Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Halafu wewe Asprin kujifanya kwamba ni babu wakati bado janki tu, acha mambo hayo,Happy New year mjukuu
Najua wewe si mfupi. Nakuletea zawadi ya dera
Kuwa specific, hujawahi ona tatizo lipi? Utamu au wivu?Nimeshadeti na wafupi wa below 150cm zaidi ya 10 sijawahi kuona hilo tatizo. Na mke wangu ni mfupi miaka zaidi ya 20 sasa sijawahi kuona matatizo yaliyosemwa.
Tabia ya mtu haina uhusiano na kimo. Period...
Mfupi?Napitia comments
Yeah,150.5 cm mkuuMfupi?
Vinajidai vina msimamo. Eti mimi msimamo wangu ndo huu.Wabishiii...viburii...jeuriiii
From dating experience.
Ni vile wafupi hawajiamini wanajua utamwacha, pia wakorofi sana,Mkuu, wanawake wafupi wana wivu ni haijawahi kutokea, sijui ni kwa sababu ya nini..
Ukimuoa muda wote ni battle juu ya mambo ya wivu wivu tu, mi nilikuwa hata nikisema naenda kuangalia UEFA, ananivizia nyuma nyuma kuona kama natongoza wanawake.
Mahips au Vihips?Na mahips
Wanawake wanaonewa sana na ndio maana wakitupata nasi hawatuachiNdio, wale wanaume tuliooa wanawake wafupi tujuane tupeana changamoto za Hawa viumbe na ikiwezeka tuanzishe chama chetu cha wanaume waliooa wanawake wafupi Tanzania (chawawata) tuwe na mwenyekiti wetu na msemaji wetu karibuni
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kweli kabisa.Wabishiii...viburii...jeuriiii
From dating experience.
Wanabadilishana😂Hivyo mkishajuana ndo zitatatulika? 🤔
Kunywa bia popote ulipoNimeshadeti na wafupi wa below 150cm zaidi ya 10 sijawahi kuona hilo tatizo. Na mke wangu ni mfupi miaka zaidi ya 20 sasa sijawahi kuona matatizo yaliyosemwa.
Tabia ya mtu haina uhusiano na kimo. Period...
Ha ha haa,unazinguaYangu umeisoma? Kuhusu unyonyaji?
Ndio, wale wanaume tuliooa wanawake wafupi tujuane tupeana changamoto za Hawa viumbe na ikiwezeka tuanzishe chama chetu cha wanaume waliooa wanawake wafupi Tanzania (chawawata) tuwe na mwenyekiti wetu na msemaji wetu karibuni
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Mbona hujaniambia babu yako HAPPY NEW YEAR?Kunywa bia popote ulipo
Unatembea na tape measure afu unawapima kwanza? Kwangu mimi 1.72m ni mfupi sana.... ndo maana nasema swala la urefu na ufupi linategemea "ntu na ntu"Mkuu nasikia wana vina vifupi ukigusa tu inagota ni kweli!?mimi binafsi na deal na wanawake warefu tu kuanzia mita 1.72 kupanda juu
Unatembea na tape measure afu unawapima kwanza?