MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
- Thread starter
- #61
Kuna mtu matokeo yalitoka akaona jina lake limetoka wilayani ila kesho yake majina yamekuja kubandikwa kwenye kata yao halipo. Ilikuwa kilio. Bahati nzuri mjomba wake akamfadhili kwenda private school.Nyakati ngumu sana miaka hiyo,mock unapasua vibaya National unapigwa chini nadhani ndo kipindi cha biashara ya majina waliofaulu inaangaliwa status ya familia ikoje nani aende nani asiende,ile ilikua sio kufaulu bali uchaguliwe unafaulu na hauchaguliwi