Wale tulioachana na Ma- X kwa ugomvi, ulimuonaje ulipokutana naye tena?

Mimi sijai kutana nae hata mmoja, uzuri na ubaya ma-ex wote ni wa mikoani nilikokua katika utafutaji, mkoa nilipo asaiv ni homeboy kabisa ila sikuaga na manzi na metulia nshaacha kusafiri safiri.
 
Mimi sijai kutana nae hata mmoja, uzuri na ubaya ma-ex wote ni wa mikoani nilikokua katika utafutaji, mkoa nilipo asaiv ni homeboy kabisa ila sikuaga na manzi na metulia nshaacha kusafiri safiri.
Daaah safi sana
 
Unaandika hadithi hapa kuwa ex kachakaa na yeye anahadithia huko kuwa umebadilika umekuwa kadingi hajaamini macho yake kama yule kijana handsome ndo huyu dingi anayemuona....
 
Unaandika hadithi hapa kuwa ex kachakaa na yeye anahadithia huko kuwa umebadilika umekuwa kadingi hajaamini macho yake kama yule kijana handsome ndo huyu dingi anayemuona....

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Reactions: Tsh
Unaandika hadithi hapa kuwa ex kachakaa na yeye anahadithia huko kuwa umebadilika umekuwa kadingi hajaamini macho yake kama yule kijana handsome ndo huyu dingi anayemuona....
Hyo wazee wa kubeti tunaita both team to score
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…