Wale tuliopigwa fix mbalimbali zamani wakati bado tupo zama za giza bila internet tukumbushane fix mbalimbali

Wale tuliopigwa fix mbalimbali zamani wakati bado tupo zama za giza bila internet tukumbushane fix mbalimbali

Kitambo hiyo zama za mwamba Mwalimu Nyerere Rais wa kwanza wa Tanzania Filling station zilikuwa na majina maalum kutoka nchi za mabeberu, SHELLY, CALTEX, AGIP, BP, ESSO, TOTAL, peke yake sio sasa hivi hata mimi naweza kuanzisha filling station yangu na nikaipa jina la mwendawazimu yeyote kati ya hawa GENTAMYCINE au CAPO DELGADO . 😁😁😁

= SHELL

Hata hizo nyingi zilikuwa za watu binafsi kasome kuhusu "franchise" utanielewa.

Mpaka sasa pia kuna baadhi zina majina aina moja chini ya "franchise".
 
1.Ukiwa umekaa chini mtu akikuruka iwe ni miguuni au POPOTE utakua mfupi mpaka akurudie......

2.mtu akikupigia ufagio utakua haunenepi..

3.kuchomeka kijiti kichwani ukitenda kosa Ili usichapwe au kunyonyoa kope kadhaa na kuzitupia mlangoni Ili usichapwe....

4.mvua ikinyesha huku jua linawaka eti simba anazaa

5. Mkono ukiwasha usiukune maana ni dalili za kuokota au kupata PESA [emoji3526][emoji4]

6. Kusimika/kushikilia fimbo wima wakati mbuzi/ng'ombe/Kondoo n.k anazaa, hataweza kuzaa. Ilibidi fimbo uilaze chini
 
6. Kusimika/kushikilia fimbo wima wakati mbuzi/ng'ombe/Kondoo n.k anazaa, hataweza kuzaa. Ilibidi fimbo uilaze chini
Mkuu naunga mkono hoja..pia kupinga Ndiki..

Mbwa akiwa anakunya ukapinga vidole Kwa kuvivuta dimvi Lina mbana...
 
Back
Top Bottom