Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OohTume imetangaza juzi kuwa zoezi rasmi litaanza mwezi wa saba na watanzia mkoa wa kigoma na zoezi kwa kila kituo litafanyika kwa siku saba tu
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
duuuuh kmbe ni siku saba tu apo poa sanaTume imetangaza juzi kuwa zoezi rasmi litaanza mwezi wa saba na watanzia mkoa wa kigoma na zoezi kwa kila kituo litafanyika kwa siku saba tu
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
wewe ulipigiwa? au unaskia tu?Nasikia washaanza kupiga Simu kwa waombaji
Kazi nyeti kama hiyo unampa mtu kwasababu hana ajira? Atawajibishwa na nani incase akikosea? Huruma inaponza. Kuna kazi za kuwapa hao ila sio hizi za uandikishajiHizi ajira kipaumbele kingekua ni wale wasiokua na ajira graduates na form four to six leavers si watumishi wa serikali!
Kuna mambo huwa tuna feli Sana kama taifa!
Kama wapinzani wanawekwa rumande hata kwa makosa ya kusingiziwa sisi ccm tumekosa namba ya kuwawajibisha wazembe!!?Kazi nyeti kama hiyo unampa mtu kwasababu hana ajira? Atawajibishwa na nani incase akikosea? Huruma inaponza. Kuna kazi za kuwapa hao ila sio hizi za uandikishaji
Sio kwenye vitu sensitive kama taarifa binafsi za watu! Uandikishwaji wa mpiga kura unahitaji umakini na usiri. Hao wengi mnaosema ni watoto sana unakuta mtu anaanza ku expose taarifa za wananchi kwa manufaa mabaya.Kama wapinzani wanawekwa rumande hata kwa makosa ya kusingiziwa sisi ccm tumekosa namba ya kuwawajibisha wazembe!!?