Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
hivi hiyu bibi bado yupo?Hayo ni maaamuzi tu. Mradi nia tu iwepo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi hiyu bibi bado yupo?Hayo ni maaamuzi tu. Mradi nia tu iwepo.
Hayo ni maaamuzi tu. Mradi nia tu iwepo.
Sisi kuna kipindi maisha yali yumba morng tulikuwa tuna kunywa chai na ndizi bokoboko kama unazijua tulikuwa tuna kula uku tunachekana [emoji23][emoji23] siku tukioona usiku ndizi kila mtu ana wai kulala
Hizo ni fikra tu, malezi hayana hayo.Wakt mwingine mnalelewa kimandazi Sana hvyo pindi wazazi wenu wanavyo ondoka mnakoza muelekeo wengi nimeona jins wanavyoangika na maisha
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Wewe utakuwa wakishua fullnakumbuka 2010 nilipokuwa St.Constantine, arusha you know, nilikuwa grounded (adhabu) kisa nilikataa kula burger
Ndio uamue mapema, wanao unataka wakuwe kama ulivyokuwa wewe au unataka wakuwe kiubora zaidi?Hayo maamuzi yanaendana na mpunga(umate umate) ,hauwezi kuamua tu uwapeleke watoto IST wakati ada mil 100 huku hata hela ya kula hauna na account haina hata comma moja yaani salio below 1000Tsh.
Ndio uamue mapema, wanao unataka wakuwe kama ulivyokuwa wewe au unataka wakuwe kiubora zaidi?
Ni mlo mzuri sana, kuwe na karanga mbichi pembemi za kusukumia. Aaah, usinikumbushe raha hizo.Mim chai na viazi vitamu uwiii
Na wengi wao kuwa "chakula"Changamoto nyingine ni kuharibikiwa maisha maana wengi wao hudekezwaa sana.......
Yaan nashuhuda nyingi za vijana kuharibikiwa ki maisha SABB ya life style za kudekezwa kupita kiasi......
Watoto wa mum..am going....🤓😂🤣🤣
Huyo huwa ni mbishi mbishi kila thread, pia naonaga kakaa kishari shari.hivi hiyu bibi bado yupo?
Asante sana Mkuu kwa hii comment,Big up sana.Mimi nimekulia ukapukuni kweli kweli, ila ilitokea katika maisha yangu situation mbili nilizojikuta nimefika kwenye mji wa washua.
1. Huyu kulikuwa na undugu kwa kiasi fulani, nilipofika kwake alikuwa mstaaf.
Nilikuwa napata habar zake kwamba kuna maisha duniani na anakula maisha mazuri mno! Siku nimefika kwake nikiwa mdogo mika ya 90+ la kwanza nililojifunza kumbe hakuna kumeza mboga, swala la kumeza mboga au kula mboga nyingi kuliko ugali ni agenda ya kimasikini tu, kwa matajiri unatakiwa ule tani yako ushibe.
Nimefika pale chakula kilivyotengwa likaletwa sufuria saafi mezani limejaa nyama ni tani yako kujipakulia kula utakavyo!
Toka siku ile pale nikajifunza kumbe ukiambiwa unameza mboga ni umasikini wetu tu.
Bahati mbaya sasa sijui kulitokea nini hii famili ilikuja kufilisika had ziro, yule mzee alipoumwa hata hela ya matibabu ilikosa akafa.
2. Huyu wa pili ilitokea tu mazingira nikajikuta nimefika kwake kwa situation fulani tu, yafuatayo niliyaona
(a) Pale nilimkuta kijana tunalingana na tulikuwa wote tumehitim form 4 mwaka mmoja ila yeye kala ziro yake safi na hana wasi wasi,
(b) Huyu dogo alikuwa ni kupiga honi house boy anafungua geti, akipark gari hili anaondoka na lingine
(C) Dogo chumban kwake akifungulia muziki nyumba inatetema, nilitaman nione ukubwa wa ule muziki ila ndo hivyo no connection
(d) ile familia house boy alikuwa kawekewa tv yake jikoni huko huko, enzi za ungo na tv za chogo, hatakiwi kuja seblen kuangalia tv kubwa, na chakula chake ni huko huko jikoni...
Sijufanikiwa nae kuongea nae sababu nilikaa siku chache na ndo hivo anashinda bustanini huko na kufungua mageti tu ilihal mm nashinda chumban nikitoka ni seblen nikisikia ukiwa narudi chumbani
(e) nnachokumbuka mzee alisema anahangaika dogo achague anachotaka akasomee nje huko na yupo katika harakat za kumbembeleza na kumukonvince..
(f) siku naondoka nilipewa elf 35,000
Haya wa kishua Mungu awabariki, lakin msidharau wasio navyo maana vyote hupatikana hapa hapa duniani na huachwa hapa hapa duniani..
JPM aliuza vile visamaki vidogo kichwani ila alikuja fika level ya Urais wa nchi..
Mi mkuu huwa Nina style zangu, enzi hizo kakolea. Afu mi ndo kwanza nawaza nitatoboa vipi kwenye hili life.Dah wakishua ukiwapata washikilie
Nakuona mkuu mwenyewe wa headquarters ya wachawi eatUmasikini na uchawi vinaenda sambamba, tutafute pesa wakuu
Sahihi kabisaaaMimi nimekulia ukapukuni kweli kweli, ila ilitokea katika maisha yangu situation mbili nilizojikuta nimefika kwenye mji wa washua.
1. Huyu kulikuwa na undugu kwa kiasi fulani, nilipofika kwake alikuwa mstaaf.
Nilikuwa napata habar zake kwamba kuna maisha duniani na anakula maisha mazuri mno! Siku nimefika kwake nikiwa mdogo mika ya 90+ la kwanza nililojifunza kumbe hakuna kumeza mboga, swala la kumeza mboga au kula mboga nyingi kuliko ugali ni agenda ya kimasikini tu, kwa matajiri unatakiwa ule tani yako ushibe.
Nimefika pale chakula kilivyotengwa likaletwa sufuria saafi mezani limejaa nyama ni tani yako kujipakulia kula utakavyo!
Toka siku ile pale nikajifunza kumbe ukiambiwa unameza mboga ni umasikini wetu tu.
Bahati mbaya sasa sijui kulitokea nini hii famili ilikuja kufilisika had ziro, yule mzee alipoumwa hata hela ya matibabu ilikosa akafa.
2. Huyu wa pili ilitokea tu mazingira nikajikuta nimefika kwake kwa situation fulani tu, yafuatayo niliyaona
(a) Pale nilimkuta kijana tunalingana na tulikuwa wote tumehitim form 4 mwaka mmoja ila yeye kala ziro yake safi na hana wasi wasi,
(b) Huyu dogo alikuwa ni kupiga honi house boy anafungua geti, akipark gari hili anaondoka na lingine
(C) Dogo chumban kwake akifungulia muziki nyumba inatetema, nilitaman nione ukubwa wa ule muziki ila ndo hivyo no connection
(d) ile familia house boy alikuwa kawekewa tv yake jikoni huko huko, enzi za ungo na tv za chogo, hatakiwi kuja seblen kuangalia tv kubwa, na chakula chake ni huko huko jikoni...
Sijufanikiwa nae kuongea nae sababu nilikaa siku chache na ndo hivo anashinda bustanini huko na kufungua mageti tu ilihal mm nashinda chumban nikitoka ni seblen nikisikia ukiwa narudi chumbani
(e) nnachokumbuka mzee alisema anahangaika dogo achague anachotaka akasomee nje huko na yupo katika harakat za kumbembeleza na kumukonvince..
(f) siku naondoka nilipewa elf 35,000
Haya wa kishua Mungu awabariki, lakin msidharau wasio navyo maana vyote hupatikana hapa hapa duniani na huachwa hapa hapa duniani..
JPM aliuza vile visamaki vidogo kichwani ila alikuja fika level ya Urais wa nchi..
Masikini wamejaa fitina majungu na kuwaza shirki🤣 nasema haya japo hata mimi sio tajiri.Nakuona mkuu mwenyewe wa headquarters ya wachawi eat
Akikujibu nitag😀 sijui hawa kina elon munsk wapo afrika magharibi?Ulaya ipi hio haina matajiri?
Big up naona unatumia uzoefu wako katika fani yako ya uchawi kutushauri maskini sisiMasikini wamejaa fitina majungu na kuwaza shirki🤣 nasema haya japo hata mimi sio tajiri.