Wale mliooa wake zenu wakiwa na zaidi ya miaka 30 na wadada mlioolewa mkiwa na zaidi ya miaka 30 pia, karibuni kwa maoni na uzoefu wenu

Wale mliooa wake zenu wakiwa na zaidi ya miaka 30 na wadada mlioolewa mkiwa na zaidi ya miaka 30 pia, karibuni kwa maoni na uzoefu wenu

[emoji23][emoji23][emoji23]
Hadi sasa pasaka kuna kipi kinachoendelea?[emoji2096][emoji2096][emoji2096][emoji2096][emoji13][emoji13]


Nimefurahi umecheka na hizo emoj[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hadi sasa pasaka kuna kipi kinachoendelea?[emoji2096][emoji2096][emoji2096][emoji2096][emoji13][emoji13]


Nimefurahi umecheka na hizo emoj[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watakatifu wengine tuko Galilaya tunampokea Yesu mfufuka.... Watakatifu wengine wako JF wanavizia ubwabwa...

Mungu ana kazi kubwa sana
 
Hadi sasa pasaka kuna kipi kinachoendelea?[emoji2096][emoji2096][emoji2096][emoji2096][emoji13][emoji13]


Nimefurahi umecheka na hizo emoj[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hebu utoke kwanza huko galilaya ndipo tuzungumze
 
Hello wakuu!,

Happy Sunday to everyone, karibuni kwa maoni yenu, je ni kweli ukiwa above 30yrs kuna possibility ya kutokuolewa kwa wadada? Sababu ni nini, kwani suala la ndoa linazingatia umri na si upendo baina yenu mnaotarajia kuwa wanandoa? Mliooa na kuolewa katika umri huo je kuna tofauti yoyote mnayoiona? Maisha yanaendaje? Ushauri wenu ni upi kwa wengine?.

Kumekuwa na maneno ya kutishana mitaani na hata baadhi ya threads humu kwamba mdada ukiwa na 30s ndiyo basi tenaa, sometimes hupelekea wadada kuolewa tu na mtu yeyote hata wasiyempenda sababu tu ya kigezo hicho kwamba she's in her 30s na anahofia atakosa ndoa.

Zamani mtaani kwetu nilikuwa nikisikia wakisema aunt fulani hajaolewa hadi leo, wanamshangaa, naona sasa kibao kimegeuka nimekuwa huyo aunt pia aah[emoji23].

Karibuni na muwe na Jumapili njema...
Mi nimeona under hiyo age ila nahisi ana utoto na ujinga mwingi mpaka kero. Nafikiri kuoa mwanamke above 30 atakuwa ametulia akili. Japo hakuna uhakika maana wapo under 25 lkn wapo smart sana.
 
Vaa pendeza, kula vizuri , tafuta pesa Jipende Na Ujijali ukipata mwanaume mkaelewanaa mpe yoteee na umuheshimu. Ndoa ni swala la muda tu. Hakuna linaloshindikana
Hapo kwenye kuheshimu sijui Kama Hizi ng'ombe zinaelewa
 
Hello wakuu!,

Happy Sunday to everyone, karibuni kwa maoni yenu, je ni kweli ukiwa above 30yrs kuna possibility ya kutokuolewa kwa wadada? Sababu ni nini, kwani suala la ndoa linazingatia umri na si upendo baina yenu mnaotarajia kuwa wanandoa? Mliooa na kuolewa katika umri huo je kuna tofauti yoyote mnayoiona? Maisha yanaendaje? Ushauri wenu ni upi kwa wengine?.

Kumekuwa na maneno ya kutishana mitaani na hata baadhi ya threads humu kwamba mdada ukiwa na 30s ndiyo basi tenaa, sometimes hupelekea wadada kuolewa tu na mtu yeyote hata wasiyempenda sababu tu ya kigezo hicho kwamba she's in her 30s na anahofia atakosa ndoa.

Zamani mtaani kwetu nilikuwa nikisikia wakisema aunt fulani hajaolewa hadi leo, wanamshangaa, naona sasa kibao kimegeuka nimekuwa huyo aunt pia aah[emoji23].

Karibuni na muwe na Jumapili njema...

Njoo mimi nikuoe mke wa pili..nipo serious
 
Mi nimeona under hiyo age ila nahisi ana utoto na ujinga mwingi mpaka kero. Nafikiri kuoa mwanamke above 30 atakuwa ametulia akili. Japo hakuna uhakika maana wapo under 25 lkn wapo smart sana.
Thank you for sharing mkuu, ila wanasema above 30yrs kuna complications za uzazi nk.🙄 Bora uvumiliane naye na kuendelea kumfundisha jinsi inavyotakiwa atakua sawa.
 
Back
Top Bottom