Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Mi mkuu huwa Nina style zangu, enzi hizo kakolea. Afu mi ndo kwanza nawaza nitatoboa vipi kwenye hili life.
Kosa hilo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi mkuu huwa Nina style zangu, enzi hizo kakolea. Afu mi ndo kwanza nawaza nitatoboa vipi kwenye hili life.
Ndizi za kupika ungekaa bukoba ungezoea wanakula ndizi kila siku yaanDah mimi ndizi sipend huwa nakula kwa hamu au kama nipo ugenin
Ndizi za kupika ungekaa bukoba ungezoea wanakula ndizi kila siku yaan
Wao ni wao thanx bro ,dah imenigusa sana,kikubwa usikate tamaa na usikubali watoto wako wapite njia yako,pole sana mkuuMimi najuta sababu nimeharibiwa future yangu na huu upuuzi .
Nimekulia dasalam sehemu ya ushuani hasa zama hizo za baba wa taifa , nikasoma nje baada ya mzee kupelekwa huko nje .
Nikala kitabu mpaka nikapata proffession yangu huku mzee akiwa bado yuko ofisini .
Tukazaliwa wawili mimi na sister yangu sikujua kupika wala kufua sio mimi tu hata dada yangu .
Nikalelewa kizungu ujinga ukanijaa nikahitimu masomo nikala kazi mapema sana hapa bongo , ushenzi ukaanza pale kazini nilipokutana na majungu nikawa mtu wa kufyumu na kupotezea namaanisha nimeacha kazi mara sita ya saba haitotokea maana mzee ashatangulia mbele za haki nikijiroga yatanikuta [emoji3]
Nilianza kunywa pombe nikiwa na miaka kumi na nne , leo hii pombe imenighalimu sana yaani kwasasa nimepelekwa vijijini sana kisa pombe kuzidi kazini mpaka nhamishiwa vijijini kama adhabu .
Mzee hakunijenga kama mwanaume ili niweze kuendeleza mali zake , kadanja kamuacha bi mkubwa naye bi mkubwa baadae kadanja hivi navyoongea sina mali ya mzee niliyorithi zaidi ya elimu tu na gari lake la kitambo na nyumba hiyo ya ushuani (nayo sister naona kama vile ataiuza alafu mimi aniteme maana naye mtata tu )
Ukiniuliza hata sielewi maana mama alisema sijui ni nini basi nimeishia tu kuwaona ujombani wakiwa na maisha bora baada ya mama kufa hivyo najua walichukua kila kitu .
Sina maisha ya kuungaunga ila sasa nawaza ningeandaliwa misingi ya kuwa mwanaume kweli basi hata leo ningekuwa na mali nyingi ila ndiyo hivyo nimebaki kupaangalia nyumbani tu kama mgeni maana hata kwa kwenda sijui ni wapi ujombani au kwa akina baba maana mimi siwaelewi na wao hawanielewi sababu wazazi hawakuwa na ukaribu na ndugu zao kabla ya kifo yaani ule ukaribu wa sisi labda kamsalimie bibi mara uncle hayo hayakuwepo
Sijui kufua wala kupika na umri huu wa sitini kasoro .
Ngono nimeanza kufanya na miaka kumi na mshua alikuwa anajua ila anaishia kusema be care .
Oyaa ngoma nimepona tu kwa vile wazungu wengi ngoma hawana sio kama hapa kwetu .
Nilileta ukishua vijijini kwa watu nikaozeshwa ndoa ya mkeka [emoji3] na sasa niko na mwanamke ila ukiniuliza niliwahi kuwaza kuoa sijui hata kama hilo wazo liliwahi nijia .
Naishi kwa akili za mwanamke maana yeye ameyajua madhaifu yangu hivyo kadi ya benki na mahitaji ya kiume yote utoa yeye baada ya kuninyang'anya kadi ya benki baada ya kunishtaki kwa wakubwa .
Kutokuwekewa misingi ya maisha halisi yalivyo kumenifanya baada ya mzee kufariki nijichanganye sana na jamii ya watoto wa uswazi yaani Keko , Tandika , Temeke , Mwananyamala , Mburahati huniambii chochote na hunidanganyi chochote .
Sijaambulia maarifa ya maisha zaidi walinifunza kuvuta bangi na mwisho wakawa machawa wangu ila sasa nilishawatema .
Nakunywa pombe mpaka sijielewi na kuacha nawaza japo sio leo [emoji848]
Ni nyumba tu iliyoko huko ushuani ndiyo natamba nayo kuwa hapa ndiyo kwetu ila ushua wa kwetu changanya na uzungu basi nilikuwa kama mbwa wa kisasa aliyekosa matunzo baada ya wazee kutangulia .
Nachofurahia kazi ninayoifanya naipenda japo kabla sijalewa nikilewa wewe pita kule .
Nipende kuwaasa wazazi na walezi , uwe na hela usiwe na hela pambana sana umlee mtoto katika mazingira ambayo yanaendana na jamii itakayomzunguka wewe ukiwepo na usipokuwepo .
Uzungu ukizidi mtoto unamuharibu leo ukiwepo na kesho usipokuwepo .
Nawasalimu wanangu wa nguvu advocate Pascal Mayalla , kaka mkubwa GENTAMYCINE , mkubwa mdukuzi bila kumsahau mwamba Abiola
Kula chakula cha aina moja kila siku kinachosha na kinakinaisha yani ata ule nyama kila siku zitakuchosha tuNdizi za kupika ungekaa bukoba ungezoea wanakula ndizi kila siku yaan
Nyama haichoshi sana unabadili mapish tu ya kuchoma,kukaanga,mchemshoKula chakula cha aina moja kila siku kinachosha na kinakinaisha yani ata ule nyama kila siku zitakuchosha tu
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Umemaliza kuchora picha yako?Huyo huwa ni mbishi mbishi kila thread, pia naonaga kakaa kishari shari.
Inanituma kupata picha yake kama vile maza mmoja mwenye sura mbovu kweli kweli, pia napata picha ni kama vile aliolewa na kuachika au hakuwah kubahatika kuolewa kabisa, hana mtoto (tasa).
Naenda mbele zaidi namuona kama vile ni mmama ambae kwenye ukoo wake haelewan karibia na 90% ya ndugu zake, sababu tu ni mawazo yake mwenyewe kujiona hahitaj kuhusiana na mtu ili aishi, pia wazo la mwanamke kujiamini na kuweza lilikita kwake nguzo.
Mwisho namuona kama mmama ambae sometime anajutia lifestyle yake, anaweza kukaa ndani akaliaaa halaf roho inamwambia badilika kidogo uishi na watu, ile akijaribu tu kubadilika anajikuta anashindwa na kuharibu zaidi maana ashazoea.
Hii hutokea hata Jf hujiapiza ya kuwa sitakaa nikoment Jf tena ila ndo hivyo anajikuta yupo mkiwa inabid aongee na watu asiowaona wala kuwajua, katika yote hayo stress na tabia zake za kuwavuruga anajikuta zinamwandama.
Nimechora picha tu wadau
Kosa kivipi, wakati kila mtu ana harakati zake??. Enzi hizo naogopa sex Kama ukomaaaKosa hilo
Kosa kivipi, wakati kila mtu ana harakati zake??. Enzi hizo naogopa sex Kama ukomaaaKosa hilo
Thanks Nigga japo up to this years sina mtoto wala nini bro mimi na shemeji yako hatujabahatika kupata .Wao ni wao thanx bro ,dah imenigusa sana,kikubwa usikate tamaa na usikubali watoto wako wapite njia yako,pole sana mkuu
Kosa kivipi, wakati kila mtu ana harakati zake??. Enzi hizo naogopa sex Kama ukomaaa
Wazee wa mummy and daddy View attachment 2503539
Itakuwa mkoani hiiUkitoka nje ya geti wanakushangaa? Wapi huko?
Siku hizi Hadi uswahilini kuna mageti mtaa mzima
Mpaka Sasa hivi nikikuambia Niko single toka utotoni watu hawaamini, coz Nina mambo mengi ya kufanyaUlikuwa mtoto
Kuhusu mtoto, nashauri ujipange pange ili isije ikakuletea uzito flani, kwako na kwa wapendwa wako. Si unajua maswala ya kiuchumi Tena.Thanks Nigga japo up to this years sina mtoto wala nini bro mimi na shemeji yako hatujabahatika kupata .
Mpaka Sasa hivi nikikuambia Niko single toka utotoni watu hawaamini, coz Nina mambo mengi ya kufanya
Sure I will make it, japo Safari ina ugumu wakeOngera ukizeeka nataka kuona una gorofa na unamililik
Makampuni hapa bongo na nje ya bongo
Sure I will make it, japo Safari ina ugumu wake
Yap unajua nipo safariiPambana mzee