Wale mliooa wake zenu wakiwa na zaidi ya miaka 30 na wadada mlioolewa mkiwa na zaidi ya miaka 30 pia, karibuni kwa maoni na uzoefu wenu

Wale mliooa wake zenu wakiwa na zaidi ya miaka 30 na wadada mlioolewa mkiwa na zaidi ya miaka 30 pia, karibuni kwa maoni na uzoefu wenu

Hello wakuu!,

Happy Sunday to everyone, karibuni kwa maoni yenu, je ni kweli ukiwa above 30yrs kuna possibility ya kutokuolewa kwa wadada? Sababu ni nini, kwani suala la ndoa linazingatia umri na si upendo baina yenu mnaotarajia kuwa wanandoa? Mliooa na kuolewa katika umri huo je kuna tofauti yoyote mnayoiona ? Maisha yanaendaje ?ushauri wenu ni upi kwa wengine?.

Kumekua na maneno ya kutishana mitaani na hata baadhi ya threads humu kwamba mdada ukiwa na 30s ndiyo basi tenaa, sometimes hupelekea wadada kuolewa tu na mtu yeyote hata wasiyempenda sababu tu ya kigezo hicho kwamba she's in her 30s na anahofia atakosa ndoa.

Zamani mtaani kwetu nilikua nikisikia wakisema aunt fulani hajaolewa hadi leo, wanamshangaa, naona sasa kibao kimegeuka nimekua huyo aunt pia aah😂.

Karibuni na muwe na jpili njema...
Sasa mrembo unakosaje mume jamani au bado unatafuta CPA kwanza🤣🤣🤣🤣
 
Mimi nina maoni tofauti kidogo.

Kwa nini tunaipa ndoa uzito mkubwa ambao haistahili.Kwani maisha bila ndoa hayawezekani?

Unamkuta dada wa watu mzuri tu na tabia yake safi lakini analiwa ovyo na wanaume wasioeleweka na wasiompenda kisa kutafuta ndoa. Tena wengine shida yao ni kuvaa shela tu awakoge kina Mwajuma Nchokonoe kwenye vijiwe vya I'm ea vya kisasa vya instagram na whatsapp.
Ladies you can make your life beautiful even in absence of marriage.
Wee unawliaha ujinga wanawake. Wanawake msidanganyike kabisa. Ndoa muhimu.
 
Hello wakuu!,

Happy Sunday to everyone, karibuni kwa maoni yenu, je ni kweli ukiwa above 30yrs kuna possibility ya kutokuolewa kwa wadada? Sababu ni nini, kwani suala la ndoa linazingatia umri na si upendo baina yenu mnaotarajia kuwa wanandoa? Mliooa na kuolewa katika umri huo je kuna tofauti yoyote mnayoiona ? Maisha yanaendaje ?ushauri wenu ni upi kwa wengine?.

Kumekua na maneno ya kutishana mitaani na hata baadhi ya threads humu kwamba mdada ukiwa na 30s ndiyo basi tenaa, sometimes hupelekea wadada kuolewa tu na mtu yeyote hata wasiyempenda sababu tu ya kigezo hicho kwamba she's in her 30s na anahofia atakosa ndoa.

Zamani mtaani kwetu nilikua nikisikia wakisema aunt fulani hajaolewa hadi leo, wanamshangaa, naona sasa kibao kimegeuka nimekua huyo aunt pia aah[emoji23].

Karibuni na muwe na jpili njema...
Mungu ana namna yake....kuolewa sio lazima ni uhai na kua na mtu wa kukufajili na kukufanya uendlee kupigania uhai wako

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
nakumbuka wakati nasoma wamama wa mtaani. walikuwa wananishauri nivae gauni ndefu na kanga juu kujisitiri mwili kwani miaka 18 inakaribia ya kutakiwa kuolewa, nikawa navaa kwa heshima balaa, cha ajabu hiyo miaka ilipofika nilikuwa na stress za kufeli form four yaani nikitazama wenzangu wanarudi rikizo kutoka boding form five. afu mi nipo narisiti nilijihisi mbaya sana, kilichofuata nikakazabuti kwenye kitabu ili nami waniheshimu, mpk nafanikiwa kuingia chuo hadi namaliza ule umri wakuolewa ulishanitupa ndo kwanza naendea27...., 27-29 yrs ni mwaka wakusota na bahasha hapo wewe na boy wako mnasota na bahasha, inatimu31yrs mwenzio 35 ndo maisha mnaanza kuyakubali ya mtaani bila ajira mnafanya bizness ndogondogo ili ata unapomtambulisha lile swalila ANAFANYA KAZI GANI lipate jibu lake.


so acording to you mtoa mada fanya kulingana na uonavo sio waonavo swala la kuolewa mabinti tulishatishiwa tangu miaka 18.
 
Mungu ana namna yake....kuolewa sio lazima ni uhai na kua na mtu wa kukufajili na kukufanya uendlee kupigania uhai wako

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Mungu ana namna yake na ndio maana anatoa maelekezo yake.

Ili hiyo namna iwe inabidi ufuate maelekezo yake Mungu.

Haya tubakini ni hiyo notion ya kuolewa sio lazima. Haahahahaha
 
Akina mzabzab hapana siwataki, ntampata huko huko kwenye Phd 😂
Wewe olewa kusoma kupo tuu na hakutaisha. Kama mwanamke kwa kweli ukiolewa before 30 inapendeza umeshindwa sana basi mwisho 33.

Hao wa phd hawajui kugegeda wewe wanajaza maformula tuu vichwani.
 
Back
Top Bottom