Wale mtakaofanikiwa ajira za Ualimu njooni hapa tujuzane

Wale mtakaofanikiwa ajira za Ualimu njooni hapa tujuzane

Wana jamii forum habari za Leo!
Nimeona nilete Uzi huu kwanii yamebaki Masaa machache waziri mwenyedhamana kutangaza majina ya waliopata kazi kulitumikia Taifa katika kada yavualimu na kada ya afya.

Hivyo basi wale mtakao fanikiwa njooni hapa tujuzane
. ili uweze kupata mwenzio,
.au wa njia moja.
. pili ujue mahali unapoenda kwa ufafanuzi
. ma DMO na wakuu wa shule watakupa msaada
.mazingira mengine ukisikia huko nje unaweza kulia ila hapa JF ipo nchi nzima utapata ufafanuzi wa kule unapo enda.

Karibuni saaana na kwale mnaopata kujua majina yametoka share nasi hapaa

By mdauView attachment 2272512
Mguu sawa mguu pande unashauriwa usikae pekee yako kaa na mwenzio fungue Jamii forum mpate hongera au faraja whatever
 
Hebu nichomoe hili jina nipachike lingine
20220626_103018.jpg
 
Anatoa taarifa kuhusu mradi, Ajira hua zinatangazwa na mtendaji mkuu wa wizara ambae ni katibu mkuu…prof. Shemdoe

Tuwe wavumilivu [emoji3] zitatangazwa kesho!
Watakuwa wote kila MTU kipande chake
 
Hivi ni kweli walioomba ni laki na nusu halafu wanaotakiwa ni 9800 tu?

Na hizo ajira ni kuanzia primary, o'leve na advance au ni za waalimu wa level ipi wakuu?? Maana kutoboa kwenye laki na nusu ni mtihani kweli kweli!!
 
Wana jamii forum habari za Leo!
Nimeona nilete Uzi huu kwanii yamebaki Masaa machache waziri mwenyedhamana kutangaza majina ya waliopata kazi kulitumikia Taifa katika kada yavualimu na kada ya afya.

Hivyo basi wale mtakao fanikiwa njooni hapa tujuzane
. ili uweze kupata mwenzio,
.au wa njia moja.
. pili ujue mahali unapoenda kwa ufafanuzi
. ma DMO na wakuu wa shule watakupa msaada
.mazingira mengine ukisikia huko nje unaweza kulia ila hapa JF ipo nchi nzima utapata ufafanuzi wa kule unapo enda.

Karibuni saaana na kwale mnaopata kujua majina yametoka share nasi hapaa

By mdauView attachment 2272512
Screenshot_20220626-120801_1656234510300.jpg
 
PDF isije tofauti na matumaini afu uka jikuta una jiua bure. Jiandaeni kwa kila hali
 
Majina yenywe mabaya [emoji3064]

Kwanza kuajiliwa ni dhambii [emoji3064][emoji3]
 
Back
Top Bottom