Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
imekula kwakeje ! mchumba wa sabaya itakuwaje
Daaah safi sana😂😂😂Sinaga ex
Naendelea kusoma comments
😂😂😂😂😂😂Mhh nyie wa kwenu wote wamechoka mbona inashangaza sana!
kufungwa kafungwa sabaya lakini roho inaniuma adi mimi😂😂😂je ! mchumba wa sabaya itakuwaje
na wala huna habari nao?😂😂Hata sijui wapo vipi huko waliko na watu zao
Daaah safi sanaMimi sijai kutana nae hata mmoja, uzuri na ubaya ma-ex wote ni wa mikoani nilikokua katika utafutaji, mkoa nilipo asaiv ni homeboy kabisa ila sikuaga na manzi na metulia nshaacha kusafiri safiri.
X factorSinaga ex
Naendelea kusoma comments
Unaandika hadithi hapa kuwa ex kachakaa na yeye anahadithia huko kuwa umebadilika umekuwa kadingi hajaamini macho yake kama yule kijana handsome ndo huyu dingi anayemuona....
Hahahahahah maisha hayaaa, hatari sanaaa, tuishi tu.Unaandika hadithi hapa kuwa ex kachakaa na yeye anahadithia huko kuwa umebadilika umekuwa kadingi hajaamini macho yake kama yule kijana handsome ndo huyu dingi anayemuona....
Acha kabisa mkuu.Hahahahahah maisha hayaaa, hatari sanaaa, tuishi tu.
Eti umekuwa dingi, u-hb wote kushnei[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha kabisa mkuu.
Hyo wazee wa kubeti tunaita both team to scoreUnaandika hadithi hapa kuwa ex kachakaa na yeye anahadithia huko kuwa umebadilika umekuwa kadingi hajaamini macho yake kama yule kijana handsome ndo huyu dingi anayemuona....