Mzee wa kusawazisha
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,601
- 1,172
Watu mnarushana rohoNi kuhusu Sensa. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu mnarushana rohoNi kuhusu Sensa. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji23]
Mguu sawa mguu pande unashauriwa usikae pekee yako kaa na mwenzio fungue Jamii forum mpate hongera au faraja whateverWana jamii forum habari za Leo!
Nimeona nilete Uzi huu kwanii yamebaki Masaa machache waziri mwenyedhamana kutangaza majina ya waliopata kazi kulitumikia Taifa katika kada yavualimu na kada ya afya.
Hivyo basi wale mtakao fanikiwa njooni hapa tujuzane
. ili uweze kupata mwenzio,
.au wa njia moja.
. pili ujue mahali unapoenda kwa ufafanuzi
. ma DMO na wakuu wa shule watakupa msaada
.mazingira mengine ukisikia huko nje unaweza kulia ila hapa JF ipo nchi nzima utapata ufafanuzi wa kule unapo enda.
Karibuni saaana na kwale mnaopata kujua majina yametoka share nasi hapaa
By mdauView attachment 2272512
Watakuwa wote kila MTU kipande chakeAnatoa taarifa kuhusu mradi, Ajira hua zinatangazwa na mtendaji mkuu wa wizara ambae ni katibu mkuu…prof. Shemdoe
Tuwe wavumilivu [emoji3] zitatangazwa kesho!
Ndgu tyr washatoa au maan hapa nahaha knma kutafuta PDF hilo ndguPenzi Primary School naomba namna ya kufika tokea Tunduru
Ndio hapo watuambie na wenzao jmn[emoji24][emoji24]majina mmeyatoa wap jamani?
Bado vuta subiraNdgu tyr washatoa au maan hapa nahaha knma kutafuta PDF hilo ndgu
Kwa hiyo jumla inakuwa 700k ama7 days
Duuh!! Leo tutazimia kbsa kw preshaBado vuta subira
Wana jamii forum habari za Leo!
Nimeona nilete Uzi huu kwanii yamebaki Masaa machache waziri mwenyedhamana kutangaza majina ya waliopata kazi kulitumikia Taifa katika kada yavualimu na kada ya afya.
Hivyo basi wale mtakao fanikiwa njooni hapa tujuzane
. ili uweze kupata mwenzio,
.au wa njia moja.
. pili ujue mahali unapoenda kwa ufafanuzi
. ma DMO na wakuu wa shule watakupa msaada
.mazingira mengine ukisikia huko nje unaweza kulia ila hapa JF ipo nchi nzima utapata ufafanuzi wa kule unapo enda.
Karibuni saaana na kwale mnaopata kujua majina yametoka share nasi hapaa
By mdauView attachment 2272512
Ilishaonekana tayariNdgu tyr washatoa au maan hapa nahaha knma kutafuta PDF hilo ndgu
SifahamuKwa hiyo jumla inakuwa 700k ama
Mm division two 2002 nimesomea uwalimusubsistance allowance ninini kaka