SangaweJr
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 2,986
- 2,664
Yes mwezi wa 2 na 3 mwakani.Mkoa wa Dar es salaam ni mpaka 2025??
Wameandika 27/2-12/3/25
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes mwezi wa 2 na 3 mwakani.Mkoa wa Dar es salaam ni mpaka 2025??
Wameandika 27/2-12/3/25
Acha masihara mzee ina maana tume ipange ratiba then iende kinyume na ratiba. 😁Mbona sisi tupo kazini kwa dar😂😂😂😂😂
Nan aliyekwambia tz kuna utaratibu😂😂😂😂Acha masihara mzee ina maana tume ipange ratiba then iende kinyume na ratiba. 😁
Nchi ngumu hii...Nan aliyekwambia tz kuna utaratibu😂😂😂😂
Hakuna maswali ukichaguliwa ndio umepita hivyoMaswali wanauliza nini jamani?
Asilimia kubwa maswali ni siri lakini kwa kiasi kikubwa uwe na uelewa na mambo au shughuli zote za TUME HURU YA UCHAGUZI + MATUMIZI YA COMPUTERMaswali wanauliza nini jamani?
juzi nimemsikia sa100 akisema uchaguzi wa serikali za mtaa ni mwezi wa 11. lakn hii ratiba inaonesha kuna mikoa majina yatatoka mpaka mwezi december, na mingine mpaka January next year. how comes?Wale wenye sintofahamu tumia ratiba hii kama muongozo kujua majina yatatoka lini eneo ulipo, farehe ya usahili na tarehe ya zoezi.
Uchaguzi serikali za mitaa hauhusiani na uchaguzi mkuu.juzi nimemsikia sa100 akisema uchaguzi wa serikali za mtaa ni mwezi wa 11. lakn hii ratiba inaonesha kuna mikoa majina yatatoka mpaka mwezi december, na mingine mpaka January next year. how comes?
Uchaguzi wa serikal za mitaa hausimamiwagi na tume....huo unahusika na TAMISEMI...(tawala za mikoa na serikal za mitaa) ,tume ya uchaguzi unadil na uchaguzi wa madiwani wabunge na urais ambao ni mwakani...juzi nimemsikia sa100 akisema uchaguzi wa serikali za mtaa ni mwezi wa 11. lakn hii ratiba inaonesha kuna mikoa majina yatatoka mpaka mwezi december, na mingine mpaka January next year. how comes?