Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Yeah na kirefu chake ni Azienda Genelale Italiana PretolAgip ni kampuni la mafuta la Italia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah na kirefu chake ni Azienda Genelale Italiana PretolAgip ni kampuni la mafuta la Italia.
AiseePombe ya Konyagi ni machozi ya simba.... Simba anakamatwa anachapwa kisha machozi yake yanakingwa na kuwekwa kwenye chupa
View attachment 2747530
🤣🤣🤣🤣🤣Usimseme nyerere atakusikia
Kumbe esso ni filling station nilijua ni mtaa asee, tena mtaa niliokulia kabisa 😂😂😂SHELLY, CALTEX, AGIP, BP, ESSO, TOTAL,
Kitambo hiyo zama za mwamba Mwalimu Nyerere Rais wa kwanza wa Tanzania Filling station zilikuwa na majina maalum kutoka nchi za mabeberu,SHELLY, CALTEX, AGIP, BP, ESSO, TOTAL, peke yake sio sasa hivi hata mimi naweza kuanzisha filling station yangu na nikaipa jina la mwendawazimu yeyote kati ya hawa GENTAMYCINE au CAPO DELGADO . 😁😁😁
Na ile kampuni ya tata wakasema yeye ndo alitoa idea ya neno tata kisa ni wa kanda maalumKwamba magari ya Jiefang eti Nyerere ana hisa.
Hii code ni ya chuga kabisa 🤠🤠🤠Ukipoteza kitu unatema mate mkononi, unayapiga na kidole.. Unaelekea sehemu yalipo eleke 🤔
Ndiyo 🤔Hii code ni ya chuga kabisa 🤠🤠🤠
Sinoni mitaa gani masta, kwa mwizarubi au kule dampo.?Ndiyo 🤔
HahahahaPombe ya Konyagi ni machozi ya simba.... Simba anakamatwa anachapwa kisha machozi yake yanakingwa na kuwekwa kwenye chupa
View attachment 2747530
🤣🤣🤣🤣Kupiga nyeto kunamaliza nguvu za kiume.
Hii fix kidogo niamini
1.Ukiwa umekaa chini mtu akikuruka iwe ni miguuni au POPOTE utakua mfupi mpaka akurudie......
2.mtu akikupigia ufagio utakua haunenepi..
3.kuchomeka kijiti kichwani ukitenda kosa Ili usichapwe au kunyonyoa kope kadhaa na kuzitupia mlangoni Ili usichapwe....
4.mvua ikinyesha huku jua linawaka eti simba anazaa
5. Mkono ukiwasha usiukune maana ni dalili za kuokota au kupata PESA [emoji3526][emoji4]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukiwa umekaa halafu mtu akasimama pembeni yako anakuwa anakunyonya damu [emoji3][emoji3]
Hii ilikuwa worldwide,, mana hata kwny ile movie ya bushman alivompoteza mdogo ake alifanya hvoUkipoteza kitu unatema mate mkononi, unayapiga na kidole.. Unaelekea sehemu yalipo eleke [emoji848]
Mkuu naunga mkono hoja..pia kupinga Ndiki..6. Kusimika/kushikilia fimbo wima wakati mbuzi/ng'ombe/Kondoo n.k anazaa, hataweza kuzaa. Ilibidi fimbo uilaze chini