Wale mliooa wake zenu wakiwa na zaidi ya miaka 30 na wadada mlioolewa mkiwa na zaidi ya miaka 30 pia, karibuni kwa maoni na uzoefu wenu

Wale mliooa wake zenu wakiwa na zaidi ya miaka 30 na wadada mlioolewa mkiwa na zaidi ya miaka 30 pia, karibuni kwa maoni na uzoefu wenu

Nakazia hapa [emoji419][emoji419].

Ipo sawa na kwenye ulimwengu wa mpira wa miguu (japo mfano ni nje ya topic kidogo).
Mcheza mpira akifikisha 30 years tayari kashazeeka, anything offered baada ya hapo ni ziada. Hata demand yake inashuka na team zinatupia macho kwa vijana wanaochipukia pamoja na wale wa 20's [emoji16]. financial services

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndoa sio kama mpira...
 
Hello wakuu!,

Happy Sunday to everyone, karibuni kwa maoni yenu, je ni kweli ukiwa above 30yrs kuna possibility ya kutokuolewa kwa wadada? Sababu ni nini, kwani suala la ndoa linazingatia umri na si upendo baina yenu mnaotarajia kuwa wanandoa? Mliooa na kuolewa katika umri huo je kuna tofauti yoyote mnayoiona ? Maisha yanaendaje ?ushauri wenu ni upi kwa wengine?.

Kumekua na maneno ya kutishana mitaani na hata baadhi ya threads humu kwamba mdada ukiwa na 30s ndiyo basi tenaa, sometimes hupelekea wadada kuolewa tu na mtu yeyote hata wasiyempenda sababu tu ya kigezo hicho kwamba she's in her 30s na anahofia atakosa ndoa.

Zamani mtaani kwetu nilikua nikisikia wakisema aunt fulani hajaolewa hadi leo, wanamshangaa, naona sasa kibao kimegeuka nimekua huyo aunt pia aah[emoji23].

Karibuni na muwe na jpili njema...
Hahaha..u crazy..
 
Mimi nina maoni tofauti kidogo.

Kwa nini tunaipa ndoa uzito mkubwa ambao haistahili.Kwani maisha bila ndoa hayawezekani?

Unamkuta dada wa watu mzuri tu na tabia yake safi lakini analiwa ovyo na wanaume wasioeleweka na wasiompenda kisa kutafuta ndoa. Tena wengine shida yao ni kuvaa shela tu awakoge kina Mwajuma Nchokonoe kwenye vijiwe vya I'm ea vya kisasa vya instagram na whatsapp.
Ladies you can make your life beautiful even in absence of marriage.
Maoni yako potofu mkuu.

Sio tunaipa ndoa uzito mkubwa ambao haistahili. Uhalisia ni kwamba ndoa hatuipi uzito mkubwa unayostahili. Ndoa ni jambo kubwa sana na Zito, lenye baraka tele katika maisha ya mtu.

Amebarikiwa sana yule ambae atapewa/ atapata mke/mume Bora.

Hapo juu haijasemwa atakaepata kimada au demu Bora. Imesemwa mke Bora bro.

Huyo dada mzuri na tabia yake safi hawezi kuliwa hovyo na vijana wasioeleweka. Ukimuona dada analiwa ovyo na vijana wasioeleweka ujue huyo hana hiyo tabia safi.

Unawadanganya wadada kwamba they can make their lives beautiful without marriage??? Hilo haliwezekani mkuu. Hao wadada unaowaona hawana ndoa na eti wana maisha beautiful basi wana-pretend tu lakini hawana furaha kabisa ya hayo maisha.

By the way mawazo yangu sio sheria
 
Maoni yako potofu mkuu.

Sio tunaipa ndoa uzito mkubwa ambao haistahili. Uhalisia ni kwamba ndoa hatuipi uzito mkubwa unayostahili. Ndoa ni jambo kubwa sana na Zito, lenye baraka tele katika maisha ya mtu.

Amebarikiwa sana yule ambae atapewa/ atapata mke/mume Bora.

Hapo juu haijasemwa atakaepata kimada au demu Bora. Imesemwa mke Bora bro.

Huyo dada mzuri na tabia yake safi hawezi kuliwa hovyo na vijana wasioeleweka. Ukimuona dada analiwa ovyo na vijana wasioeleweka ujue huyo hana hiyo tabia safi.

Unawadanganya wadada kwamba they can make their lives beautiful without marriage??? Hilo haliwezekani mkuu. Hao wadada unaowaona hawana ndoa na eti wana maisha beautiful basi wana-pretend tu lakini hawana furaha kabisa ya hayo maisha.

By the way mawazo yangu sio sheria
Ni kweli siyo sheria maana ni uongo tu umeandika ....mwanamke ndo anaweza akaishi pekeyake bila mwanaume tofauti na upande wenu
 
Hello wakuu!,

Happy Sunday to everyone, karibuni kwa maoni yenu, je ni kweli ukiwa above 30yrs kuna possibility ya kutokuolewa kwa wadada? Sababu ni nini, kwani suala la ndoa linazingatia umri na si upendo baina yenu mnaotarajia kuwa wanandoa? Mliooa na kuolewa katika umri huo je kuna tofauti yoyote mnayoiona ? Maisha yanaendaje ?ushauri wenu ni upi kwa wengine?.

Kumekua na maneno ya kutishana mitaani na hata baadhi ya threads humu kwamba mdada ukiwa na 30s ndiyo basi tenaa, sometimes hupelekea wadada kuolewa tu na mtu yeyote hata wasiyempenda sababu tu ya kigezo hicho kwamba she's in her 30s na anahofia atakosa ndoa.

Zamani mtaani kwetu nilikua nikisikia wakisema aunt fulani hajaolewa hadi leo, wanamshangaa, naona sasa kibao kimegeuka nimekua huyo aunt pia aah😂.

Karibuni na muwe na jpili njema...
Wasikutishe, ndoa muda wowote tu inapatikana. Kuna waliowahi ndoa na ikaisha mapema. Relax
 
Ni kweli mkuu, ila nadhani kila mtu na plan yake , mfano mimi i wish siku nije kuwa na familia ile ya Baba, mama na watoto. So kwangu bila ndoa maisha yanawezekana ila ikipatikana ndoa yatawezekana zaidi maana ntatimiza malengo niliyojiwekea. Mungu mwenyewe alimuumba Adamu na kumpa msaidizi Eve. So nadhani ni muhimu kupata wasaidizi.
You are right na mtu asije akakuaminisha otherwise.

Kuna kampeni kubwa sana imeanzishwa na watu kuhusu kupinga yale yote yalioamemrishwa na vitabu vya dini.

Hawa watu hutumia vigezo hivi vya haki sawa, mwanamke can be independent, women can be whatever they want, marriage is not important, etc etc etc etc.

Be careful mkuu
 
Tatizo mabinti mkiwa kwenye 20s mnakuwa wa moto moto akija msela myajenge muoane mnaruka ruka kama popcorn kisa tu kuna wahuni kibao wanawatongoza.

Little do you know kuwa unapo pass up kila opportunity na probability ya kuolewa nayo inazidi kupungua.
Fact.

One of my mentor aliwahi niambia, wako wa ubani hupatikanwa ukiwa between 18- 25 years old. Ukipita umri huo bado hujampata yule unaemfeel moyoni basi utaangukia kwa yoyote tu.

Ndio maana watu wengi hawaoi/kuolewa na wale waliowataka haswaaa from mioyoni mwao.
 
Fact.

One of my mentor aliwahi niambia, wako wa ubani hupatikanwa ukiwa between 18- 25 years old. Ukipita umri huo bado hujampata yule unaemfeel moyoni basi utaangukia kwa yoyote tu.

Ndio maana watu wengi hawaoi/kuolewa na wale waliowataka haswaaa from mioyoni mwao.
Waendelee kuruka ruka tu sisi tutaoa mabinti wabichi wabichi wao wataishia kuwa michepuko tu.
 
Back
Top Bottom