Wale tuliokulia kwenye familia za kishua tukutane hapa

Mimi kiukweli maisha yako hayanihusu, alafu sijui kwanini maskini tuna hasira na gubu 🥹😂
 
Ukiacha kuwekewa misingi pia wewe mwenyewe ulizingua KIBURI ndio kimekuangusha
 
Acha
Acha WIVU mzee ,wenzako Wana uwezo WA kula kuku wa kienyeji mara 10 kati ya 30, za mwezi ata kama ni nafaka je wabongo wengi wanaeza kufanya ivyo
 
Kama umenitumia sms inbox sijakujibu usiwaze nitakujib muda wowote

Nina sms nying sana najib Moja baada ya nyingine kiusahihi sitaki nijibu kwa haraka nisije kuonekana nalinga.

Kwa wale mnaotaka msaada wa kipesa nitapima kulingana na maelezo ya mtu wengine ni wagonjwa wamelazwa hao lazima tuwape kipaumbele, lakin kama unadanganya utajua mwenyewe.

Pia wale mnaotaka connection muwe wapole nitatekeleza matakwa yenu kwa uzuri unaositahil

Nitatoa msaada kadri ninavyoguswa

Ukisema kiasi furan ukaona nimetoa nusu ushukru pia, siyo kuongeza malalamiko na shida zingine. Ahsante
 
Hivi kwanini watoto wa kishua kama ni wanaume wanakuwa useless na wanawake wana sura ngumu kama baba zao? Yaani haki ya Mungu sijapata ona mtoto wa kishua mzuri maishani mwangu.
 
Zingatia acha pombe, nazani hata mkeo anaumia ila anakuvumilia tu kwa vile Hana la kufanya.

Tunza heshima yako na ya familia yako pia, usiruhusu historia yako mbaya ijirudie tena kwa kizazi kipya
Nakuelewa sana bro .
Hakika unahitaji nibadilike na wish sana ila sasa pombe ndugu yangu nitaanza kuiacha taratibu maana kwa haraka haraka sitaweza

Ni kweli shemeji yako ananivumilia tu kwa vile ananipenda vile nilivyo japo sasa umri wangu umeenda kiasi cha kuwa nahisi anawaza hata akiniacha ataenda wapi sasa zaidi atakuwa anajidharirisha .
 
Ndugu marehemu baba yangu alikuwa ana matumizi makubwa ya pombe, hivyo niliona athari zake. Ukiona tabu sana, basi ni pm namba yako tuwe tuna share hizo story zakoo na utaacha
 
Sio jf tu, ni watanzania wote. Hawapendi kusikia a good side ya mtu. Wanapenda wasikie mm nimeteseka sana. Au ss wanawake hawapendi wasikie sijui mume wangu ananipenda utasikia ndoa mpya tu hiyo. I dont know why
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…