Wale tuliokulia kwenye familia za kishua tukutane hapa

Wale tuliokulia kwenye familia za kishua tukutane hapa

Wakt mwingine mnalelewa kimandazi Sana hvyo pindi wazazi wenu wanavyo ondoka mnakoza muelekeo wengi nimeona jins wanavyoangika na maisha



Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hizo ni fikra tu, malezi hayana hayo.

Hakuna mzazi anaependa au kutaka mwanawe apate tabu au aharibikiwe.

Picha (exposure) tofauti tunazokumbana nazo kwrnye maisha ndizo zinapelekea watoto zetu walelewe vipi.

Mfano, wewe umekulia kolomije, ukaja mjini ukabahatika kupata kazi, ukaowa mjini, mwanao ukampata mjini, utamlea maisha uliollewa wewe kolomije?
 
hivi hiyu bibi bado yupo?
Huyo huwa ni mbishi mbishi kila thread, pia naonaga kakaa kishari shari.

Inanituma kupata picha yake kama vile maza mmoja mwenye sura mbovu kweli kweli, pia napata picha ni kama vile aliolewa na kuachika au hakuwah kubahatika kuolewa kabisa, hana mtoto (tasa).

Naenda mbele zaidi namuona kama vile ni mmama ambae kwenye ukoo wake haelewan karibia na 90% ya ndugu zake, sababu tu ni mawazo yake mwenyewe kujiona hahitaj kuhusiana na mtu ili aishi, pia wazo la mwanamke kujiamini na kuweza lilikita kwake nguzo.

Mwisho namuona kama mmama ambae sometime anajutia lifestyle yake, anaweza kukaa ndani akaliaaa halaf roho inamwambia badilika kidogo uishi na watu, ile akijaribu tu kubadilika anajikuta anashindwa na kuharibu zaidi maana ashazoea.


Hii hutokea hata Jf hujiapiza ya kuwa sitakaa nikoment Jf tena ila ndo hivyo anajikuta yupo mkiwa inabid aongee na watu asiowaona wala kuwajua, katika yote hayo stress na tabia zake za kuwavuruga anajikuta zinamwandama.

Nimechora picha tu wadau
 
Mimi nimekulia ukapukuni kweli kweli, ila ilitokea katika maisha yangu situation mbili nilizojikuta nimefika kwenye mji wa washua.
1. Huyu kulikuwa na undugu kwa kiasi fulani, nilipofika kwake alikuwa mstaaf.

Nilikuwa napata habar zake kwamba kuna maisha duniani na anakula maisha mazuri mno! Siku nimefika kwake nikiwa mdogo mika ya 90+ la kwanza nililojifunza kumbe hakuna kumeza mboga, swala la kumeza mboga au kula mboga nyingi kuliko ugali ni agenda ya kimasikini tu, kwa matajiri unatakiwa ule tani yako ushibe.

Nimefika pale chakula kilivyotengwa likaletwa sufuria saafi mezani limejaa nyama ni tani yako kujipakulia kula utakavyo!

Toka siku ile pale nikajifunza kumbe ukiambiwa unameza mboga ni umasikini wetu tu.

Bahati mbaya sasa sijui kulitokea nini hii famili ilikuja kufilisika had ziro, yule mzee alipoumwa hata hela ya matibabu ilikosa akafa.


2. Huyu wa pili ilitokea tu mazingira nikajikuta nimefika kwake kwa situation fulani tu, yafuatayo niliyaona

(a) Pale nilimkuta kijana tunalingana na tulikuwa wote tumehitim form 4 mwaka mmoja ila yeye kala ziro yake safi na hana wasi wasi,
(b) Huyu dogo alikuwa ni kupiga honi house boy anafungua geti, akipark gari hili anaondoka na lingine

(C) Dogo chumban kwake akifungulia muziki nyumba inatetema, nilitaman nione ukubwa wa ule muziki ila ndo hivyo no connection

(d) ile familia house boy alikuwa kawekewa tv yake jikoni huko huko, enzi za ungo na tv za chogo, hatakiwi kuja seblen kuangalia tv kubwa, na chakula chake ni huko huko jikoni...
Sijufanikiwa nae kuongea nae sababu nilikaa siku chache na ndo hivo anashinda bustanini huko na kufungua mageti tu ilihal mm nashinda chumban nikitoka ni seblen nikisikia ukiwa narudi chumbani

(e) nnachokumbuka mzee alisema anahangaika dogo achague anachotaka akasomee nje huko na yupo katika harakat za kumbembeleza na kumukonvince..


(f) siku naondoka nilipewa elf 35,000


Haya wa kishua Mungu awabariki, lakin msidharau wasio navyo maana vyote hupatikana hapa hapa duniani na huachwa hapa hapa duniani..

JPM aliuza vile visamaki vidogo kichwani ila alikuja fika level ya Urais wa nchi..
Asante sana Mkuu kwa hii comment,Big up sana.
 
Mimi nimekulia ukapukuni kweli kweli, ila ilitokea katika maisha yangu situation mbili nilizojikuta nimefika kwenye mji wa washua.
1. Huyu kulikuwa na undugu kwa kiasi fulani, nilipofika kwake alikuwa mstaaf.

Nilikuwa napata habar zake kwamba kuna maisha duniani na anakula maisha mazuri mno! Siku nimefika kwake nikiwa mdogo mika ya 90+ la kwanza nililojifunza kumbe hakuna kumeza mboga, swala la kumeza mboga au kula mboga nyingi kuliko ugali ni agenda ya kimasikini tu, kwa matajiri unatakiwa ule tani yako ushibe.

Nimefika pale chakula kilivyotengwa likaletwa sufuria saafi mezani limejaa nyama ni tani yako kujipakulia kula utakavyo!

Toka siku ile pale nikajifunza kumbe ukiambiwa unameza mboga ni umasikini wetu tu.

Bahati mbaya sasa sijui kulitokea nini hii famili ilikuja kufilisika had ziro, yule mzee alipoumwa hata hela ya matibabu ilikosa akafa.


2. Huyu wa pili ilitokea tu mazingira nikajikuta nimefika kwake kwa situation fulani tu, yafuatayo niliyaona

(a) Pale nilimkuta kijana tunalingana na tulikuwa wote tumehitim form 4 mwaka mmoja ila yeye kala ziro yake safi na hana wasi wasi,
(b) Huyu dogo alikuwa ni kupiga honi house boy anafungua geti, akipark gari hili anaondoka na lingine

(C) Dogo chumban kwake akifungulia muziki nyumba inatetema, nilitaman nione ukubwa wa ule muziki ila ndo hivyo no connection

(d) ile familia house boy alikuwa kawekewa tv yake jikoni huko huko, enzi za ungo na tv za chogo, hatakiwi kuja seblen kuangalia tv kubwa, na chakula chake ni huko huko jikoni...
Sijufanikiwa nae kuongea nae sababu nilikaa siku chache na ndo hivo anashinda bustanini huko na kufungua mageti tu ilihal mm nashinda chumban nikitoka ni seblen nikisikia ukiwa narudi chumbani

(e) nnachokumbuka mzee alisema anahangaika dogo achague anachotaka akasomee nje huko na yupo katika harakat za kumbembeleza na kumukonvince..


(f) siku naondoka nilipewa elf 35,000


Haya wa kishua Mungu awabariki, lakin msidharau wasio navyo maana vyote hupatikana hapa hapa duniani na huachwa hapa hapa duniani..

JPM aliuza vile visamaki vidogo kichwani ila alikuja fika level ya Urais wa nchi..
Sahihi kabisaaa
 
Back
Top Bottom