ozone layer
JF-Expert Member
- Oct 27, 2021
- 471
- 1,935
Mimi nimekulia ukapukuni kweli kweli, ila ilitokea katika maisha yangu situation mbili nilizojikuta nimefika kwenye mji wa washua.
1. Huyu kulikuwa na undugu kwa kiasi fulani, nilipofika kwake alikuwa mstaaf.
Nilikuwa napata habar zake kwamba kuna maisha duniani na anakula maisha mazuri mno! Siku nimefika kwake nikiwa mdogo mika ya 90+ la kwanza nililojifunza kumbe hakuna kumeza mboga, swala la kumeza mboga au kula mboga nyingi kuliko ugali ni agenda ya kimasikini tu, kwa matajiri unatakiwa ule tani yako ushibe.
Nimefika pale chakula kilivyotengwa likaletwa sufuria saafi mezani limejaa nyama ni tani yako kujipakulia kula utakavyo!
Toka siku ile pale nikajifunza kumbe ukiambiwa unameza mboga ni umasikini wetu tu.
Bahati mbaya sasa sijui kulitokea nini hii famili ilikuja kufilisika had ziro, yule mzee alipoumwa hata hela ya matibabu ilikosa akafa.
2. Huyu wa pili ilitokea tu mazingira nikajikuta nimefika kwake kwa situation fulani tu, yafuatayo niliyaona
(a) Pale nilimkuta kijana tunalingana na tulikuwa wote tumehitim form 4 mwaka mmoja ila yeye kala ziro yake safi na hana wasi wasi,
(b) Huyu dogo alikuwa ni kupiga honi house boy anafungua geti, akipark gari hili anaondoka na lingine
(C) Dogo chumban kwake akifungulia muziki nyumba inatetema, nilitaman nione ukubwa wa ule muziki ila ndo hivyo no connection
(d) ile familia house boy alikuwa kawekewa tv yake jikoni huko huko, enzi za ungo na tv za chogo, hatakiwi kuja seblen kuangalia tv kubwa, na chakula chake ni huko huko jikoni...
Sijufanikiwa nae kuongea nae sababu nilikaa siku chache na ndo hivo anashinda bustanini huko na kufungua mageti tu ilihal mm nashinda chumban nikitoka ni seblen nikisikia ukiwa narudi chumbani
(e) nnachokumbuka mzee alisema anahangaika dogo achague anachotaka akasomee nje huko na yupo katika harakat za kumbembeleza na kumukonvince..
(f) siku naondoka nilipewa elf 35,000
Haya wa kishua Mungu awabariki, lakin msidharau wasio navyo maana vyote hupatikana hapa hapa duniani na huachwa hapa hapa duniani..
JPM aliuza vile visamaki vidogo kichwani ila alikuja fika level ya Urais wa nchi..
1. Huyu kulikuwa na undugu kwa kiasi fulani, nilipofika kwake alikuwa mstaaf.
Nilikuwa napata habar zake kwamba kuna maisha duniani na anakula maisha mazuri mno! Siku nimefika kwake nikiwa mdogo mika ya 90+ la kwanza nililojifunza kumbe hakuna kumeza mboga, swala la kumeza mboga au kula mboga nyingi kuliko ugali ni agenda ya kimasikini tu, kwa matajiri unatakiwa ule tani yako ushibe.
Nimefika pale chakula kilivyotengwa likaletwa sufuria saafi mezani limejaa nyama ni tani yako kujipakulia kula utakavyo!
Toka siku ile pale nikajifunza kumbe ukiambiwa unameza mboga ni umasikini wetu tu.
Bahati mbaya sasa sijui kulitokea nini hii famili ilikuja kufilisika had ziro, yule mzee alipoumwa hata hela ya matibabu ilikosa akafa.
2. Huyu wa pili ilitokea tu mazingira nikajikuta nimefika kwake kwa situation fulani tu, yafuatayo niliyaona
(a) Pale nilimkuta kijana tunalingana na tulikuwa wote tumehitim form 4 mwaka mmoja ila yeye kala ziro yake safi na hana wasi wasi,
(b) Huyu dogo alikuwa ni kupiga honi house boy anafungua geti, akipark gari hili anaondoka na lingine
(C) Dogo chumban kwake akifungulia muziki nyumba inatetema, nilitaman nione ukubwa wa ule muziki ila ndo hivyo no connection
(d) ile familia house boy alikuwa kawekewa tv yake jikoni huko huko, enzi za ungo na tv za chogo, hatakiwi kuja seblen kuangalia tv kubwa, na chakula chake ni huko huko jikoni...
Sijufanikiwa nae kuongea nae sababu nilikaa siku chache na ndo hivo anashinda bustanini huko na kufungua mageti tu ilihal mm nashinda chumban nikitoka ni seblen nikisikia ukiwa narudi chumbani
(e) nnachokumbuka mzee alisema anahangaika dogo achague anachotaka akasomee nje huko na yupo katika harakat za kumbembeleza na kumukonvince..
(f) siku naondoka nilipewa elf 35,000
Haya wa kishua Mungu awabariki, lakin msidharau wasio navyo maana vyote hupatikana hapa hapa duniani na huachwa hapa hapa duniani..
JPM aliuza vile visamaki vidogo kichwani ila alikuja fika level ya Urais wa nchi..