FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Onesha ujanja wako, jibu swali nililouliza.Ungeficha ujinga wako tu.
Kama huna jibu, kitowe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Onesha ujanja wako, jibu swali nililouliza.Ungeficha ujinga wako tu.
Kwanza niulize, "wakishua" ndiyo wakujishaua?
wewe bado huwajui watoto wa kishua. ni wale ambao madini au mamaza wao ni washua, yaani kwanza wana mpunga wa kutosha kuwafanyia chochote watoto wao, pili wanalindwa mno wasichangamane na hawa wa kajambanani wasijeugua matumbo au magonjwa waliyonayo masikini, wasijeonekana wachafu, wasije kuwa na tabia za kishamba. ni wakuishi kwenye getikali kama broliers. watoto hawajui shida, hawajui kutafuta, hawajawahi kulala njaaa. kama ni kusomesha shule international usijezichanganya na hizo za english medium ukasema ni international. international ni ziel wanafanya mitihani ya cambridge, ada yao ni milioni 20 na kuendelea huko. sasa sijui huyu panya aliyeleta mada alisoma International school of tanganyika wanakolipa milioni 70 kwa mwaka au ndo walewale wanaojiona wakishua kumbe pyuuuuu"wakishua" means Familia yenye umate umate na udambwi udambwi wa kutosha yaani masotojo kama yote kwenye meza ,msosi wa draft ,accounts za benki zina comma za kutosha na digits kama zote,ndinga na mijengo ndio usiseme ,wanasoma shule za maana international,watoto colored uso soft usio chunusi natural color chatara maji ya kunde.
Hiyo zamani ,zaman ukiishi ndani ya geti ilikua ushua sanaUkitoka nje ya geti wanakushangaa? Wapi huko?
Siku hizi Hadi uswahilini kuna mageti mtaa mzima
nakumbuka 2010 nilipokuwa St.Constantine, arusha you know, nilikuwa grounded (adhabu) kisa nilikataa kula burgerwewe bado huwajui watoto wa kishua. ni wale ambao madini au mamaza wao ni washua, yaani kwanza wana mpunga wa kutosha kuwafanyia chochote watoto wao, pili wanalindwa mno wasichangamane na hawa wa kajambanani wasijeugua matumbo au magonjwa waliyonayo masikini, wasijeonekana wachafu, wasije kuwa na tabia za kishamba. ni wakuishi kwenye getikali kama broliers. watoto hawajui shida, hawajui kutafuta, hawajawahi kulala njaaa. kama ni kusomesha shule international usijezichanganya na hizo za english medium ukasema ni international. international ni ziel wanafanya mitihani ya cambridge, ada yao ni milioni 20 na kuendelea huko. sasa sijui huyu panya aliyeleta mada alisoma International school of tanganyika wanakolipa milioni 70 kwa mwaka au ndo walewale wanaojiona wakishua kumbe pyuuuuu
na ndio wengi wamegeuka mapunga kwasababu ya kuiga mambo ya kizungu. chukulia mfano yule ndezi alienda BBA south africa, amepata mpunga fresh, babake ni mswahili mamake mzungu. amekuwa wa kishua maisha yake yote, lakin hana chochote anaweza kuweka mezani kushindnaisha na vile vya watoto wa kimasikini. au yule mdada aliyegongwa kwenye swimming pool BBA south africa. huyu aliyetafuniwa pesa na x wa mondi sijui kama ni wa kishua au ndo waleeee wa mbagala walioelimika. wana nini wanaweza kuweka mezani walichowazidi watoto wa kimaskini.Majina ya watoto wa kishua sasa... Junior, Collin, Bright etc. Hawatoki kuchangamana na wenzao
sasa, sisi wenzio ambao sio wa kishua, baada ya kupambana na shule na maisha, tumefanikiwa kupiga shule hadi tukafika majuu. kule, hizo burger ni garbage foods. yaani vyakula wanavyokula masikini vinavyonenepesha sana miili. ndio maana hata bei yake ni ndogo. na wewe hapo unaona ulikuwa mjanjaaa?nakumbuka 2010 nilipokuwa St.Constantine, arusha you know, nilikuwa grounded (adhabu) kisa nilikataa kula burger
Naongezea jaden johnson ruff ryder etc 😆Majina ya watoto wa kishua sasa... Junior, Collin, Bright etc. Hawatoki kuchangamana na wenzao
Hayo ni maaamuzi tu. Mradi nia tu iwepo."wakishua" means Familia yenye umate umate na udambwi udambwi wa kutosha yaani masotojo kama yote kwenye meza ,msosi wa draft mboga saba kujisevia ,accounts za benki zina comma za kutosha na digits kama zote,ndinga na mijengo ndio usiseme ,wanasoma shule za maana international,watoto colored uso soft usio chunusi natural color chotara maji ya kunde.
sasa ukija kwa mtoto wa kiswahili na kijijini kama mimi, nimeshaishi maisha yote. ukija kwangu kiupole nakuwa mpole, ukija kwangu kibabe utakimbia mwenyewe, ukija na minuno nitakununia pia, ukija kwa amani tutakuwa na amani.na kwenye kutafuta maisha sikuangalii usoni,naangalia pesa ilipo. utaniweka meza moja na mtoto wa kishua anaefikiri kutafuta maisha ni kuyatafutia mezani kama kina billgates?Kuwa mtoto wa KISHUA ndugu wanakuogopa kukukosea nakumbuka niliwah kumtembelea mjomba likizo yaani wanakupa chakula chakwako tu tofauti kabisa na watoto wake kumbe mm napenda Nile nao tu pamoja
Kuna muda wakipika ugar ww wanakupikia wali yaani wanawatesa watoto wao kwa sababu yangu mm niliyewatembelea
Nakumbuka waliniachia kitanda watoto wao wakaanza kulala chini nikikumbuka napata huzun sana