Wale tuliokulia kwenye familia za kishua tukutane hapa

Wale tuliokulia kwenye familia za kishua tukutane hapa

Ngoja nikae kimya coz JF ukitaka uonekane kua ni mkweli basi jitangaze kua unapitia magumu na upo kwenye dhiki,kila mtu atakuonea huruma na kukuombea dua kisha kukutia moyo,sijui pambana utatoka tu,

Ukisema kua una good life,utasikia acha uongo,mtu mwenyewe upo kwa Shemeji yako unagombania remote na watoto wa Dada yako.

😀 😀
Hahhahahah upo sahihi...
Kuna uzi uliletwa humu mtoto kalilia soda akapigwa..
Mi nikasema mi mwaangu ali chakula bila juyc...hehehe nilifatwa hadi inbox kutukanwa...
Yaani juyc just imagne juice
 
Nakumbuka ilikuwa likizo mama akatupeleka kijijini wakaenda kuvuna Karanga sisi watoto wa KISHUA tukawa tunatembea tembea shamban na baskel zetu za watoto tukakuta wadudu tukaanza kuwachezea kumbe ni siafu acha watung'ate tulilia kilio Cha mbwa Koko haraka tukakimbizwa hospital

Kutoka huko Mzee akaamuru turudishwe nyumban likizo ikaishia hapo.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ee tuendelee
 
Changamoto nyingine ni kuharibikiwa maisha maana wengi wao hudekezwaa sana.......

Yaan nashuhuda nyingi za vijana kuharibikiwa ki maisha SABB ya life style za kudekezwa kupita kiasi......

Watoto wa mum..am going....🤓😂🤣🤣
Tatizo ni moja..
Hawafundishwi kazi..
Mimi ki ukweli tulikua na maisha ya kawaida lakin nilizaliwa wa kike pekee miongoni mwa wavulana watano...so nilikua jicho la mama yangu.
Sikua nafanya kazi huku na huku akaja msichana wa kazi na mama alikua ashindwi nyumbani...yule dada alikua ananiforce nifanye kazi...aiseee nilimchukia kwa kipindi kile lakini natamani kumtafuta maana alinifundisha kazi.na alikaa mda mrefu balaa yaani miaka lakini ndo alinifundisha kazi...aliitwa FATUMA
 
Mtatuchamba bure, fikiria mtu hayo maisha tukiongea tulivyokulia anaona kama ni ndoto hayapo.
Bado amekuwa ramani haisomeki, hakuna rangi tutaacha iona.
Mungu ni mwema kila wakati kwa kweli...

Umaskini, umaskini na hasira vinaendana yaan wakuta mtu anakuchukua kisa unakula vizuri, au una miliki vitu vizuri au unatembelea gari,

Nisimulie mimi hata inbox Bantu Lady sitakuchamba [emoji1787]
 
Ngoja nikae kimya coz JF ukitaka uonekane kua ni mkweli basi jitangaze kua unapitia magumu na upo kwenye dhiki,kila mtu atakuonea huruma na kukuombea dua kisha kukutia moyo, sijui pambana utatoka tu,

Ukisema kua una good life, utasikia acha uongo,mtu mwenyewe upo kwa Shemeji yako unagombania remote na watoto wa Dada yako.

😀 😀
😂😂😂😭😂😂😂😂😂😂😂😂
 
IMG_20230101_185954.jpg
 
Mtatuchamba bure, fikiria mtu hayo maisha tukiongea tulivyokulia anaona kama ni ndoto hayapo.
Bado amekuwa ramani haisomeki, hakuna rangi tutaacha iona.
Mungu ni mwema kila wakati kwa kweli...
Huna baya bosi wangu Bantu Lady atakaekuzingua imekula kwake, ila boss uninunulie gari maana nimechoka kupanda matela ya ng'ombe
 
Umeandika Kwa hisia sanaa....[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]
Nimecheka sana hapo kwenye sembe ugali nafaka...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]
Mkuu ni ukweli tunajidanganya bure, tunafanana wote tunatofautiana viwango tu navipaumbele tu, sioni tajiri hapo, bourgeoisie au lords kama kule ulaya.......we are just lupens nikijimwambafai, hamna mwenye babu wawili matajiri, ikipata kazi TRA ya 5m@monthly na rusha ya 4m anajiona tajiri kwasbb ana vigari viwili Ist na ka crown Pumbavu.
 
Back
Top Bottom