Wale tuliotoka familia masikini na tukatusua kimaisha tukutane hapa

Wale tuliotoka familia masikini na tukatusua kimaisha tukutane hapa

Hakukuwa na ulazima wa kutaja mshahara wako,watu wanalamba 1m per day huku
 
Wewe Mkulungwa01 ....
Hebu tujaribu kuwa na maisha yenye uhalisia jabo kdg... Ww si mkurugenz wa shirika X wala Y, wala si meneja wa X wala Z.........
Then post zako za awali zinakukataa kabisa.... How comes mwaka 2019 ulipangwa Jeshi kwa mujibu then leo ushakuwa meneja cjui mkurugenzi....

Kuna namna nyingi sana za kuwasilisha uzi pasi na kutudanganya na mesej ikafika vzr tu.

Wewe ni mwanafunzi wa chuo X na ushamaliza mwaka wa pili kwa sasa.
Bado unaishi maisha ya KUSADIKIKA.

Naomba kuwasilisha
 
Na wewe umeshtuka kama mimi [emoji1787][emoji1787]
Kwa miundo ya taasisi za serikali na umri mtu anamaliza chuo na hadi kupata ajira, miaka 31 unakuwa bado daraja la pili.

Kama ni mfamasia ni pharmacy II

Kama muhasibu ni accountant II

Nk. Nk

Hata umeneja tu kuupata kwa umri huo bado Sana.

Leo dogo anatuambia ni mkurugenzi wa bodi ya Shirika la umma [emoji23]

Sent from my vivo 1938 using JamiiForums mobile app
 
Wanajamvi nawasalimu!

Nilipokuwa chuo niliishi maisha magumu mno, mlo nilikuwa nakula mmoja tu napo ni jioni. Home hakukuwa na hela na hawakuweza kunilipia ada. Hela yote ya boom nilikuwa naigawa kulipa madeni, ada na pango, na kubakiwa na kiasi kidogo mno ambacho hunisogeza kwa siku chache tu.

Wasichana wazuri nilikaa nao mbali kwani sikuwa na cha kuwapa. Wanasema ni bora kujifanya unazo ili uwanase, ila kwangu uongo ulikuwa ni mwiko kwani aibu ya kuumbuka ni kubwa mno. Nimeshakosa tests kadhaa chuo kwa kukosa hela ya ada ila kwa uwezo tu wa Mungu nilifanikiwa.

Home hakuna hata mmoja aliyefika advance, ni mimi tu. Dada zangu karibia wote wanne walipata mimba na hawakuweza kusoma. Mmoja ameishia form four na akafeli.

Kaka zangi wawili wameishia la saba na kufeli kuingia form one.
Pata picha hapo maisha yalivyokuwa magumu. Ilifika wakati mtaani tulikuwa tunachekwa kwani tulijazana watu wengi ndani ya nyumba moja ndogo ya vyumba vitatu, na vyote uliishi humo kuanzia baba, mama, ndugu na watoto wote.

Narudi maisha ya chuo...Chuo sikuwahi kutembelea kumbi za starehe kwani sikuwa na pesa za kutosha, na ukizingatia DSM kila weekend wanachuo hufurika kumbi zote za starehe kula bata.

Nilivaa mavazi ya kimasikini japo si sana. Nilijitahidi kusoma kwa bidii na kwa uchungu mkubwa. Hakuna 'demu' yeyote aliyenipenda katika kipindi hiki, wote walinikwepa kama kinyesi. Ila sikuwa na kawaida ya kukopa kopa hela kwa watu au kulia lia shida hovyo. Kifupi nilikuwa ni masikini jeuri.

Sijui kilitokea nini ila kwa sasa ni manager katika shirika X la serikali hapa DSM, pia ni mkurugenzi wa body X ya shirika la serikali hapa DSM. Mishahara yangu yote miwili ni 8M plus marupu rupu, kwa mwezi.

Namshukuru Mungu kwa kunifuta machozi ya muda mrefu, na hayo ndiyo maisha niliyopitia chuo.

'Mungu na awaone wengj wanaopitia kipindi kigumu kwa muda huu'

Nawasilisha, karibuni tufarijiane na tukumbushane maisha haya ya uchungu.

Kwa sasa nashukuru Mungu wanangu wanaitwa WA KISHUA. Thanks lord![emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Hongera sana chief,Ila hio sometimes kuexpose hio figure ya net salary ni kutuumiza sisi magraduate tunaoishi kwa kubeti.
Ila hongera sana...shida Kama Moto zinaunguza unaungua
 
Umasikini umekuwa sifa.

Ila naona kipato unachopata ni cha kawaida sana kama hutachukua hatua kwenda mbele zaidi.
Unaweza ukatoa ratio ya watanzania wenye icho kipato na wasio nacho tuone ratio ikoje unaposema ni Cha kawaida.
Kumbuka hela ni number na number ni infinite.
So kila mmoja ana limit yake.
Umeona maisha kwanza aliyopitia mpaka kufikia hapo lakini ama umeandika kumuonyesha jamaa kuwa kipato chake si chochote
 
" Kutusua ' ni term pana sana, kuna watu wana ten digits income figures kwa mwezi na bado hawawezi sema wametusua!.

Bora hata ungesema" tuliopata mafanikio baada ya msoto '
Wewe Kama wewe wako no digits ngapi tuanzie hapo. So unataka jamaa aishi kufuata hao wa Fifteen digits?
Kila mtu Ana satisfaction point yake mkuu.
To be satisfied with yourself is the wealth but to be rich is measured by others.
Kumbuka Kuna difference ya kuwa wealth na kuwa rich.
 
Wanajamvi nawasalimu!

Nilipokuwa chuo niliishi maisha magumu mno, mlo nilikuwa nakula mmoja tu napo ni jioni. Home hakukuwa na hela na hawakuweza kunilipia ada. Hela yote ya boom nilikuwa naigawa kulipa madeni, ada na pango, na kubakiwa na kiasi kidogo mno ambacho hunisogeza kwa siku chache tu.

Wasichana wazuri nilikaa nao mbali kwani sikuwa na cha kuwapa. Wanasema ni bora kujifanya unazo ili uwanase, ila kwangu uongo ulikuwa ni mwiko kwani aibu ya kuumbuka ni kubwa mno. Nimeshakosa tests kadhaa chuo kwa kukosa hela ya ada ila kwa uwezo tu wa Mungu nilifanikiwa.

Home hakuna hata mmoja aliyefika advance, ni mimi tu. Dada zangu karibia wote wanne walipata mimba na hawakuweza kusoma. Mmoja ameishia form four na akafeli.

Kaka zangi wawili wameishia la saba na kufeli kuingia form one.
Pata picha hapo maisha yalivyokuwa magumu. Ilifika wakati mtaani tulikuwa tunachekwa kwani tulijazana watu wengi ndani ya nyumba moja ndogo ya vyumba vitatu, na vyote uliishi humo kuanzia baba, mama, ndugu na watoto wote.

Narudi maisha ya chuo...Chuo sikuwahi kutembelea kumbi za starehe kwani sikuwa na pesa za kutosha, na ukizingatia DSM kila weekend wanachuo hufurika kumbi zote za starehe kula bata.

Nilivaa mavazi ya kimasikini japo si sana. Nilijitahidi kusoma kwa bidii na kwa uchungu mkubwa. Hakuna 'demu' yeyote aliyenipenda katika kipindi hiki, wote walinikwepa kama kinyesi. Ila sikuwa na kawaida ya kukopa kopa hela kwa watu au kulia lia shida hovyo. Kifupi nilikuwa ni masikini jeuri.

Sijui kilitokea nini ila kwa sasa ni manager katika shirika X la serikali hapa DSM, pia ni mkurugenzi wa body X ya shirika la serikali hapa DSM. Mishahara yangu yote miwili ni 8M plus marupu rupu, kwa mwezi.

Namshukuru Mungu kwa kunifuta machozi ya muda mrefu, na hayo ndiyo maisha niliyopitia chuo.

'Mungu na awaone wengj wanaopitia kipindi kigumu kwa muda huu'

Nawasilisha, karibuni tufarijiane na tukumbushane maisha haya ya uchungu.

Kwa sasa nashukuru Mungu wanangu wanaitwa WA KISHUA. Thanks lord![emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Hv kumbe bado Kuna watu serikali hii wanapokea mishahara miwili au mm ndio sijaelewa


Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Wewe Kama wewe wako no digits ngapi tuanzie hapo. So unataka jamaa aishi kufuata hao wa Fifteen digits?
Kila mtu Ana satisfaction point yake mkuu.
To be satisfied with yourself is the wealth but to be rich is measured by others.
Kumbuka Kuna difference ya kuwa wealth na kuwa rich.
Mbona kama una ni attack? ,
Mie ni zero rated digit earner umefurahi?
Hoja yamgu haikuwa kumlinganisha na mtu mwingine , nimemfahamisha tu , kuwa hicho anachopata na kusema ametusua , kuna watu kwao ni peamut na bado wanajiona hawajafanikiwa ,

Yap kila mtu ana kiwango chake cha kutosheka ,ndo ilikuwa maana yangu,
Hoja ya wealth na the rich wala sio mahala pake hapa , huwezi kuajiriwa halafu ukaongelea utajiri. , employment and wealth , they just dont. Blend unless uwe mwizi kazini
 
Je sisi tulio toka kwenye maisha magumu na bado tunaishi kwenye maisha magumu.
Hatujatoboa bado tuna Reply wapi?
 
Wanajamvi nawasalimu!

Nilipokuwa chuo niliishi maisha magumu mno, mlo nilikuwa nakula mmoja tu napo ni jioni. Home hakukuwa na hela na hawakuweza kunilipia ada. Hela yote ya boom nilikuwa naigawa kulipa madeni, ada na pango, na kubakiwa na kiasi kidogo mno ambacho hunisogeza kwa siku chache tu.

Wasichana wazuri nilikaa nao mbali kwani sikuwa na cha kuwapa. Wanasema ni bora kujifanya unazo ili uwanase, ila kwangu uongo ulikuwa ni mwiko kwani aibu ya kuumbuka ni kubwa mno. Nimeshakosa tests kadhaa chuo kwa kukosa hela ya ada ila kwa uwezo tu wa Mungu nilifanikiwa.

Home hakuna hata mmoja aliyefika advance, ni mimi tu. Dada zangu karibia wote wanne walipata mimba na hawakuweza kusoma. Mmoja ameishia form four na akafeli.

Kaka zangi wawili wameishia la saba na kufeli kuingia form one.
Pata picha hapo maisha yalivyokuwa magumu. Ilifika wakati mtaani tulikuwa tunachekwa kwani tulijazana watu wengi ndani ya nyumba moja ndogo ya vyumba vitatu, na vyote uliishi humo kuanzia baba, mama, ndugu na watoto wote.

Narudi maisha ya chuo...Chuo sikuwahi kutembelea kumbi za starehe kwani sikuwa na pesa za kutosha, na ukizingatia DSM kila weekend wanachuo hufurika kumbi zote za starehe kula bata.

Nilivaa mavazi ya kimasikini japo si sana. Nilijitahidi kusoma kwa bidii na kwa uchungu mkubwa. Hakuna 'demu' yeyote aliyenipenda katika kipindi hiki, wote walinikwepa kama kinyesi. Ila sikuwa na kawaida ya kukopa kopa hela kwa watu au kulia lia shida hovyo. Kifupi nilikuwa ni masikini jeuri.

Sijui kilitokea nini ila kwa sasa ni manager katika shirika X la serikali hapa DSM, pia ni mkurugenzi wa body X ya shirika la serikali hapa DSM. Mishahara yangu yote miwili ni 8M plus marupu rupu, kwa mwezi.

Namshukuru Mungu kwa kunifuta machozi ya muda mrefu, na hayo ndiyo maisha niliyopitia chuo.

'Mungu na awaone wengj wanaopitia kipindi kigumu kwa muda huu'

Nawasilisha, karibuni tufarijiane na tukumbushane maisha haya ya uchungu.

Kwa sasa nashukuru Mungu wanangu wanaitwa WA KISHUA. Thanks lord![emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Mna pepo la umasikini kwenu kemea hiyo hali,inaweza kujirudia kwa kizazi chako/chenu
 
Umasikini umekuwa sifa.

Ila naona kipato unachopata ni cha kawaida sana kama hutachukua hatua kwenda mbele zaidi.

We ndii umetafsiri ni sifa mtu kutoa historia yake ubaya uko wp?!
 
Back
Top Bottom