Wale mtakaofanikiwa ajira za Ualimu njooni hapa tujuzane

Wale mtakaofanikiwa ajira za Ualimu njooni hapa tujuzane

Wakuu habari

Kwa anayefahamu vzr mazingira ya karema secondary (katavi region) anielekeze yako VP

Shule INA advance au in O'level tu?

Kwa mtu anayetokea dar, njia rahisi na nzuri kufika ni ipi, kupitia mbeya au tabora?

Asante
Barbara ni Rami hadI sumbawanga Dar to mbeya mbeya to sumbawabga sumbawanga had I shule

Ngoja waje wenyeji watujuze
 
Back
Top Bottom