Wale tuliokulia kwenye familia za kishua tukutane hapa

Wale tuliokulia kwenye familia za kishua tukutane hapa

Kwanza niulize, "wakishua" ndiyo wakujishaua?

"wakishua" means Familia yenye umate umate na udambwi udambwi wa kutosha yaani masotojo kama yote kwenye meza ,msosi wa draft mboga saba kujisevia ,accounts za benki zina comma za kutosha na digits kama zote,ndinga na mijengo ndio usiseme ,wanasoma shule za maana international,watoto colored uso soft usio chunusi natural color chotara maji ya kunde.
 
Kuna watu wanaleta makasiliko Yao kwa watoto wa KISHUA kisa wao siyo wa KISHUA huna haja ya kuwa na hasira na sisi wa KISHUA tengeneza connection huenda ukapata vitu usivyovitarajia kwenye maisha yako kwa bei ndongo au hata Bure kutoka kwetu.

Mwaka furani nilikuwa naenda sehem ya mbali nikadodosha namba ya gar wakati wa kurud nikaikuta Iko kwenye kizuiz furan aliyeiokota kaacha namba juzi mtoto wa aliyeiokota kaja kwenye mishe zake kafikia kwangu Hapa dar kawa kama ndugu tu Sasa hivi namfanyie michongo ya pesa nying ambayo hajawah kuwaza ataishika

Wazaz wanabaki kunipigia sim kunishukru
Acheni makasiliko jaman.
 
"wakishua" means Familia yenye umate umate na udambwi udambwi wa kutosha yaani masotojo kama yote kwenye meza ,msosi wa draft ,accounts za benki zina comma za kutosha na digits kama zote,ndinga na mijengo ndio usiseme ,wanasoma shule za maana international,watoto colored uso soft usio chunusi natural color chatara maji ya kunde.
wewe bado huwajui watoto wa kishua. ni wale ambao madini au mamaza wao ni washua, yaani kwanza wana mpunga wa kutosha kuwafanyia chochote watoto wao, pili wanalindwa mno wasichangamane na hawa wa kajambanani wasijeugua matumbo au magonjwa waliyonayo masikini, wasijeonekana wachafu, wasije kuwa na tabia za kishamba. ni wakuishi kwenye getikali kama broliers. watoto hawajui shida, hawajui kutafuta, hawajawahi kulala njaaa. kama ni kusomesha shule international usijezichanganya na hizo za english medium ukasema ni international. international ni ziel wanafanya mitihani ya cambridge, ada yao ni milioni 20 na kuendelea huko. sasa sijui huyu panya aliyeleta mada alisoma International school of tanganyika wanakolipa milioni 70 kwa mwaka au ndo walewale wanaojiona wakishua kumbe pyuuuuu
 
wewe bado huwajui watoto wa kishua. ni wale ambao madini au mamaza wao ni washua, yaani kwanza wana mpunga wa kutosha kuwafanyia chochote watoto wao, pili wanalindwa mno wasichangamane na hawa wa kajambanani wasijeugua matumbo au magonjwa waliyonayo masikini, wasijeonekana wachafu, wasije kuwa na tabia za kishamba. ni wakuishi kwenye getikali kama broliers. watoto hawajui shida, hawajui kutafuta, hawajawahi kulala njaaa. kama ni kusomesha shule international usijezichanganya na hizo za english medium ukasema ni international. international ni ziel wanafanya mitihani ya cambridge, ada yao ni milioni 20 na kuendelea huko. sasa sijui huyu panya aliyeleta mada alisoma International school of tanganyika wanakolipa milioni 70 kwa mwaka au ndo walewale wanaojiona wakishua kumbe pyuuuuu
nakumbuka 2010 nilipokuwa St.Constantine, arusha you know, nilikuwa grounded (adhabu) kisa nilikataa kula burger
 
Changamoto nyingine ya kuwa mtoto wa KISHUA ni kupendwa na watu kinafiki, kipindi Bado Niko kijana ilikuwa ukipita sehem watu wanakuomba omba Hela unawapa siku hujawapa ni nongwa tu na ukipita bila kuwapa hi ni kosa watakusema mpka kwa Mzee.
 
Majina ya watoto wa kishua sasa... Junior, Collin, Bright etc. Hawatoki kuchangamana na wenzao
na ndio wengi wamegeuka mapunga kwasababu ya kuiga mambo ya kizungu. chukulia mfano yule ndezi alienda BBA south africa, amepata mpunga fresh, babake ni mswahili mamake mzungu. amekuwa wa kishua maisha yake yote, lakin hana chochote anaweza kuweka mezani kushindnaisha na vile vya watoto wa kimasikini. au yule mdada aliyegongwa kwenye swimming pool BBA south africa. huyu aliyetafuniwa pesa na x wa mondi sijui kama ni wa kishua au ndo waleeee wa mbagala walioelimika. wana nini wanaweza kuweka mezani walichowazidi watoto wa kimaskini.
 
nakumbuka 2010 nilipokuwa St.Constantine, arusha you know, nilikuwa grounded (adhabu) kisa nilikataa kula burger
sasa, sisi wenzio ambao sio wa kishua, baada ya kupambana na shule na maisha, tumefanikiwa kupiga shule hadi tukafika majuu. kule, hizo burger ni garbage foods. yaani vyakula wanavyokula masikini vinavyonenepesha sana miili. ndio maana hata bei yake ni ndogo. na wewe hapo unaona ulikuwa mjanjaaa?
 
Kuwa mtoto wa KISHUA ndugu wanakuogopa kukukosea nakumbuka niliwah kumtembelea mjomba likizo yaani wanakupa chakula chakwako tu tofauti kabisa na watoto wake kumbe mm napenda Nile nao tu pamoja

Kuna muda wakipika ugar ww wanakupikia wali yaani wanawatesa watoto wao kwa sababu yangu mm niliyewatembelea

Nakumbuka waliniachia kitanda watoto wao wakaanza kulala chini nikikumbuka napata huzun sana
 
"wakishua" means Familia yenye umate umate na udambwi udambwi wa kutosha yaani masotojo kama yote kwenye meza ,msosi wa draft mboga saba kujisevia ,accounts za benki zina comma za kutosha na digits kama zote,ndinga na mijengo ndio usiseme ,wanasoma shule za maana international,watoto colored uso soft usio chunusi natural color chotara maji ya kunde.
Hayo ni maaamuzi tu. Mradi nia tu iwepo.
 
Kuwa mtoto wa KISHUA ndugu wanakuogopa kukukosea nakumbuka niliwah kumtembelea mjomba likizo yaani wanakupa chakula chakwako tu tofauti kabisa na watoto wake kumbe mm napenda Nile nao tu pamoja

Kuna muda wakipika ugar ww wanakupikia wali yaani wanawatesa watoto wao kwa sababu yangu mm niliyewatembelea

Nakumbuka waliniachia kitanda watoto wao wakaanza kulala chini nikikumbuka napata huzun sana
sasa ukija kwa mtoto wa kiswahili na kijijini kama mimi, nimeshaishi maisha yote. ukija kwangu kiupole nakuwa mpole, ukija kwangu kibabe utakimbia mwenyewe, ukija na minuno nitakununia pia, ukija kwa amani tutakuwa na amani.na kwenye kutafuta maisha sikuangalii usoni,naangalia pesa ilipo. utaniweka meza moja na mtoto wa kishua anaefikiri kutafuta maisha ni kuyatafutia mezani kama kina billgates?
 
Back
Top Bottom