Wale mliooa wake zenu wakiwa na zaidi ya miaka 30 na wadada mlioolewa mkiwa na zaidi ya miaka 30 pia, karibuni kwa maoni na uzoefu wenu

Ipo hivyo na n nature kabisa ... hizo no sababu za kisaikolojia...
 
Kwasasa umeji commit kwenye mahusiano serous? , kama haupo .. ukiingia kwenye mahusiano itakuchukuwa muda gani kutoka kwenye uchumba hadi ndoa?.

Yes inawezekana kabisa kuolewa katika umri huo.. japokuwa
Jinsi unavyojiweka na jinsi jamii inavyokuchukulia inachangia sana...

Aina ya marafiki unao hang out nao mara kwa mara?

Mishe zako na mazingira uliyopo
 
Nimepitia twita muda huu kuna mam wa kizungu around 73 age anafurahia kwa kumpta true love wake kwa miaka hyo aliyonayo Ni full shangwe huko wazungu wamejazan Tweeter wanampa pongezi binafs mm goroko Nimempa pongezi.nimeweka attachment ya maneno yake
 
"Mliooa na kuolewa katika umri huo je kuna tofauti yoyote mnayoiona ? "

☝️😁 Wataonaje tofauti sasa?
 
Kisa chako nakifananisha na rfk wa. Kaka angu with the age 37 alikuwa anaangika kutafuta mke wa kuoa badaae akaja kucross na bint wa Mika 33 alfu bint alikuwa descent sna na wazaz wake walikuwa vzr kiuchumi bint alivyo tangaza kumpata jamaa ndoa ilifungwa ya kimataifa zawadi kwa bint mpk viwanja kigamboni alipewa juu kwa juu ..mwanmke Ni graduate na bwana Ni form four

Anyway utaolewa tu ila upunguze unyakiyusa fln HV
 
Zamani ndio ilikua kuolewa na umri mdogo kawaida. Mambo yamebadilika hamna cha kuchelewa wala kuwahi. Wangap wamewah kuolewa na uzazi unawasumbua?

Wala usipanic muda wako uliopangiwa kuolewa ukifika utaolewa na kama hujapangiwa kuolewa pia hutoolewa. Kikubwa pumzi
 
Hayo ni mawazo mgando. Binti yangu 32 anaolewa soon. Mwingine 30 bado.
 
.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Kuwa na amani mama muda bado, wekeza muda na akili kwenye mambo ya maana zaidi mume atakuja automatic.
Ni bora kuchelewa lakn kuingia ndoani na mtu sahihi. Ndoa si mashindano ni ww ndio utaishi na mume.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we cheka tu rafiki wanasemaga malipo hapahapa duniani
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Mkuu huyu Chakorii ni mwana sana, namkubali sio poa yani na analijua hilo. Namtania tu ili aanze kuniita mi mkudaπŸ˜‚πŸ˜‚
Na ukuda siisemj sasa…

Nakukubali pia na unalifahamu hilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…