Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
Nina 32 (1990) ila sina mawazoo kabisaaa.Am in my early 30s mkuu
Just be happy EVERY THING YOU WANT ARE THERE INFRONT OF YOU.
#YNWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina 32 (1990) ila sina mawazoo kabisaaa.Am in my early 30s mkuu
Ngoja huna hata boy friends au unao wengi unachagua na kusagura bado?Hello wakuu!,
Happy Sunday to everyone, karibuni kwa maoni yenu, je ni kweli ukiwa above 30yrs kuna possibility ya kutokuolewa kwa wadada? Sababu ni nini, kwani suala la ndoa linazingatia umri na si upendo baina yenu mnaotarajia kuwa wanandoa? Mliooa na kuolewa katika umri huo je kuna tofauti yoyote mnayoiona? Maisha yanaendaje? Ushauri wenu ni upi kwa wengine?.
Kumekuwa na maneno ya kutishana mitaani na hata baadhi ya threads humu kwamba mdada ukiwa na 30s ndiyo basi tenaa, sometimes hupelekea wadada kuolewa tu na mtu yeyote hata wasiyempenda sababu tu ya kigezo hicho kwamba she's in her 30s na anahofia atakosa ndoa.
Zamani mtaani kwetu nilikuwa nikisikia wakisema aunt fulani hajaolewa hadi leo, wanamshangaa, naona sasa kibao kimegeuka nimekuwa huyo aunt pia aah[emoji23].
Karibuni na muwe na Jumapili njema...
🤣🤣🤣🤣Wanawake wataona sawa wakiwaw bado wana sura za kuvutia ila kilometer zikifika 30 na point utawaona kwa mwamposaKuolewa ni muhimu kwa kila mwanamke na ni lazima....Ila kwa wanawake wapuuzi wanaona Kama ni upuuzi.
Kwanza mwanamke kuzalia ndani ya ndoa ni heshima kwake na kwa watoto wake...Ila akili ya mwanamke ilio data na udangaji kutokana na mchanganyiko wa spem za kiume mwilini mwake hawezi ona hili. Kuna utofauti mkubwa Sana Kati ya watoto wa single maza na watoto walio lelewa ndani ya ndoa.
Kuna faida za kuwahi kuolewa Kama vile majukumu ya ulezi utayamaliza mapema Sana na ukiwa na nguvu. Mtoto ukimzalia kwenye 20s unakuja kufika miaka 50 mtoto ndio anamalizana na degree yake ya kwanza kama atawahi Basi masters....Sasa wewe unae kuja kuanza uzazi ukiwa na miaaka 40 yaani unafika 60 mwanao ndio bado yupo secondary Sasa hapo faida yake nini.....? Ukiwa na maspern ya wanaume yamejaza kichwa chako utaona hili ni sawa na kujifariji.
Zaa mapema na uzalie ndani ya ndoa ili ukifika miaka ya 60 ni muda wa kucheka na kufurahia wajukuu na sio muda wa kununua penseli za wanao.
Fuateni utaratibu wa ndoa na Sheria zake kwa faida yenu huo ujinga mnao utengeneza wa kuja kusumbuka na maradhi ya uzeeni huku bado mnalipa ada ni upumbavu ...mtakufa muache watoto bado wakiwa wanawahitaji.acheni kukatili future za watoto wenu kwa kuendekeza upuuzi wa kumwaga na kumwagiwa shahawa.
Wahini kuoana kwa heshima na ustawi wa watoto wenu.
Mkuu nimekunywa soda kwa mangi wa Masaki siyo buza, nitumie tu hiyo pesa😂😂Oya umekunywa kreti zima au!? Hiyo fanta imetengenezewa maji ya bustani ya Edeni. 😂 nilikuambia soda kwa mangi, au umeenda kunywa kempiski?
Soda jero tu, nakutumia buku na yakutolea, usilete mambo ya kiwaki. 😂
Oya umekunywa kreti zima au!? Hiyo fanta imetengenezewa maji ya bustani ya Edeni. 😂Thank you mkuu and here's a bill ni 10,000 tu , tuma namba hii hapa😂😂
Kwa vile ni wewe tu, sitaki udhalilike, ila angekuwa mduwanzi mwingine ningemchinjia baharini, siku nyingine usirudie, nikikwambia kitu ujue nakwambia kwa bei zetu za kwa mtogole.Mkuu nimekunywa soda kwa mangi wa Masaki siyo buza, nitumie tu hiyo pesa😂😂
Basi pia usitoe offer kabla hujajua tupo kwa mangi wa wapi😂 kuna mangi wa kishua mkuu ohooOya umekunywa kreti zima au!? Hiyo fanta imetengenezewa maji ya bustani ya Edeni. 😂
Soda jero tu, nakutumia buku na yakutolea, usilete mambo ya kiwaki.
Kwa vile ni wewe tu, sitaki udhalilike, ila angekuwa mduwanzi mwingine ningemchinjia baharini, siku nyingine usirudie, nikikwambia kitu ujue nakwambia kwa bei zetu za kwa mtogole.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Oya umekunywa kreti zima au!? Hiyo fanta imetengenezewa maji ya bustani ya Edeni. [emoji23] nilikuambia soda kwa mangi, au umeenda kunywa kempiski?
Soda jero tu, nakutumia buku na yakutolea, usilete mambo ya kiwaki. [emoji23]
Nnavopenda watoto nikisikia possibility ya kutopata mtoto ndiyo nachoka kabisa 😪Mimi nadhani hofu ya umri hasa kwa mwanamke pale anapochelewa kuolewa ni possibility ya kutopata mtoto. Kwamba anaweza asipate kutokana na kuwa ktk muda wa menopause coz huwa haieleweki muda exactly wa kuja. Lakini pia hata akidaka inaweza kumpa shida maana mimba zina mikikimikiki yake.
Hayo ya mitazamo ya jamii naona hayana maana. Japo hata kwa wanaume kuna hofu ya kuchelewa kuoa pia,ingawa haisemwi sn.
Mungu ndo kila kitu na Mungu ndo mpangajiNnavopenda watoto nikisikia possibility ya kutopata mtoto ndiyo nachoka kabisa [emoji25]
Ila kuna mdada kapata firstborn wake at her 37yrs na bila complications yoyote kabisa
Kupiga reverse hapana kabisa, pia unajua tunajiwekea malengo ya msingi kabisa ila mtu sahihi wa kutimiza hayo malengo hatokei kwa wakati, yaani sisi wadada ni tofauti na nyie, sisi tunasubiri tufuatwe na nyie.hatutongozi sisi.Hata kama nimechelewa ngoja niandike kisha turudi Namanyere
Iko wazi, kama huna malengo ya msingi katika ndoa unaweza olewa muda wowote hata ukiwa na miaka 50 wala huhitaji kupanic. Shangazi yangu aliolewa akiwa na miaka 56 na anasifia mpaka leo kuwa ndoa ni paradiso.
Lakini kama una malengo ya msingi katika ndoa na unataka yatimie kwa wakati unaofaa basi asikudanganye mtu jitahidi isiwe zaidi ya miaka 35 uwe tayari in.
Na kwenye umri wa zaidi ya 36 utampata mwanaume ambaye tayari ameshashinda mechi zake nyingi wakati wewe unataka muanze mechi wote mkiwa daraja la kwanza with zero scores. Maana ni nadra sana kumpata mwanaume aliye huru kabisa bila watoto au kuwahi kuwa na familia katika umri wa zaidi ya miaka 35. Labda ukiwa na miaka zaidi ya 35 upige reverse uelewe na mwanaume mwenye miaka 28-32.
Ila wazo ni lilelile ndoa isiyo na malengo ya msingi ya ndoa inapatikana wakati wowote hata ukiwa kibogoyo
Kweli kabisa dear, Sarah alipata uzeeni kabisa huko aagh.Mungu ndo kila kitu na Mungu ndo mpangaji
Ushauri wa kindezi huu...Mimi nina maoni tofauti kidogo.
Kwa nini tunaipa ndoa uzito mkubwa ambao haistahili. Kwani maisha bila ndoa hayawezekani?
Unamkuta dada wa watu mzuri tu na tabia yake safi lakini analiwa ovyo na wanaume wasioeleweka na wasiompenda kisa kutafuta ndoa. Tena wengine shida yao ni kuvaa shela tu awakoge kina Mwajuma Nchokonoe kwenye vijiwe vya umbea vya kisasa vya instagram na whatsapp.
Ladies you can make your life beautiful even in absence of marriage.
Hapo sio kwa mangi sasa, hiyo ni supermarket ya kwa mchaga. 😂Basi pia usitoe offer kabla hujajua tupo kwa mangi wa wapi😂 kuna mangi wa kishua mkuu ohoo
Acha ubahili mkuu, elfu 10 tu ndiyo unanisema mwezi mzima 😂Hapo sio kwa mangi sasa, hiyo ni supermarket ya kwa mchaga. 😂
Kwa mangi ni bei chee tu.
wee elewa hivyo hivyo. tunapendana na sina mpango wa kumuacha.Nimesema km huna mpango wa kumuoa, sio kumuacha, hebu kuwa muelewa bas.
Shida jinsi nilivyolipata buku ten lenyewe [emoji23], nimelipata kwa tubu na karaha,shuruba kweli kweli, nginja ngija ndio la ten nikalipataAcha ubahili mkuu, elfu 10 tu ndiyo unanisema mwezi mzima [emoji23]
Pole,lakini pia fanya maamuzi mkuu.Wakati ni sasa na si vinginevyo.Nnavopenda watoto nikisikia possibility ya kutopata mtoto ndiyo nachoka kabisa [emoji25]
Ila kuna mdada kapata firstborn wake at her 37yrs na bila complications yoyote kabisa