Queen Kan
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,226
- 8,961
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini tena dada
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nikishaona wanatoa majina bila mpangilio wa alphabet hapo moja kwa moja najua ni majina ya mchongo wanatoa kutuchanganya macho yetu
Hiyo iko wazi kaka wanatuona sie mabwege nazi. Yaani wanachukua majina sijui ritha huko halafu wanayanchanganya na ya wastaafu wa mwaka 1994 baada ya happy wanaongezea na majina kadhaa(yasiyozidi 500) ambayo ni halali then ndo wanaweka mchongo PDF. Kuna dogo anatafuta jina lake tangu saa 8 mchana hata kula hajala saiv ndo anakubali kuwa hayupo amelaani ukoo wote wa Bashungwa na Shemdoe... [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Nikishaona wanatoa majina bila mpangilio wa alphabet hapo moja kwa moja najua ni majina ya mchongo wanatoa kutuchanganya macho yetu
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Hiyo iko wazi kaka wanatuona sie mabwege nazi. Yaani wanachukua majina sijui ritha huko halafu wanayanchanganya na ya wastaafu wa mwaka 1994 baada ya happy wanaongezea na majina kadhaa(yasiyozidi 500) ambayo ni halali then ndo wanaweka mchongo PDF. Kuna dogo anatafuta jina lake tangu saa 8 mchana hata kula hajala saiv ndo anakubali kuwa hayupo amelaani ukoo wote wa Bashungwa na Shemdoe... [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Masomo ganiHiyo iko wazi kaka wanatuona sie mabwege nazi. Yaani wanachukua majina sijui ritha huko halafu wanayanchanganya na ya wastaafu wa mwaka 1994 baada ya happy wanaongezea na majina kadhaa(yasiyozidi 500) ambayo ni halali then ndo wanaweka mchongo PDF. Kuna dogo anatafuta jina lake tangu saa 8 mchana hata kula hajala saiv ndo anakubali kuwa hayupo amelaani ukoo wote wa Bashungwa na Shemdoe... [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Dogo alisomea Diploma in primary Ed, All primary subjects. Kamaliza 2019 anavolunteer shule moja huko jijini DarMasomo gani
HaaaaDogo alisomea Diploma in primary Ed, All primary subjects. Kamaliza 2019 anavolunteer shule moja huko jijini Dar
Mkuu hili Taifa tunapoelekea tutatembea tunaongea peke yetu kama machizi.Any way tutakutana nao kwenye uchaguziHiyo iko wazi kaka wanatuona sie mabwege nazi. Yaani wanachukua majina sijui ritha huko halafu wanayanchanganya na ya wastaafu wa mwaka 1994 baada ya happy wanaongezea na majina kadhaa(yasiyozidi 500) ambayo ni halali then ndo wanaweka mchongo PDF. Kuna dogo anatafuta jina lake tangu saa 8 mchana hata kula hajala saiv ndo anakubali kuwa hayupo amelaani ukoo wote wa Bashungwa na Shemdoe... [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Mwenye uzi kapigwa za uso kaamua autelekezeJamani mliopata njooni muuhuishe uzi.
Ha!ha!mwenye uzi yupo kweli au naye kala Cha mbavu kama sie wengine na uzi kautelekeza.
Nipo ila duuu poleni mliokosa na mliopata hongereni saanaMwenye uzi kapigwa za uso kaamua autelekeze
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mwenye uzi kapigwa za uso kaamua autelekeze
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu cna lol.Hiyo iko wazi kaka wanatuona sie mabwege nazi. Yaani wanachukua majina sijui ritha huko halafu wanayanchanganya na ya wastaafu wa mwaka 1994 baada ya happy wanaongezea na majina kadhaa(yasiyozidi 500) ambayo ni halali then ndo wanaweka mchongo PDF. Kuna dogo anatafuta jina lake tangu saa 8 mchana hata kula hajala saiv ndo anakubali kuwa hayupo amelaani ukoo wote wa Bashungwa na Shemdoe... [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]Hiyo iko wazi kaka wanatuona sie mabwege nazi. Yaani wanachukua majina sijui ritha huko halafu wanayanchanganya na ya wastaafu wa mwaka 1994 baada ya happy wanaongezea na majina kadhaa(yasiyozidi 500) ambayo ni halali then ndo wanaweka mchongo PDF. Kuna dogo anatafuta jina lake tangu saa 8 mchana hata kula hajala saiv ndo anakubali kuwa hayupo amelaani ukoo wote wa Bashungwa na Shemdoe... [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]