Wale mtakaofanikiwa ajira za Ualimu njooni hapa tujuzane

Wale mtakaofanikiwa ajira za Ualimu njooni hapa tujuzane

Nikishaona wanatoa majina bila mpangilio wa alphabet hapo moja kwa moja najua ni majina ya mchongo wanatoa kutuchanganya macho yetu
Hiyo iko wazi kaka wanatuona sie mabwege nazi. Yaani wanachukua majina sijui ritha huko halafu wanayanchanganya na ya wastaafu wa mwaka 1994 baada ya happy wanaongezea na majina kadhaa(yasiyozidi 500) ambayo ni halali then ndo wanaweka mchongo PDF. Kuna dogo anatafuta jina lake tangu saa 8 mchana hata kula hajala saiv ndo anakubali kuwa hayupo amelaani ukoo wote wa Bashungwa na Shemdoe... [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Hiyo iko wazi kaka wanatuona sie mabwege nazi. Yaani wanachukua majina sijui ritha huko halafu wanayanchanganya na ya wastaafu wa mwaka 1994 baada ya happy wanaongezea na majina kadhaa(yasiyozidi 500) ambayo ni halali then ndo wanaweka mchongo PDF. Kuna dogo anatafuta jina lake tangu saa 8 mchana hata kula hajala saiv ndo anakubali kuwa hayupo amelaani ukoo wote wa Bashungwa na Shemdoe... [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Hiyo iko wazi kaka wanatuona sie mabwege nazi. Yaani wanachukua majina sijui ritha huko halafu wanayanchanganya na ya wastaafu wa mwaka 1994 baada ya happy wanaongezea na majina kadhaa(yasiyozidi 500) ambayo ni halali then ndo wanaweka mchongo PDF. Kuna dogo anatafuta jina lake tangu saa 8 mchana hata kula hajala saiv ndo anakubali kuwa hayupo amelaani ukoo wote wa Bashungwa na Shemdoe... [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Masomo gani
 
Hiyo iko wazi kaka wanatuona sie mabwege nazi. Yaani wanachukua majina sijui ritha huko halafu wanayanchanganya na ya wastaafu wa mwaka 1994 baada ya happy wanaongezea na majina kadhaa(yasiyozidi 500) ambayo ni halali then ndo wanaweka mchongo PDF. Kuna dogo anatafuta jina lake tangu saa 8 mchana hata kula hajala saiv ndo anakubali kuwa hayupo amelaani ukoo wote wa Bashungwa na Shemdoe... [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Mkuu hili Taifa tunapoelekea tutatembea tunaongea peke yetu kama machizi.Any way tutakutana nao kwenye uchaguzi
 
IMG-20220626-WA0006.jpg
 
Hiyo iko wazi kaka wanatuona sie mabwege nazi. Yaani wanachukua majina sijui ritha huko halafu wanayanchanganya na ya wastaafu wa mwaka 1994 baada ya happy wanaongezea na majina kadhaa(yasiyozidi 500) ambayo ni halali then ndo wanaweka mchongo PDF. Kuna dogo anatafuta jina lake tangu saa 8 mchana hata kula hajala saiv ndo anakubali kuwa hayupo amelaani ukoo wote wa Bashungwa na Shemdoe... [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu cna lol.
 
Wakuu habari

Kwa anayefahamu vzr mazingira ya karema secondary (katavi region) anielekeze yako VP

Shule INA advance au in O'level tu?

Kwa mtu anayetokea dar, njia rahisi na nzuri kufika ni ipi, kupitia mbeya au tabora?

Asante
 
Hiyo iko wazi kaka wanatuona sie mabwege nazi. Yaani wanachukua majina sijui ritha huko halafu wanayanchanganya na ya wastaafu wa mwaka 1994 baada ya happy wanaongezea na majina kadhaa(yasiyozidi 500) ambayo ni halali then ndo wanaweka mchongo PDF. Kuna dogo anatafuta jina lake tangu saa 8 mchana hata kula hajala saiv ndo anakubali kuwa hayupo amelaani ukoo wote wa Bashungwa na Shemdoe... [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]
 
Hongereni walimu...mtaoa na kuolewa huko huko Kwa Wale ambao wapo single. Mkapige kazi kutekeleza ilani ya chama chetu pendwa CCM.

#Mamayupokazini
 
Back
Top Bottom