Wale tuliowahi kufumaniwa tukutane hapa tupeane uzoefu wa jinsi ulivyookoka

Hahahaha
Dah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
M
Ni kweli mkuu,km ingekuwa jinai! umesoma tangia mwanzo?
Sijakosea hata nukta! mpaka hapo sina hata chembe ya jinai! zaidi ya mapenzi na Manka. tena ungenishukuru kwa kumhifadhi! endelea utaona mambo yalivokuwa!
Mkuu huyo mtu kafia kwako na kama hilo lingejulikana mapema wewe na mzee aliyekusaidia ndiyo mngekuwa suspect wa kwanza.

Maana kwanza hamkutoa taarifa za kifo chake na pili mlienda kumtupa kisirisiri...kwa hilo tu ni ngumu sana kuwa convince polisi otherwise.

Ni kweli huenda wewe hauna jinai...ila kuwashawishi wengine(vyombo vya serikali) waamini hilo ni ngumu sana kwa mazingira ya tukio.

Hili ungebaki nalo tu mkuu...uchunguzi mpya unaweza kuanzishwa.
 
Mangi malizia huu mkasa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna kitu kama hicho kwa hakika ya mimi, nakwambia, just relax, kwa sababu tulikwenda deep zaidi!
ki-social political sphere! kuna tofauti kubwa ''kutupa na kusetiri kwa siri!

Kwanza Manka aliniingiza mkenge kwa siri, alikuja akijua amefanya nini, na mimi pia nilifanya Kuinusuru nafsi na mtego wa tit for tat! kwa siri! nilishiriki na mzee kwa siri, hujui kuwa ningeweza kufa kwa hasira ya wananchi?

Hakuna kitu Tata Duniani km watu wenye hasira kali! hawashitakiwi, hawafungwi, hawajulikani! kibaka ni bora afie polisi kuliko watu! Mafarisayo na Masadukayo walijua Yesu ni mwana wa Mungu ila waliogopa ...watu!

Mkuu unajua Indication ya Postmortems? kwa nini inafanywa? inafanyiwa wapi? na Tabibu wa level gani?, wangapi wanakuwepo? na kwa nini wawepo hao? na kwa nini asifanyiwe mfu yeyote, ukiisoma na kuielewa hii unapata majibu!

Halafu wale Ma-askari wewe waonege hivihivi tu! wanapita! mtaani kwenu, na uniform zao wako very smart than you can simply imagine, uwezo wa hali ya juu! hata kwa kuangalia tu! Kinyonga akasome!

Uongo wa kuponya nafsi unaruhusiwa kisheria, hata km umetenda kosa! any way ukisoma mpaka mwisho utajua then simply utasema ''alah! kumbee! km ni hivo sawa!''

Mkuu uchunguzi mpya wa ki-hivo unaosema ni wa kizamani sana, Hao polisi wa ivo walisha kufa kwanza mbali na kustaaf,

Siku hizi Jeshi la polisi ni Modern and well sophisticated and computerised, ni sikitoto! wanajua kila mbongo, na ki-mwenendo! tuko million kadhaa tu, hamjai hata saver moja ya Jf,

Mkuu mfumo huu ni tofauti sana kwani hapo ulipo una cards ngapi? kuanzia na ya kupiga kura, ukifa leo computer ina-record, labda uwe nje ya huu mfumo wetu maridhawa, mkuu una Bima ya Afya?

Hata wewe hapo wanakujua! eb fikiri Gari yako inadaiwa wakiiona tu, unapigwa fine lipa kabla ya muda fulani, tena mwenyewe na nafsi yako chumbani kwako!

Uki-speed popote! utapata sms ina command Nyarusare lipa ume-speed leo pale Mbwewe, ukitokea Moshi kuja DSm! saa 9.5Am, tulikupa onyo mara kadhaa! umerudia lipa!

Sasa wanakuja na Camera za mitaani wee subiri tu, jipe muda, tena siyo za kutundika sijui maghorfani, no but indivisible Ba-loon Cameras survey, nchi nzima! ndo maana wanazuia Drone bila kibali.

Ukiwa na kosa lolote lile, km uko vizuri kimfumo, unajulishwa kwa sms, unajibu hapohapo, ukikaidi ndo unafuatwa, kwa shuruti, mkuu umefikiri kizamani kidogo!
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3],ikawaje mwisho wake?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu yetu, nguvu uliyotumia kujibu ungeendelea na simulizi tungekuwa mbali zaidi
 
Sintosahau nimeenda dar,hio nyumba niliofkia kuna binti yao,alitokea kunipenda saana.
Siku moja akanambia leo uje chumbani kwangu,nikamwitikia tu,kisha nikampotezea,
Mtoto alinimaind saana siku ya pili yake,ikapita kama siku 3 akanambia leo usiache kuja chumbani kwangu,nikambia poa
Siku hio nikategea ngoma nane usiku nikajua nyumba nzima washalala mwanaume nikajitosa,kibaya zaidi vyumbq vyote vya ndani na mlango wankutokra ni mmoja tu.
Yaani mtoto anaanza tu kuvua,mara mlango wa chumba chumbani unagongwa,tena jamaa anagonga huku akisema kwa sauti ya juu “Naseemaaa Funguaaa Mlangooo”
Daaah,nlitamani nifukue ardhi,akili ikaniijia nikazama kabatini,
Huyo aliekuwa akigonga mlango ni baba yake mdogo na binti,yaani alivofungua tu mlango cha kwanza akampa kofi zito mtt wa kike,hlf moja kwa moja akaja kufungua kabati huku akisema “Kwa usalama wako toka humo”
Aseeee jamaa kama alikuwa na machale vile,
Uzuri siku hio baba mzazi alikua amerudi yoka bar yupo taaban alikua kalala tu juu ya kelele zote hizo na nyumba nzima washaamka
Nkaanza kujitetea”Ooh minlikuja kumfata huyu binti ili akanifungulie mlango niende toilet” kwamaana hio nyumba choo na bafu vilikua kwa uani[emoji2]
Jamaa haelewi lugha amenikwida na shati,,
Ile kukurukakara tu,nikabahatika kuchomoka
Nakumhuka breki yng ya kwanza ilikua ni ubungo[emoji2]
Aseeee huo upuuzi nilisha apia kabxaa sintorudia tena,yaani hata mzigo sijala nikaishia kupata aibu na fedheha tu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao Walitaka Kukufukuza Walikua Wamekuchoka walitegea Mtego.
 
Ungekatwa kitendea kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…