Ooooho nitakuwa msukule sasa Kama mke na mchepuko wote wafupi nyundo inakuaje dooh😥😥😥Ni wachafu na 90% ndio wanaloga watu!
Mimi ni mwanaume rijali.Wewe ni kiumbe gani usiyejua kutofautisha kitu kirefu na kifupi?
Mkuu, wanawake wafupi wana wivu ni haijawahi kutokea, sijui ni kwa sababu ya nini..
Ukimuoa muda wote ni battle juu ya mambo ya wivu wivu tu, mi nilikuwa hata nikisema naenda kuangalia UEFA, ananivizia nyuma nyuma kuona kama natongoza wanawake.
Sitaki kuamini kwenye list yangu haupo ohooo....Mbona hujaniambia babu yako HAPPY NEW YEAR?
Bado nakupenda ujue...
Hiyo bia utailipia?
Kumbe kuna mtu alikudanganyaga kuwa sikupendagi?Sitaki kuamini kwenye list yangu haupo ohooo....
Kumbe babu ulikuwa unanipendaga😒ohooo
Nitailipia babu hakuna tatizo
Hakuna mtu aliyenidanganya babu.matendo yanaongea zaidi😀😀Kumbe kuna mtu alikudanganyaga kuwa sikupendagi?
Au wewe mwenyewe ulishindwaga kusomaga alama za nyakati?
Hivi kumbe mizinga inaenda Na kimo ee...safi👊🏿Wana kina kifupi, wana kiburi afu wapiga mizinga balaa...
Basi punguza uzembe. Chukua hatua.Hakuna mtu aliyenidanganya babu.matendo yanaongea zaidi😀😀
Nafikiri nilishindwa kuyasoma
Ni balaa, vipi hujui hilo kumbe?! Vinapiga mizinga kimadharau sana utaskia "We mwanaume em nipe ka elfu kumi hapo nashida nacho" ukimwambia huna utaskia "Unaringia vijihela vyako hivyo, ka elfu kumi tu unaona nayo hela ya kunipa mpaka ujifikirie" [emoji23][emoji23]Hivi kumbe mizinga inaenda Na kimo ee...safi[emoji1534]
happy new year hubby.Happy New year my Mrs.
Unaoaje mwanamke mfupi au unataka mchimba visima ??Kiroka, mimi nimeoa mwanamke mfupi, mwanamke mfupi muelewe sana...
Kwanza, ana wivu wa kimiujiza duniani haujawahi kuwepo, muelewe sana na kuwa makini sana..Ila ni watamu duniani haijawahi kutokea, ngoja kwanza nimalizie bia, nitakuja kuendeleza.....
Hiyo ilikuwa tabia yake lakini sio kwamba ni mfupi mkuuNi balaa, vipi hujui hilo kumbe?! Vinapiga mizinga kimadharau sana utaskia "We mwanaume em nipe ka elfu kumi hapo nashida nacho" ukimwambia huna utaskia "Unaringia vijihela vyako hivyo, ka elfu kumi tu unaona nayo hela ya kunipa mpaka ujifikirie" [emoji23][emoji23]
Umenifanya nimkumbuke Rhoda aisee na wengine wafupi kama yeye ila ye alkua funga kazi..