Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Ikikupendeza tunaomba umkaribishe mumeo naye aje kwenye chama chetu atupe expirience kidogo 🤣Ooh! Hapo sawa kama ni hivyo Mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikikupendeza tunaomba umkaribishe mumeo naye aje kwenye chama chetu atupe expirience kidogo 🤣Ooh! Hapo sawa kama ni hivyo Mkuu.
Sasa si hawajataka kutuambia huo ufupi ni kilometa ngapi? Lazima tuulize tupate kujua
Kivipi mkuu,au nawe ni kafupi?Ww takwimu yako ni ya uongo kbs
Hahahaa. Mkuu ye anapambana na changamoto za wanawake warefu hivyo hiki chama chenu hakimfai.Ikikupendeza tunaomba umkaribishe mumeo naye aje kwenye chama chetu atupe expirience kidogo 🤣
[emoji16][emoji16] Ila Wana dharau km zote. Akiamua kukufanyia utajutaKivipi mkuu,au nawe ni kafupi?
Wewe ni mtata sana. Nimecheka kinoma.Sasa si hawajataka kutuambia huo ufupi ni kilometa ngapi? Lazima tuulize tupate kujua
Umejuaje mkuu akati nawe ni mwanamke mwwnzao?[emoji16][emoji16] Ila Wana dharau km zote. Akiamua kukufanyia utajuta
Ah na ww umeshindwa ata kujiongeza [emoji23][emoji23][emoji23]Umejuaje mkuu akati nawe ni mwanamke mwwnzao?
Sasa demu wako kama unamwona mrefu, hebu mpelekee Hasheem Thabit uone kama hatamwona mbilikimoWewe ni mtata sana. Nimecheka kinoma.
Bila shaka utakuwa mfupi[emoji38][emoji38] apa Kuna mabishano kati ya wenye experience na wanaosikia tu kwa watu pembeni.... Ila kiukweli Wana upendo wa dhati... Mengine ni kuvumiliana tu[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]Ni wachafu na 90% ndio wanaloga watu!
Sawa mfupi
Uliniona mkuu? [emoji38]Bila shaka utakuwa mfupi
🤪🤪🤪Basi punguza uzembe. Chukua hatua.
Nakusubiria chumbani
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣usitufanyie hivyo basiWanakuwaga na U.T.I za Mara kwa Mara...mkizozana unakuwa unamuangalia kwa chini
📌📌📌📌📌Sema wana upendo wa kweli
Naona unaandika comment ndefu sana kama na wewe ni mfupi [emoji38]Uliniona mkuu? [emoji38]
[emoji28][emoji28] mnatuonea sanaNaona unaandika comment ndefu sana kama na wewe ni mfupi [emoji38]
Unaogopa kuingia chumbani kwa babu?🤪🤪🤪
Nimecheka kwa sauti mno
Hee chumbani tena kha