Hii mikakati inapaswa kufanywa kabla Mkuu sasa mshawaweka ndani unadhani inawezekana?Tutapeana mikakati ya kuwakabili.
Nia ni njema tu namna ya kuwekana sawa ili tusifarakane.Hii mikakati inapaswa kufanywa kabla Mkuu sasa mshawaweka ndani unadhani inawezekana?
Cha zaidi ni kujiongeza machungu tu hasa pale mmoja wenu atakapoleta mazuri huku wewe unayopitia si mazuri. 😅
Ahsante na kwako pia babu. 🙏Happy New year mjukuu
Najua wewe si mfupi. Nakuletea zawadi ya dera
Hahaa!! Haya kila la kheri Mkuu japo kwenye kitu inaitwa mahusiano huezi zuia mifarakano ati.Nia ni njema tu namna ya kuwekana sawa ili tusifarakane.
Usijali. Ungekuwa mfupi ningekununulia kimini. Maana mwanamke mfupi akivaa dera jekundu utadhani umekutana na mtungi wa gas ya oryxAhsante na kwako pia babu. 🙏
Kweli mie sio kafupi. Hahahahaaaa. Haya bana babu nasubiria.
Wanakuwaga na U.T.I za Mara kwa Mara...mkizozana unakuwa unamuangalia kwa chiniNdio, wale wanaume tuliooa wanawake wafupi tujuane tupeana changamoto za Hawa viumbe na ikiwezeka tuanzishe chama chetu cha wanaume waliooa wanawake wafupi Tanzania (chawawata) tuwe na mwenyekiti wetu na msemaji wetu karibuni
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Hahahaaa. Lol.Usijali. Ungekuwa mfupi ningekununulia kimini. Maana mwanamke mfupi akivaa dera jekundu utadhani umekutana na mtungi wa gas ya oryx
Ukiwa tayari uniambie nikuelekeze nilipo uje uchukue dera lako. Naahidi ntakuvalisha mwenyewe
Sema wana upendo wa kweliMkuu, wanawake wafupi wana wivu ni haijawahi kutokea, sijui ni kwa sababu ya nini..
Ukimuoa muda wote ni battle juu ya mambo ya wivu wivu tu, mi nilikuwa hata nikisema naenda kuangalia UEFA, ananivizia nyuma nyuma kuona kama natongoza wanawake.
Huyo mkeo ana futi 3 mkuu😅 hii ni kimo cha nusu mlango! Atakuwa mluguru huyo bila shakaNilishakuwa na wapenzi sita wote wafupi, nikaachana nao nikaoa wengine wawili, nao ni wafupi.
Is this not enough experience? au unadhani ninadanganya?
Ufupi kuna vipimo vyao, na wakati wa kujifungua wananiambiaga mkeo ni mfupi sana, atajifungua kwa uangalizi maalumu, nadhani ni below cm150 kama sikosei..
Ww takwimu yako ni ya uongo kbsVifupi lakini huwa vina papuchi kubwa kama mfuniko wa ndoo.
Yes mifarakano ipo mingi, ila sisi hichi chama chetu tunapeana mbinu za kuipunguza na kukabiliana na mifarakano inayosababishwa na maumbile ya ufupi wao.Hahaa!! Haya kila la kheri Mkuu japo kwenye kitu inaitwa mahusiano huezi zuia mifarakano ati.
Ooh! Hapo sawa kama ni hivyo Mkuu.Yes mifarakano ipo mingi, ila sisi hichi chama chetu tunapeana mbinu za kuipunguza na kukabiliana na mifarakano inayosababishwa na maumbile ya ufupi wao.
HahahahahahNi wachafu na 90% ndio wanaloga watu!
Wabishiii...viburii...jeuriiii
From dating experience.
Kutokea usawa wa bahari? [emoji2][emoji3][emoji16]Ufupi unaozungumziwa hapa ni kuanzia futi ngapi?