Wale mliooa wake zenu wakiwa na zaidi ya miaka 30 na wadada mlioolewa mkiwa na zaidi ya miaka 30 pia, karibuni kwa maoni na uzoefu wenu

Wale mliooa wake zenu wakiwa na zaidi ya miaka 30 na wadada mlioolewa mkiwa na zaidi ya miaka 30 pia, karibuni kwa maoni na uzoefu wenu

Maoni yako potofu mkuu.

Sio tunaipa ndoa uzito mkubwa ambao haistahili. Uhalisia ni kwamba ndoa hatuipi uzito mkubwa unayostahili. Ndoa ni jambo kubwa sana na Zito, lenye baraka tele katika maisha ya mtu.

Amebarikiwa sana yule ambae atapewa/ atapata mke/mume Bora.

Hapo juu haijasemwa atakaepata kimada au demu Bora. Imesemwa mke Bora bro.

Huyo dada mzuri na tabia yake safi hawezi kuliwa hovyo na vijana wasioeleweka. Ukimuona dada analiwa ovyo na vijana wasioeleweka ujue huyo hana hiyo tabia safi.

Unawadanganya wadada kwamba they can make their lives beautiful without marriage??? Hilo haliwezekani mkuu. Hao wadada unaowaona hawana ndoa na eti wana maisha beautiful basi wana-pretend tu lakini hawana furaha kabisa ya hayo maisha.

By the way mawazo yangu sio sheria
Umemalizia vizuri maneno yako sio sheria. Swala la ndoa ni mtazamo wa mtu, mfano kwangu watoto muhim lakini ndoa sio kipaumbele.
 
1. Mwisho wa siku sio kila mwanamke ataolewa;
2. Ukiolewa below 30 angalau 28 kushuka chini ni heri sana. Ikishindikana pia maisha yaendelee. Stick to your principle mtu sahihi atakuja.
Kwa wale vijana ambao wako chuoni ndio muda mzuri wa kupata mwenzao. Msitake wale well established. Tafuta mtu mmoja anayekupa furaha na raha muanze maisha pamoja kujiepusha na stress za kuolewa kuanzia late twenties.
Mwisho wa siku ndoa inabakia kuwa fumbo na mtihani mkubwa.
 
Mdada akiwa hana pesa na yupo na miaka 30- kuendelea ndio inakuwa vigumu kuolewa ila akiwa anajiweza ni rahisi sana kuolewa nini? Sababu akiwa hana pesa katika umri huo anakuwa na vihere here vingi na anakuwa ameshajaribu na kukwepa na kupigwa na mishale mingi kupelekea kutoa mimba nyingi.. kwa kukataliwa na waliompa kwa hivyo anakuwa mtego kwa kila anayekutana nae kama mwanaume wake.. na hisia zake zinakuwa chache wakati huo.. WANAUME OYEE
 
Ni asili ya wanaume kuvutiwa na mabinti under 30 kwa sababu ya fertility kubwa zaidi kupata watoto wanayokuwa nayo wanawake wadogo. Pia ni asili ya wanawake kuvutiwa na wanaume wenye kujiweza kifedha au mali kwa sababu wanawake wanafikiria zaidi matunzo ya watoto baada ya kuzaa
 
Mimi nina maoni tofauti kidogo.

Kwa nini tunaipa ndoa uzito mkubwa ambao haistahili.Kwani maisha bila ndoa hayawezekani?

Unamkuta dada wa watu mzuri tu na tabia yake safi lakini analiwa ovyo na wanaume wasioeleweka na wasiompenda kisa kutafuta ndoa. Tena wengine shida yao ni kuvaa shela tu awakoge kina Mwajuma Nchokonoe kwenye vijiwe vya umbea vya kisasa vya instagram na whatsapp.

Ladies you can make your life beautiful even in absence of marriage.
Ndugu , jamaa na marafiki watanionaje kama sijaoa au hajaolewa ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpaka mzabzab mpenda p* anayepondaga ndoa kila siku, Leo anakuambia Ndoa ni ya muhimu, hili jambo siyo la kupuuza mdogo wangu financial services..
Mwanamke ukibata bahati ya kuolewa olewa tuu lah sivuonutaishia gegedwa na wakina mzabzab baadae majuto. Utaishia kuolewa na mwanaume isa ana mgegegdo tuu. After 30 market value inashuka bwana
 
Mimi nina maoni tofauti kidogo.

Kwa nini tunaipa ndoa uzito mkubwa ambao haistahili.Kwani maisha bila ndoa hayawezekani?

Unamkuta dada wa watu mzuri tu na tabia yake safi lakini analiwa ovyo na wanaume wasioeleweka na wasiompenda kisa kutafuta ndoa. Tena wengine shida yao ni kuvaa shela tu awakoge kina Mwajuma Nchokonoe kwenye vijiwe vya umbea vya kisasa vya instagram na whatsapp.

Ladies you can make your life beautiful even in absence of marriage.
Coward
 
Ni kweli siyo sheria maana ni uongo tu umeandika ....mwanamke ndo anaweza akaishi pekeyake bila mwanaume tofauti na upande wenu
Hehehehe [emoji1787][emoji1787][emoji1787] you are 50,, single without a family,,, let's assume ume staafu and Mungu mkubwa akubariki 90 years,,,,,,40 years of living solo,,,

Imagine that kind of life then njoo uandike tena sentence yako[emoji1787][emoji1787]
 
Hello wakuu!,

Happy Sunday to everyone, karibuni kwa maoni yenu, je ni kweli ukiwa above 30yrs kuna possibility ya kutokuolewa kwa wadada? Sababu ni nini, kwani suala la ndoa linazingatia umri na si upendo baina yenu mnaotarajia kuwa wanandoa? Mliooa na kuolewa katika umri huo je kuna tofauti yoyote mnayoiona ? Maisha yanaendaje ?ushauri wenu ni upi kwa wengine?.

Kumekua na maneno ya kutishana mitaani na hata baadhi ya threads humu kwamba mdada ukiwa na 30s ndiyo basi tenaa, sometimes hupelekea wadada kuolewa tu na mtu yeyote hata wasiyempenda sababu tu ya kigezo hicho kwamba she's in her 30s na anahofia atakosa ndoa.

Zamani mtaani kwetu nilikua nikisikia wakisema aunt fulani hajaolewa hadi leo, wanamshangaa, naona sasa kibao kimegeuka nimekua huyo aunt pia aah😂.

Karibuni na muwe na jpili njema...
Kuchelewa kuolewa na kuzaa ina kuweka hatarini kujifungua mtoto mwenye matatizo ya akili na mengine mengi,
kwa mwanamke kadiri umri unavyoenda.
 
Back
Top Bottom