Nazi Ignition
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 1,740
- 4,859
Try to see a composite picture in other way,Ujinga wa mwanaume ndio unasababisha mahusiano yaendelee
Tunapewa mzigo kama una hela kama huna hela mwanamke hakupi mbususuTry to see a composite picture in other way,
Kwa akili yako hiyo bas utakuwa maana yake ujanja wa wanaume ndo unasababisha wanapewa mzigo na hawaio.
Yaani masingo maza na wanawake wanaotamani ndo wamejitakia?
Ndoa za utotoni sio za kupigia chapuo, nashangaa wanaonanga wanawake wenye 30 ambao hawajaolewa, ila ndo anakuwa na uelewa mpana na uwezo wa kuhimili mikiki ya ndoa, ataiheshimu na kuithamini ndoa,,financial services hebu nikupe uzoefu wangu kwa upande wa kinyume chake.
Mimi niliolewa na miaka 21.
Nikimtizama binti yangu mwenye miaka 22 leo.
Siamini kuwa niliruhusiwa kuolewa nikiwa nina mwaka mmoja chini yake.
Najiuliza kwann wazazi hawakunikatalia ile posa?
Nakuja kuhitimisha wangekuwa ni wazazi wangu kabisa baba na mama yangu wangenigomea.
Nafkiri walioniozesha waliona ni nafuu niende.
Ipo tafsiri kubwa sana ya miaka 30 na kuendelea.
Ukiniuliza mimi, nafkiri miaka 30 ndo miaka sahihi ya binti kuolewa.
Mi nilikuja kuelewa maana ya ndoa nikiwa nimeshakaa miaka zaidi ya 8 kama sio 10 kabisa.
I was too young to marry, we were both too young.
21 kwa 23.
Jamani!!
By 35 tumeshaoneshana kila rangi!!
Mxxxxxxxiiiieeee.
Tatizo yenu je mpaka hiyo miaka 30-33 mtakuwa mmebana tuu miguu au ndio msuriri wa ma ex....au napo mtasingizia kuwa ni mipango ya mungu mwanamke/ mwanaume kuendelea na uzinzi mpaka pale anaopo olewa/ kuoaItoshe kusema mapenz yake Mungu na yatimie, huwez lazmsha maj kupanda mlima.
Kila kitu kinavyotokea jua n wakat sahihi, nliosoma nao aslimia 60 wameolewa na aslimia 80 wana watoto zaid ya mmoja. Lkn hainpi kulazmisha mambo, wakat wa Mungu ukifka bas mapenz yake yatatimia.
Kuna wmbo wanaimba " uskimbilie mume ukaukondesha moyo......." sjui kauimba nan.....🤣🤣🤣🤣
Tatizo yenu je mpaka hiyo miaka 30-33 mtakuwa mmebana tuu miguu au ndio msuriri wa ma ex....au napo mtasingizia kuwa ni mipango ya mungu mwanamke/ mwanaume kuendelea na uzinzi mpaka pale anaopo olewa/ kuoa
🤣🤣🤣🤣 Na hap ndio shida inapoanza...mambo yakibuma ndio tunaanza story za mipango ya mungu.Hapo ktk kujitunza skutaka kuliongelea saana maana sngependa kupopolewa na wanadamu wa jf, lkn kila mtu afanye aonalo sahihi.
Na pia kwa upande wangu hiyo n sri yangu.......😊
Ukijitunza bas utapata kitu bora zaid yangu n hayo 🤓
🤣🤣🤣🤣 Na hap ndio shida inapoanza...mambo yakibuma ndio tunaanza story za mipango ya mungu.
Kujitumza tuwe wakweli asilimia kunwa hatuwezi.
Ndio lazima tuwatambue...sema sasa jamii ya sasa wazinzi ndio wanapewa sifa kweli kweeli.....mwanamke utaolewaje bila kuonja, je kama jamaa jogoo hawiki ndio swagger za waremboHata kama kujitunza weng hawawez, haifany kutokuwepo kw wanaoweza hata kama n 2% kati ya 100%. Yapasa pia uwepo wao utambulikane na uheshimiwe pia 😊
"Kama ukitenda vyema, utakosaje kibali!?"......
Na pia uzinz unaongelewa sana, na ndyo mana unazd kukuzwa. Wajua kitu chochote ukikipa kipaumbele ndvyo kinazd kukua, na ndyo maana ndoa za sasa zmekuwa hazdumu na hata zkidumu n kwa taabu na mahangaiko.Ndio lazima tuwatambue...sema sasa jamii ya sasa wazinzi ndio wanapewa sifa kweli kweeli.....mwanamke utaolewaje bila kuonja, je kama jamaa jogoo hawiki ndio swagger za warembo
Kweli usemayo. Wee kama ni mgegehedaje basi tafuta mwanamke mgegedwanji ndio mtaendana sio tena eti wataka bikraNa pia uzinz unaongelewa sana, na ndyo mana unazd kukuzwa. Wajua kitu chochote ukikipa kipaumbele ndvyo kinazd kukua, na ndyo maana ndoa za sasa zmekuwa hazdumu na hata zkidumu n kwa taabu na mahangaiko.
Watu wemekosa uaminifu, watu wameoa na kuolewa lkn wanaendelea na mahusiano yao ya awali wakisema wanapasha vporo aseee!
Safar n ndefu, na hapo hapo mtu anamuomba Mungu ampe mtu mwema anasahau kuwa unapewa wa kufanana na ww.
Kweli usemayo. Wee kama ni mgegehedaje basi tafuta mwanamke mgegedwanji ndio mtaendana sio tena eti wataka bikra
Sii wanajua jinsi wanavyowakunja warbo sasa anawaza kuwa nae demu wake atakuwa anakunjwa mikao hiyo🤣🤣🤣🤣N kweli, tunapata tunachostahili na s vngnevyo. Ingawa wahun wanapenda kweli kupata aliyetulia, 🤣🤣🤣sijui huwa wanawaza nn......
Kwa kpimo kile kile unachowatendea wengine, nawe utatendewa vivyo hivyo na kuzd.Sii wanajua jinsi wanavyowakunja warbo sasa anawaza kuwa nae demu wake atakuwa anakunjwa mikao hiyo🤣🤣🤣🤣
Mi mwenyewe mwishoni nilitoka.Ndoa za utotoni sio za kupigia chapuo, nashangaa wanaonanga wanawake wenye 30 ambao hawajaolewa, ila ndo anakuwa na uelewa mpana na uwezo wa kuhimili mikiki ya ndoa, ataiheshimu na kuithamini ndoa,,
Mimi niliolewa nikiwa 17, baada ya miaka 11 nikatoka, uelewa wa maisha kwa ujumla sikuwa natambua chochote thamani ya ndoa sikuijua, niliona kuna stage nimevukishwa kwa lazima tu,, walioniozesha walinionea sana, mi naona 26-36 ni umri poa walau akili ya mtu inaweza kuchanganua mambo
Ila kweliSasa huo upande mmoja...upande mwengine je tunakubali kuwa na jamii ambayo watu wanagegedana tuu mpaka wakafike hiyo miaka 30? Madhara yake ndani ya ndoa tutakubalina nayo?
Kwaio sisi wenye middle na last twenties hili kombe halituhusu hata Kama tuna demandMimi siyo mtoto mwenzio na huwa nakuambiaga daily, tatizo mitoto ya siku hizi hamna adabu😀
Ucjali mrembo Mungu atakupa hitaji la moyo wako.Atakupa pia na watoto wenye her na wewe.Ndiyo mkuu, nimedoda completely
Unyakyusa Tena😂😂😂😂Kisa chako nakifananisha na rfk wa. Kaka angu with the age 37 alikuwa anaangika kutafuta mke wa kuoa badaae akaja kucross na bint wa Mika 33 alfu bint alikuwa descent sna na wazaz wake walikuwa vzr kiuchumi bint alivyo tangaza kumpata jamaa ndoa ilifungwa ya kimataifa zawadi kwa bint mpk viwanja kigamboni alipewa juu kwa juu ..mwanmke Ni graduate na bwana Ni form four
Anyway utaolewa tu ila upunguze unyakiyusa fln HV