Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu uzi wataufurahia wataopata but kwa watakao kosa wataupita kwa Kasi na itakuwa ni kilio na kusaga meno.Wana jamii forum habari za Leo!
Nimeona nilete Uzi huu kwanii yamebaki Masaa machache waziri mwenyedhamana kutangaza majina ya waliopata kazi kulitumikia Taifa katika kada yavualimu na kada ya afya.
Hivyo basi wale mtakao fanikiwa njooni hapa tujuzane
. ili uweze kupata mwenzio,
.au wa njia moja.
. pili ujue mahali unapoenda kwa ufafanuzi
. ma DMO na wakuu wa shule watakupa msaada
.mazingira mengine ukisikia huko nje unaweza kulia ila hapa JF ipo nchi nzima utapata ufafanuzi wa kule unapo enda.
Karibuni saaana na kwale mnaopata kujua majina yametoka share nasi hapaa
By mdau
Iko kahama manispaa kata ya mondo... hyo, kahama iko shinyanga... pitia tabora, ukifka tabora chukua gar za kwenda kahama mjini.Penzi Primary School naomba namna ya kufika tokea Tunduru
Ina maana wewe na majina yako ushajua unaenda shule ganiPenzi Primary School naomba namna ya kufika tokea Tunduru
Hahaha watu wana miaka 7 na sita wewe 4 unalalamaDaaa muda wa kusikiliza maumivu ...
Mwaka wa nne Sasa tamisemi hawalioni jina langu na kuliweka kwa pdf
Swali la kisenge sana hili, wabongo mmekuwa wajinga wajinga kweliHivi kuna division one au two wanaosomea ualimu??
mbona kama umepanick mwalimu wa arts!!Swali la kisenge sana hili, wabongo mmekuwa wajinga wajinga kweli
subsistance allowance ninini kakaHivi kuna division one au two wanaosomea ualimu??
ni nini hiyosubsistance allowance na vp kwa walimu wapya wataingia kwenye mfumo wa malipo moja kwa moja au kuna miezi ya uangaliziNa pia jiandaeni kupata subsistance allowance kwa mara ya kwanza na mama amezipandisha na kuwa 100,000+ kwa siku japo sina uhakika kama ni kwa vsiku 7 au kwa siku 14, mwenye uhakika na hilo atujuvye hapa!
Wapo wengi tuu,Hivi kuna division one au two wanaosomea ualimu??
Ndiyo nimepanick, sasa kama nazungukwa na wapumbavu nikuchekee?mbona kama umepanick mwalimu wa arts!!
Ni kuhusu Sensa. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji23]