Wale tuliokulia kwenye familia za kishua tukutane hapa

Wale tuliokulia kwenye familia za kishua tukutane hapa

Haya Sasa


Kwa upande wangu mm nimebahatika kuzaliwa na kukulia kwenye familia ya KISHUA haswaa, nyumba,magari na chakula Cha Kila aina tena Kila siku.

Changamoto ya kuishi kwnye familia ya KISHUA ni kukosa muda Wa kuwa marafiki, pia ukitoka nje ya geti Kila mtu anakushangaa, marafiki wengi wa Kila aina wengine wezi wanakuibia vitu kama mipira nk, wazazi kukuona mtoto hata kama umekuwa, nimeogeshwa na Mama na wadada wa kazi Hadi namalizia la Saba.

View attachment 2503537
Maisha ya kishua ni yapi hapa bongo ya kuendesha hizi mitumba ya magari ya mjapani, au kuweka ligate la chuma la kusukuma, kuishi kwenye hizi nyumba zisio kua na Ac ndani, chakula chenyewe ndo nafaka hizi sembe Michele makande.....kusema ukweli sioni maisha ya ajabu hapa Tz, hapa TZ, Africa is the same na Africans are the same, isipo kua tunapishana tu mitizamo na vipao mbele, wote ni masikini tu but with varying degree of poverty, hamna mtu mwenye maisha ya kishua isipo kua ufisadi na showoff za kijinga.
 
Jambo ambalo mpaka Leo siwez kulisahau lilinitokea nikiwa naishi kwenye familia ya KISHUA ni nyumba ya wageni.

Mzee alikuwa amejenga nyumba Moja yenye vyumba vinne akaiita ya wageni ,mgeni yoyote akija lazima afikie kwenye hiyo nyumba,

Sasa basi wageni wakitoka Mama aliweka utaratibu tuwe tunaifanyia usafi hiyo nyumba japo Mzee alikuwa hatakj sisi tufanye usafi kwenye nyumba hiyo.

Siku Moja walikuja wageni nakumbuka walikuwa wamama watatu na wote walikuwa na watoto walileta watoto wao kwenye matibabu nafikir wakakaa wiki mbili wakaondoka ikawa zamu yangu kufanya usafi mule


Kwenda kufungua mlango wa nyumba nakuta wamekunya Mafi hovyo hovyo nyumba nzima inanuka mavi nikakausha jion Mzee anarudi nikamwambia kuanzia pale hatukufanya usafi tena kwenye Ile nyumba, na mm ikawa ndiyo mwanzo wa kuwaona masikin ni watu wa aina gan.
 
Jambo ambalo mpaka Leo siwez kulisahau lilinitokea nikiwa naishi kwenye familia ya KISHUA ni nyumba ya wageni.

Mzee alikuwa amejenga nyumba Moja yenye vyumba vinne akaiita ya wageni ,mgeni yoyote akija lazima afikie kwenye hiyo nyumba,

Sasa basi wageni wakitoka Mama aliweka utaratibu tuwe tunaifanyia usafi hiyo nyumba japo Mzee alikuwa hatakj sisi tufanye usafi kwenye nyumba hiyo.

Siku Moja walikuja wageni nakumbuka walikuwa wamama watatu na wote walikuwa na watoto walileta watoto wao kwenye matibabu nafikir wakakaa wiki mbili wakaondoka ikawa zamu yangu kufanya usafi mule


Kwenda kufungua mlango wa nyumba nakuta wamekunya Mafi hovyo hovyo nyumba nzima inanuka mavi nikakausha jion Mzee anarudi nikamwambia kuanzia pale hatukufanya usafi tena kwenye Ile nyumba, na mm ikawa ndiyo mwanzo wa kuwaona masikin ni watu wa aina gan.

Ep 3 hii nipo hapa nasubili ya 4
 
Umeandika Kwa hisia sanaa....🤣🤣😂😂
Nimecheka sana hapo kwenye sembe ugali nafaka...🤣🤣🤣😂😂
Maisha ya kishua ni yapi hapa bongo ya kuendesha hizi mitumba ya magari ya mjapani, au kuweka ligate la chuma la kusukuma, kuishi kwenye hizi nyumba zisio kua na Ac ndani, chakula chenyewe ndo nafaka hizi sembe Michele makande.....kusema ukweli sioni maisha ya ajabu hapa Tz, hapa TZ, Africa is the same na Africans are the same, isipo kua tunapishana tu mitizamo na vipao mbele, wote ni masikini tu but with varying degree of poverty, hamna mtu mwenye maisha ya kishua isipo kua ufisadi na showoff za kijinga.
 
Haya Sasa


Kwa upande wangu mm nimebahatika kuzaliwa na kukulia kwenye familia ya KISHUA haswaa, nyumba,magari na chakula Cha Kila aina tena Kila siku.

Changamoto ya kuishi kwnye familia ya KISHUA ni kukosa muda Wa kuwa marafiki, pia ukitoka nje ya geti Kila mtu anakushangaa, marafiki wengi wa Kila aina wengine wezi wanakuibia vitu kama mipira nk, wazazi kukuona mtoto hata kama umekuwa, nimeogeshwa na Mama na wadada wa kazi Hadi namalizia la Saba.

View attachment 2503537
Masikini JF dah!
 
Ngoja nikae kimya coz JF ukitaka uonekane kua ni mkweli basi jitangaze kua unapitia magumu na upo kwenye dhiki,kila mtu atakuonea huruma na kukuombea dua kisha kukutia moyo,sijui pambana utatoka tu,

Ukisema kua una good life,utasikia acha uongo,mtu mwenyewe upo kwa Shemeji yako unagombania remote na watoto wa Dada yako.

😀 😀
Lete kisa mkuu,
 
Maisha ya kishua ni yapi hapa bongo ya kuendesha hizi mitumba ya magari ya mjapani, au kuweka ligate la chuma la kusukuma, kuishi kwenye hizi nyumba zisio kua na Ac ndani, chakula chenyewe ndo nafaka hizi sembe Michele makande.....kusema ukweli sioni maisha ya ajabu hapa Tz, hapa TZ, Africa is the same na Africans are the same, isipo kua tunapishana tu mitizamo na vipao mbele, wote ni masikini tu but with varying degree of poverty, hamna mtu mwenye maisha ya kishua isipo kua ufisadi na showoff za kijinga.
Sikubaliani na hii hoja. Kuna maisha ya kishua, maisha ya kitajiri, maisha ya kati, maisha ya kimasikini na kuna makapuku. Labda na hao wa showoff sasa. Tena hapahapa bongo. Hussle had, mpaka watoto wako waitwe wa Kishua.
 
Maisha ya kishua ni yapi hapa bongo ya kuendesha hizi mitumba ya magari ya mjapani, au kuweka ligate la chuma la kusukuma, kuishi kwenye hizi nyumba zisio kua na Ac ndani, chakula chenyewe ndo nafaka hizi sembe Michele makande.....kusema ukweli sioni maisha ya ajabu hapa Tz, hapa TZ, Africa is the same na Africans are the same, isipo kua tunapishana tu mitizamo na vipao mbele, wote ni masikini tu but with varying degree of poverty, hamna mtu mwenye maisha ya kishua isipo kua ufisadi na showoff za kijinga.
Ukiachana na panic kuna watu wanaishi
 
Maisha ya kishua ni yapi hapa bongo ya kuendesha hizi mitumba ya magari ya mjapani, au kuweka ligate la chuma la kusukuma, kuishi kwenye hizi nyumba zisio kua na Ac ndani, chakula chenyewe ndo nafaka hizi sembe Michele makande.....kusema ukweli sioni maisha ya ajabu hapa Tz, hapa TZ, Africa is the same na Africans are the same, isipo kua tunapishana tu mitizamo na vipao mbele, wote ni masikini tu but with varying degree of poverty, hamna mtu mwenye maisha ya kishua isipo kua ufisadi na showoff za kijinga.
Una hasira!!!
Ukizeeka si utakua mchawi jamani [emoji2296]
 
Nakumbuka ilikuwa likizo mama akatupeleka kijijini wakaenda kuvuna Karanga sisi watoto wa KISHUA tukawa tunatembea tembea shamban na baskel zetu za watoto tukakuta wadudu tukaanza kuwachezea kumbe ni siafu acha watung'ate tulilia kilio Cha mbwa Koko haraka tukakimbizwa hospital

Kutoka huko Mzee akaamuru turudishwe nyumban likizo ikaishia hapo.
 
Mi kapuku ila niliwahi kushukia ushuani kwa wale ndugu wa kuungaunga

Ebwana madiko diko ya maana, ile naondoka nilipewa laki 4 kwa miaka hiyo ni pesa ya maana, ile pesa nilikuja kuanza nayo ujenzi

Nilichogundua ukitaka watoto wako waishi ushuani lazima uwatengenezee mzingira,
 
Back
Top Bottom