Wale mliooa wake zenu wakiwa na zaidi ya miaka 30 na wadada mlioolewa mkiwa na zaidi ya miaka 30 pia, karibuni kwa maoni na uzoefu wenu

Wale mliooa wake zenu wakiwa na zaidi ya miaka 30 na wadada mlioolewa mkiwa na zaidi ya miaka 30 pia, karibuni kwa maoni na uzoefu wenu

Ahsanteee maana mtaani wanatuona wazee eti tumepoteza mvuto. Nakubaliana na wewe hii age wengi tunakua tumeshaachana na mambo ya ujana tunafocus kwenye mambo muhimu ya maisha, tuko real na hatuna utoto.
Weeeeeeeee ina maana jimbo lipo wazi.
 
Hello wakuu!,

Happy Sunday to everyone, karibuni kwa maoni yenu, je ni kweli ukiwa above 30yrs kuna possibility ya kutokuolewa kwa wadada? Sababu ni nini, kwani suala la ndoa linazingatia umri na si upendo baina yenu mnaotarajia kuwa wanandoa? Mliooa na kuolewa katika umri huo je kuna tofauti yoyote mnayoiona? Maisha yanaendaje? Ushauri wenu ni upi kwa wengine?.

Kumekuwa na maneno ya kutishana mitaani na hata baadhi ya threads humu kwamba mdada ukiwa na 30s ndiyo basi tenaa, sometimes hupelekea wadada kuolewa tu na mtu yeyote hata wasiyempenda sababu tu ya kigezo hicho kwamba she's in her 30s na anahofia atakosa ndoa.

Zamani mtaani kwetu nilikuwa nikisikia wakisema aunt fulani hajaolewa hadi leo, wanamshangaa, naona sasa kibao kimegeuka nimekuwa huyo aunt pia aah[emoji23].

Karibuni na muwe na Jumapili njema...

[emoji23][emoji23][emoji23] aunt funancial services
 
Huelewi nini, kwani wewe unaona umechoka kuishi bila ndoa? Hivi kitu cha namna hiyo kinakuumiza kichwa kweli?

You're still a young lady, Relax!!
Hakiniumizi sana ila nafikiria mambo mengi, nahisi watoto wataniita bibi badala ya mama😂
 
Uende ukaoe mwanamke mwenye miaka 30 si utaishangaza dunia mzee

Hata kushawishi watu waoe wanawake wenye miaka 30 huo ni uhalifu wa kimtandao
Dah, comment yako kuna watu itawaumiza jamani.
 
Dah, comment yako kuna watu itawaumiza jamani.
Ni kawaida jamii kukushangaa ukioa mwanamke mwenye miaka 30 na kuendelea utaambiwa umeoa mzee
Lakin hata uhalisia wengi malengo ya kuoa huwa hatuweki kwenye kuoa mwanamke mwenye miaka 30+ tunaona ni kuidhulumu nafsi na wakat Kuna warembo wengi tu 18-26
 
Mimi nina maoni tofauti kidogo.

Kwa nini tunaipa ndoa uzito mkubwa ambao haistahili. Kwani maisha bila ndoa hayawezekani?

Unamkuta dada wa watu mzuri tu na tabia yake safi lakini analiwa ovyo na wanaume wasioeleweka na wasiompenda kisa kutafuta ndoa. Tena wengine shida yao ni kuvaa shela tu awakoge kina Mwajuma Nchokonoe kwenye vijiwe vya umbea vya kisasa vya instagram na whatsapp.

Ladies you can make your life beautiful even in absence of marriage.
Hapo umewalaghai kabisa, Huwezi kuheshimika kama huna ndoa

Uhuni ni kitndo cha Mwanaume/Mwanamke kukaa bila kuoa/kuolewa ilihali ni mtu mzima.

Hvo kama Dadaangu una 30 years na hujaolewa fanya juu chini hata kwa Sangoma timba vinginevyo wewe hutokua na tofaut na Wale Dada zetu wa bukubuku tena wewe utakua wa bure na ada unalipa wewe.
 
Hello wakuu!,

Happy Sunday to everyone, karibuni kwa maoni yenu, je ni kweli ukiwa above 30yrs kuna possibility ya kutokuolewa kwa wadada? Sababu ni nini, kwani suala la ndoa linazingatia umri na si upendo baina yenu mnaotarajia kuwa wanandoa? Mliooa na kuolewa katika umri huo je kuna tofauti yoyote mnayoiona? Maisha yanaendaje? Ushauri wenu ni upi kwa wengine?.

Kumekuwa na maneno ya kutishana mitaani na hata baadhi ya threads humu kwamba mdada ukiwa na 30s ndiyo basi tenaa, sometimes hupelekea wadada kuolewa tu na mtu yeyote hata wasiyempenda sababu tu ya kigezo hicho kwamba she's in her 30s na anahofia atakosa ndoa.

Zamani mtaani kwetu nilikuwa nikisikia wakisema aunt fulani hajaolewa hadi leo, wanamshangaa, naona sasa kibao kimegeuka nimekuwa huyo aunt pia aah[emoji23].

Karibuni na muwe na Jumapili njema...
Generally wanawake above 30 wasioolewa wasiolewe kabisa kwa maana inaonyesha haoni umuhim wa ndoa maishan mwake hata akiolewa atakua mtu wa kujali yaliyomchelewesha kuolewa
Unatafuta phd huna mchumba ng'ombe kbx
Utazaa lin,utalea watoto lin?
 
Back
Top Bottom