View attachment 931288
View attachment 931289
Wazee hizo gari zinaitwa EV Cars yani Electronic Vehicles, ziko compact size ya kubeba watu wanne size ile ile ya "BEBIWOKA" tulizozoea kupishana nazo mtaani! Habari njema ni kwamba hizi gari zinatumia charger ya mithili ya simu kwahivyo utaweza kuzichaji kila ulalapo usiku! Single charge inaweza kutembea kati ya 100-150km bila usumbufu na ikiwa idle inakuwaga na solar panel inayolichaji betri lake! ikumbukwe hii gari inatumia umeme pekee so hamna trip za kwenda sheli we ni plug tu na umeme! betri huchaji hadi kujaa ni masaa 8-10! Bei ni kitonga kama mnavyoona na unakuwa umenunua gar brand new 0kms kwa around million 9 hapo, ikumbukwe tu kuwa humo ndani ni full mufindi!!!!
wadau mnaonaje je hizi gari ziko makini