Wale mliooa wake zenu wakiwa na zaidi ya miaka 30 na wadada mlioolewa mkiwa na zaidi ya miaka 30 pia, karibuni kwa maoni na uzoefu wenu

Wale mliooa wake zenu wakiwa na zaidi ya miaka 30 na wadada mlioolewa mkiwa na zaidi ya miaka 30 pia, karibuni kwa maoni na uzoefu wenu

NDOA ni mpango wa MUNGU katika kujenga jamii ya wanadamu watakaoishi ndani ya misingi ya kutii na kuheshimu maagizo na matakwa ya ki'MUNGU hapa duniani.

Wanadamu tupo duniani kuishi ndani ya maelekezo ya MUNGU na kufuata miiko na makatazo yake. Kinyume chake ni kujenga jamii isiyo tii maagizo na mafunzo yake yeye muumbaa.

Ndoa hutakiwa kufanyika katika umri mdogo lengo likiwa ni vijana waweze kuishi ndani ya misingi ya imani na kuachana na mambo potofu ambayo miaka ya baadae hayatakuwa na tija wala faida katika maisha yao.

Mfumo wa maisha tunaoishi huwa inakinzana sana na mifumo sahihi ya kuishi na kufuata njia za MUNGU. Hii ni kuanzia namna tunakula, namna tunavaa, namna tunagawana majukumu ya kijinsia, malezi ya watoto, namna ya kufanya uongozi wa jamii na kadhalika. Hii imetokana na wanadamu kupotoka na kutoka nje ya mafunzo kila uchao.

Wataalamu wa falsafa wanakwambia ukiishi nje ya mafunzo ya MUNGU (Nature) then utatakiwa kujijengea mfumo wako wa kila kitu ili uweze kuwa salama na kuishi maisha yako hapa duniani bila madhara jambo ambalo haliwezekani.

Kwann haliwezekani ni kwasababu MUNGU ndie anaesimamia kila jambo katika maisha yetu tunapolala na tukiwa macho siku zote za uhai wetu. Hata wale unaowatumainia kukulinda wewe ( mabodyguard,askari jeshi,madaktari, dereva wa basi la mkoa,rubani wa ndege) nao wanamrejea MUNGU ili waweze kuifanya kazi yao vema.

Sasa jiulize wewe ni nani alikupa mamlaka ya kuamua nje ya maelekezo ya yule anaesimamia na mkuu wa yote.

Si maagizo ya MUNGU kuwa binti ukae na kusubiria upate masters ndipo useme nipo tayari kuolewa au kuanza maisha. kama ingekuwa hivyo basi katika maagizo ya vitabu vyake angesema "enyi wanaume wangoojeeni wachumba wenu wamalize masters ndipo muwaoe muanze familia"

Ndoa umri wake ni ule mchanga ukiwa bado mchanga wa dunia ndipo uingie kisha kumuomba MUNGU akuongoze uishi ndani ya ulinzi wake. La hasha kama haitawezekana basi tunza heshima yako ya mwili na roho hadi pale utakapomaliza shule huku ukimuomba kila uchao akupe ruhusa na ulinzi umalize masomo salama na uweze ingia ndoani,ila sote twajua hii ni ngumu mno na ndipo hapo tunapojidhihirisha kuwa hatupo tayari kwa yale tunayomwambia MUNGU atupe.

Kwa kumalizia niseme tu, maisha tunayoishi sasa si mpango wa MUNGU bali ni maono ya wanadamu na ndio maana yamejawa na hofu,vilio,masikitiko,maumivu,tamaa,chuki,wivu wa hasara,jazba na hasira pamoja na vingine vyote vinavyokinzana na upendo na amani.

Hii ni matokeo ya sisi wanadamu kwa viburi vyetu kumwambia MUNGU kuwa hatupo tayari kufuata maagizo yake bali tutafuata maono yetu.

Na ndio maana hata ukisoma hata utaona kuna wachangiaji wanacomment kwa kiburi tu kuwa "Ndio sio kitu cha lazima"." Zaa tu mtoto wako halafu ishi single" "utaolewa tu hata miaka 55" hizi na comment nyinginezo za aina hii ni taarifa ya namna gani kiburi cha mwanadamu kinaweza kukua akajiona yeye ana maamuzi hata kuamua kinyume na muumba sababu amefyatuka na maisha.

So kwasababu tumechagua kuishi bila kushika maagizo ya muumba basi tukubali kuwa tumechagua kuwa nje ya ulinzi wake. Tumekataa kuongozwa na mafunzo ya vitabu vyake tunataka kuongozwa na viburi,maono na tamaa za akili zetu bila yeye. Basi na tusilalamike haya yanayotukuta, usingle mother, ukahaba,udangaji, wazazi kubaka watoto wao, ukatili,mauwaji,ushoga,ufisadi,rushwa,kumomonyoka maadili, ubinafsi, usaliti wa mapenzi,etc.

Ni hayo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake above 30y hua wanamatatizo mengi. Nitakutajia 0.001% ya hilo lundo la matatizo yao

1. Uzazi unakua wa manati
2. Shahawa na manii zinapotea njia na mimba zinatunga popote pale
3. Wanqzaa watoto wenye mapungufu
4. Wanakua washabomolewa na njembaz sana
5. Wako waluwalu hawanautaratibu
6. Nyapu zimekomaa hata harufu yake sio ile tunayoipendaga
7. Maumbile yanachoka hata mvuto wa mapenzi unakua chini
8. Hata wao hawapati utamu vizuri (sugua utakavyosugua)
9. Hawatumwi

Source: Shemeji yenu
Hahahaaahaahaa[emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38]

Shemeji yupi? Uliyenae au?[emoji12][emoji12][emoji12][emoji1787][emoji1787]
 
Watoto wa nje ya ndoa huwa mna maneno ya kejeli sana kuhusu maagizo ya MUNGU.

So unahisi ndoa ni mpango wa binadamu?!

Shida ya malenzi nje ya imani ndio hii.... Haramu unaona halali na halali unaona haramu. Nyooooooooooooh

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we jamaa huwa una mdomo sana
 
Mkifatwa inbox mnaringa na kutublock.

Tukiwaomba namba, mnatupea namba za zimamoto ama nmba za wajomba zenu.

Tukiwafata face to face kuwatongoza mnaleta mashauzi na dharau za kijinga,

Sasa malipo yenu ni hapahapa, Hakuna mume wa miujiza utashushiwa na Mungu bila kupitia hizi njia mnazozi-escape.

Narudia tena nakukaza maneno hakuna ndoa ya muujiza, hakuna mume wa muujiza, kawaulizeni mama zenu,shangaz na dada zenu walioolewa waliweza vipi? Jibu utalipata kuwa waliolewa sababu hawakuwa jeuri kma mlivyo ninyi masista duu.

Mficha uchi azai, yaan upigike Age yoote ya 18-20s then uje umuuzie nani chuma chakavu age ya30s?? Labda uwe lishangazi na pesa zako uwahonge vijana wadogo yaani uwaowe wew.

Hata wazee hawataki kuoa wazee wenzao, sasa sjui itakuwaje kwenu vyuma chakavu.

Naona umeanza kushituka wakati kushakucha, yaan inshort tunasema it's too late but usikate tamaa, muda unao bado, kma huyo sharobaro wako anakupotezea muda, ropoka now unaweza pata husband material humu ukabadiri ratiba nzima ya maisha yako.

Muda ni sasa, hii iwafikie wadada woote wenye age26-30 wenye ndoto za kuolewa lkn hawajaolewa sabbu ya tabia zao za ujanja wa kishamba

Huu ndio ukweli ambao wengi humu hawatokuambia.

The bitter truth [emoji23]
Ahaaaahaaaahaaahaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1732][emoji1732][emoji1732]

Kubabbbk kichambo heavy[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hello wakuu!,

Happy Sunday to everyone, karibuni kwa maoni yenu, je ni kweli ukiwa above 30yrs kuna possibility ya kutokuolewa kwa wadada? Sababu ni nini, kwani suala la ndoa linazingatia umri na si upendo baina yenu mnaotarajia kuwa wanandoa? Mliooa na kuolewa katika umri huo je kuna tofauti yoyote mnayoiona ? Maisha yanaendaje ?ushauri wenu ni upi kwa wengine?.

Kumekua na maneno ya kutishana mitaani na hata baadhi ya threads humu kwamba mdada ukiwa na 30s ndiyo basi tenaa, sometimes hupelekea wadada kuolewa tu na mtu yeyote hata wasiyempenda sababu tu ya kigezo hicho kwamba she's in her 30s na anahofia atakosa ndoa.

Zamani mtaani kwetu nilikua nikisikia wakisema aunt fulani hajaolewa hadi leo, wanamshangaa, naona sasa kibao kimegeuka nimekua huyo aunt pia aah[emoji23].

Karibuni na muwe na jpili njema...
Tunaitwa SHANGAZI ila dunia[emoji24][emoji24][emoji29]

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Hello wakuu!,

Happy Sunday to everyone, karibuni kwa maoni yenu, je ni kweli ukiwa above 30yrs kuna possibility ya kutokuolewa kwa wadada? Sababu ni nini, kwani suala la ndoa linazingatia umri na si upendo baina yenu mnaotarajia kuwa wanandoa? Mliooa na kuolewa katika umri huo je kuna tofauti yoyote mnayoiona ? Maisha yanaendaje ?ushauri wenu ni upi kwa wengine?.

Kumekua na maneno ya kutishana mitaani na hata baadhi ya threads humu kwamba mdada ukiwa na 30s ndiyo basi tenaa, sometimes hupelekea wadada kuolewa tu na mtu yeyote hata wasiyempenda sababu tu ya kigezo hicho kwamba she's in her 30s na anahofia atakosa ndoa.

Zamani mtaani kwetu nilikua nikisikia wakisema aunt fulani hajaolewa hadi leo, wanamshangaa, naona sasa kibao kimegeuka nimekua huyo aunt pia aah[emoji23].

Karibuni na muwe na jpili njema...
Kuanzia miaka 30+ ni single mother tu.

NANI AKAOE LIZEE????
 
Shida yenu nyie "Career Women" mnataka kuanzisha familia mkiwa na miaka 35, sasa muda huo Mwanaume wa 38-40 anaangalia hottie wa miaka 23/24 sababu SMV kwake ipo juu kuliko wewe wa 35.

Kinachotokea unakuwa overstressed unaanza kutumia meds mwisho wa picha Overweight ndio unalose mvuto kabisa hakuna anayepiga hodi.

For the high value men, a woman who Knows how to cook > a woman with degree.
Fact!

Fact kabisaaaa
 
Hello wakuu!,

Happy Sunday to everyone, karibuni kwa maoni yenu, je ni kweli ukiwa above 30yrs kuna possibility ya kutokuolewa kwa wadada? Sababu ni nini, kwani suala la ndoa linazingatia umri na si upendo baina yenu mnaotarajia kuwa wanandoa? Mliooa na kuolewa katika umri huo je kuna tofauti yoyote mnayoiona ? Maisha yanaendaje ?ushauri wenu ni upi kwa wengine?.

Kumekua na maneno ya kutishana mitaani na hata baadhi ya threads humu kwamba mdada ukiwa na 30s ndiyo basi tenaa, sometimes hupelekea wadada kuolewa tu na mtu yeyote hata wasiyempenda sababu tu ya kigezo hicho kwamba she's in her 30s na anahofia atakosa ndoa.

Zamani mtaani kwetu nilikua nikisikia wakisema aunt fulani hajaolewa hadi leo, wanamshangaa, naona sasa kibao kimegeuka nimekua huyo aunt pia aah[emoji23].

Karibuni na muwe na jpili njema...
Nukuu "naona sasa kibao kimegeuka nimekua huyo aunt pia aah[emoji23]."

Mkuu bado hujaolewa?
 
Back
Top Bottom