa yatawezekana zaidi maana ntatimiza malengo niliyojiwekea. Mungu mwenyewe alimuumba Adamu na kumpa msaidizi Eve. So nadhani ni muhimu kupata wasaidizi.
Oya, toka uzaliwe leo umeongea pointi, kunywa fanta big hapo kwa mangi. 😂 😂
 
Back
Top Bottom