Wale tuliowahi kufumaniwa tukutane hapa tupeane uzoefu wa jinsi ulivyookoka

Wale tuliowahi kufumaniwa tukutane hapa tupeane uzoefu wa jinsi ulivyookoka

Duh, Habari za Kufumaniwa zisikie kwa wenzio. Ni balaa

Binafsi enzi hizo Ndo balehe imepamba Moto, Harakati za kuwa mastaa wa Bongo fleva Ndo ukawa plan zetu.

Tulikua na kigrupu uchwala Cha Masharobaro wa Kitaa washakaji watano.

Kupendeza sana, kuimba Sana na kutokea viwanja vikali na kushindana kuopoa mademu wakali Ndo zilikua zetu.

Sasa kulikua na mchuano mkali wa Kutafta sifa za Mademu wangapi Wakali umegonga na Kati ya hao ulowatoa bikra Ni wangapi.

Basi ikitokea umemtoa demu bikra tena mrembo sana, Basi Ndo tayari unakua ushajihakikishia kua uyo Ni himaya yako, hatakiwi muhuni yeyote kutia maguu Wala kumshobokea tena.

Ila Ni Lazima uonyeshe kwanza ushahidi kwa washkaji ili WASHKAJI WAAMINIE, Salute kibao wakupigie.

Basi wikendi moja, Tuko club.
Kuna mtoto mmoja mrembo Sana nikapata KUCHEZA nae,

Baada ya mda, Mtoto akasema anaomba aende Kwao, Anajiskia haja kwenda haja Kubwa.
Nkamwambia usipate Tabu. Nyumbani sio mbali.
Twenzetu ukatumie choo Cha nyumbani.

Nkajiamini maana kipind hicho mama kaenda msibani, na mzee Yuko safar kikazi.

Kwahiyo ufunguo na uhuru wote ninao.

Kufika nyumbani,
Nkampapasa Mtoto kalainika. Nkavua penzi na chupi nkabakisha shati tu na kuanza KULA mzigo.

Uku dogo akilalamika Sana kua naumuumiza na Ndo mala yake ya kwanza.

Sikujali kelele zake nkajilia tu tunda.

Ile nmemaliza tu, Nawasha taa nkaona damu kibao zimetapakaa maeneo ya tumboni kwenye shati nililovaa.

Dah! Kidume nkajiona nshaitoa bikra na kwa damu zile Lazima nkawatambie washkaji.

Fasta fasta, nkajisemea
"Aisee huku nasubir kupiga Cha pili, Ni lazima nikamtambie kwanza mwana kua yule Mtoto nmemtoa bikra"

Nkamwambia dogo nisubiri mara moja.

Nkatoka bila kunawa kuelekea kwa mshkaji wangu nikampe hizi habar njema.

Nakatiza tu mtaani, pembeni Kuna glosari nkaskia Sauti ya Baba.
"Wee DeepPond, unaenda wapi usiku huu"

Duh! Nlijihisi kunyeshewa mvua ghafla.

Kugeuka nkaona Ni kweli Ni baba ananiita, Yuko na wanzie wanne wamezunguka meza wanapiga bia.

Nkajibu. " Naenda Dukani kununua Sabuni"

Baba: "Hebu njoo uchukue hii mboga nyumbani"

Mimi: sawa baba.

Nkasogea alipo baba.

Ghafla nkasikia mzee mmoja ananigusa.
" Wee Mtoto, mbona unadamu nyingi. Umepatwa na nini."

Kwa kiwewe nkajibu,
"Nimejikwaa nkavuja kidole, kwahyo rafiki yangu akawa anatumia shati langu kunifuta"

Mmh! Wazee wakaguna.

Mzee mmoja akadakia.
" Hebu tuinyeshe hicho kidole"

Duh, nkaona hapa pa Moto.

Kwa kiwewe nkabadilisha ile sentensi ya mwanzo.

Nkajitetea
"Hapana sio kidole changu Mimi kilichoumia, Ni kidole Cha rafiki yangu kaumia Ndo Nlkua Nampa HUDUMA ya kwanza."

"Kwahiyo apa Ndo nilikua naenda kununua Sabuni nimalizie kumsafisha nmemwacha nyumbani"

Mzee mmoja akadakia,
"Hapa Baba Deep inabidi utangulie nyumbani na uyu Dokta (mwenzao mmoja alikua doctor by profession) muone mtamsaidiaje uyo mwenzie, Afu wee endelea na Safari yako kalete iyo Sabuni."

Nkasema poa,
Nilipotoka pale fasta nkarudi home na kumwambia binti vaa fasta usepe mzee anafika mda SI mrefu.

Ile nmemshikia binti viatu, binti mwenyewe Ndo anamalizia kufunga vifungo vya blauzo tunatoka Ndo nafungua mlango kutokea sebleni.

USO KWA USO NA BABA MZAZI AKIWA NA YULE MWENZIE DOKTA.

Duh! Niliishiwa nguvu kabisa.

Mzee akauliza
"Huko ndo ulikoenda kufata sabuni?"

Sijajibu, Dokta nae akamuuliza binti...
"Wee ndo uliumia kidole Cha mguu?"

Binti akasema "Hapana"

Mzee akasema "hebu wote turudi ndani"

Dokta akasema "Haina haja, wee binti potea haraka Sana eneo hili. Halafu wee DeepPond Rudi ndani haraka Sana"

Nikarudi ndani fasta, binti akaenda nkawaacha mzee na Dokta kibarazani wanajadili.

Baada ya mda,
Mzee akarudi ndani na kunifungia kwa ndani Kisha yeye akaondoka pamoja na Dokta.

Midaya saa 8 usiku mzee karudi,

Akaniita sebleni akiwa na mwanzi wa maana.

Akasema
"Mwanangu umenitia aibu, mwanangu umenidharirisha.
Mwanangu umeitia familia yetu katika mikosi"

"Kutokana na maelezo ya yule Dokta inaonekana zile damu zimetokana na wewe kufanya mapenzi na mwanamke ambaye yuko kwenye siku zake."

Akanambia
"Sina mengi ya kuongea, naomba ulale kifudi fudi na mikono yako iweke nyuma"

Kisha mzee akanifunga miguu na mikono na kunining'iniza sebleni juu ya dari KICHWA chini miguu juu (nyumba haikua na Ceiling board)

Aisee nilikula stiki za kutosha mpaka adhana ya alfajiri ndo kaenda kulala.

Baada ya siku kadhaa kupita nakutana na yule binti anakiri kabisa kua
"nikweli siku ile nilikua blidi"

Dah! NILIUMIA SANA,

Aisee, SITOSAHAU kabisa jinsi zile Tambo za kutoa bikra zilivonitokea puani.


Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha
Dah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
M
Ni kweli mkuu,km ingekuwa jinai! umesoma tangia mwanzo?
Sijakosea hata nukta! mpaka hapo sina hata chembe ya jinai! zaidi ya mapenzi na Manka. tena ungenishukuru kwa kumhifadhi! endelea utaona mambo yalivokuwa!
Mkuu huyo mtu kafia kwako na kama hilo lingejulikana mapema wewe na mzee aliyekusaidia ndiyo mngekuwa suspect wa kwanza.

Maana kwanza hamkutoa taarifa za kifo chake na pili mlienda kumtupa kisirisiri...kwa hilo tu ni ngumu sana kuwa convince polisi otherwise.

Ni kweli huenda wewe hauna jinai...ila kuwashawishi wengine(vyombo vya serikali) waamini hilo ni ngumu sana kwa mazingira ya tukio.

Hili ungebaki nalo tu mkuu...uchunguzi mpya unaweza kuanzishwa.
 
Mangi malizia huu mkasa
Basi bana! katika lile kundi lililo nipiga search! kumbuka kuna Mzee wa makamu nilisha mng'ata sikio, kuhusu tukio zima la ile picha ilivo enda, na ikawa vile, pia alikuwemo!

Lakini baada ya search hawakuniacha hivi hivi, waliniuliza maswali mengi baada ya kumkosa ndani km hivi..
''Sema ulikuwa na Manka saa ngapi?''
Na mlifanya nini?,
Ulianza naye lini?
Ndo kamchezo kenu haka?
Kama umemtorosha utapata maatizo sema ukweli!

wengine sasa utasikia ''ukisema ukweli tu hatuna shida! yule ni mdada mtu mzima!''

Kwa kuwa nilishamsikia yule dogo aliye kuwa ametokea mpirani akitaja muda, na mimi nikataja mda huo huo! ili kupenyeza chembe za uongo mtakatifu unaofanana na ukweli nikasema

''ni kweli nilimuona muda wa saa tano, akipita karibu na kwangu, nilimsalimia tu, baada ya hapo sijui alielekea wapi!

Mzee niliye mtonya alicho kifanya usiku ule sasa, Baada ya watu kukata tamaa kuwa hayupo kwangu, yeye ndo akawa peer group Leader wa kuwahimiza kwenda kutafuta mbele na kwingine zaidi, ya maeneo ya nyumbani kwangu.

Katika huu muziki niliokuwa naucheza Baba mkuu, Siamini yalokuwa yanaendelea naliona kama Cinema flani hivi, na kwamba huenda watanirudia kupiga search upya! yaani ilmradi tu nilikuwa vile !

Huko mbele sasa Mzee wa mtonyo, akawa anazuga msisitizo, ''lazima apatikane tu'', na mimi huku nyuma nikafunga mlango wangu nikaungana nao tena,

Huku Moyoni nikisikitika kwa majuto na majonzi mazito, siyo namsikitikia Manka! ra hasha! nitakavyo kula kitanzi cha kuua maksudi, ......nikijisemea akilini kichwa wazi kaniponza!

Kundi likaendelea kutafuta mbele zaidi, ujue hapo wengine wamesha kata tamaa, wanaenda tu kwa kufuata mkumbo wakiwa na story zao, za hapa na pale! na wengine hasa wamama wamejiendea majumbani mwao!

Na wengine majirani zake walikuwa wanasema alikuwa ananyanyaswa hapo nyumbani kwao, mara alikuwa na kisirani, mara katoroshwa tu huyu binti mkubwa, ilimradi zoezi linaendelea!

Hatimaye kukawa kimyaaa!,
Mzee wa mtonyo sasa anavuta hisia za usikivu kotekote! maoni yao na mtazamo wao, kuhusu jambo hili, wakati anatafakari hayo, ananisogelea kwa chati, akasema ''hakuna kitu hapa haraka sana nikukute nyumbani kwako'' nikasema ''sawa''

Wakati hili zoezi la utafutaji linaendelea Mzee wa Mtonyo alijikausha kama hajui kitu vile! si kwangu wala kwa Manka!

Basi nikazuga kama nastukia sehemu za kiza kiza hivi kiutafutaji, mara nikapotelea huko kizani moja kwa moja mpaka nyumbani kwangu, polepole nikasubiri. hapo nilikuwa natembea kimachale sana nisionekane unajua kifo tena!

Yule mzee wa Mtonyo hakuchelewa sana naye akawa amefika, na kufanya yake, akasema nifuate nitakayo sema hii imesha tokea, usiseme ukisema! mimi simo, sababu nakusaidia wewe!.

Tukamviringisha marehemu Manka vizuri, ila palepale tatizo likajitokeza kwamba marehemu alitoa uharo mwingi, uharo huu tuliugundua baada ya kumgeuza geuza, na kumuweka uzuri,

Ujue hili lilikuwa ni zoezi la dakika chache sana, kwa mantiki kwamba tusijekutwa na umati tukiwa tunafanya haya! tukaubeba mwili wa Manka tukaondoka nao, Mimi mbele mzee nyuma! kwa masharti makali ''ukilialia! nakuachia huko huko mbele!''

Hapo kamvua kananyesha kwa mbaali, nikasema ''sasa wapi mzee?'' elekea kuleee! mara hivi, mara hivi, kidogo sana niachie mzigo, nilidhani km mzee ananiuza vile!

Wakati nawaza hayo Ghafla bin vuuu! bila kudhania, ilipiga Radi ni si kitoto!! ikawa kama imeturusha wote na ule mwili wa Manka, na kulala pembeni kwenye majani, lkn Manka akawa na alama Usoni!

Hapa na pale, tuka simama, Mzee kasema ''usishangae changamka sasa! huo uharo unauona?'' kuangalia nyuma yangu Daaaa! ni mchirizi wa uharo fyuuuuuu! mpaka nyumbani kwangu,........

Kwa ajili ya stress Macho yaliingia ndani, na midomo ilinikauka sana, tena pia nilisahau ndani kwangu kitambaa chake cha kichwani, niligundua wakati mzee alisha ondoka,

Hali ya salio la kitambaa ilinifanya kucheck kila mahali isije ikaweka kithibitisho! mbaya zaidi kifo nakiangalia hivi mpaka some times nakata tamaa!

Ilinichukua muda mrefu sana, nikimaanisha mrefu! kusahau hili jambo, kila nikivuta hisia mwili ulikuwa unasisimka, baadhi walijua na kunicheka, baadhi walinitia Moyo!

Nilifika mahali niliumia zaidi, pale Mdogo wangu wa damu, alivokuwa anatabasamu! wakati nipo kwenye lindi la maatizo,... tena basi kifo! sikushangaa nilijua ndiyo hali halisi ya ndugu!

Basi mkuu nikachukua kitu kama fagio hivi lililo chanua kwa mbele, nikaufagia ule uharo harakaharaka kwa ustadi, tokea nyumbani kwangu, mpaka pale penye mwili! but nyumbani kwangu nilikausha zaidi!

Kile kitambaa cha kichwani alicho kiacha, nilikitupa kwenye choo cha shimo, kupiga tochi hivi kikawa kinaonekana juu ya vinyesi! nikatupia mawe na udongo wapi, mara yaende pembeni, mara yafunike kidogo!

Nilitwaa jiti refuuu km ufito hivi nikakoroga kile kitamabaa kikawa kama kinyesi, Ok! nikahakikisha ndani pako shwari,

Asubuhi ya alfajiri na mapema kama kawaida SHILAWADU, wakaleta habari, Manka kapatikana maeneo fulani, lakini baba yake haamini kile kilicho tokea kwa mwanae!

Hapo sasa yakajitokeza makundi mawili, walio muunga mkono Baba yake Manka, na wasio muunga mkono! waliomuunga mkono ni wale waliopita maeneo hayo wakati wa kutafuta wakisema '' hapa! hapa! haiwezekani!

Lkn Baba yake Manka alisistiza kuwa, mlengwa hasa ni yule aliye kuwa na mwanae saa tano asubuhi. sababu story na maelezo kuhusu mwanae haya kwenda beyond saa tano asubuhi!

Na mtu pekee wa kuongea na Manka mida hiyo ni mimi, ukatokea ubishani si kidogo hapo, mzee wa Mtonyo naye akipiga mawe kwa mbaali, bila kutumia nguvu nyingi! ilikuniweka safe side!

Hapo ikabidi na mpenzi kindakindaki wa Manka atajwe na mdogo wa Manka! na akatafutwa, . kosa kubwa ni kwa nini hayuko hapa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
M
Mkuu huyo mtu kafia kwako na kama hilo lingejulikana mapema wewe na mzee aliyekusaidia ndiyo mngekuwa suspect wa kwanza.

Maana kwanza hamkutoa taarifa za kifo chake na pili mlienda kumtupa kisirisiri...kwa hilo tu ni ngumu sana kuwa convince polisi otherwise.

Ni kweli huenda wewe hauna jinai...ila kuwashawishi wengine(vyombo vya serikali) waamini hilo ni ngumu sana kwa mazingira ya tukio.

Hili ungebaki nalo tu mkuu...uchunguzi mpya unaweza kuanzishwa.
Hakuna kitu kama hicho kwa hakika ya mimi, nakwambia, just relax, kwa sababu tulikwenda deep zaidi!
ki-social political sphere! kuna tofauti kubwa ''kutupa na kusetiri kwa siri!

Kwanza Manka aliniingiza mkenge kwa siri, alikuja akijua amefanya nini, na mimi pia nilifanya Kuinusuru nafsi na mtego wa tit for tat! kwa siri! nilishiriki na mzee kwa siri, hujui kuwa ningeweza kufa kwa hasira ya wananchi?

Hakuna kitu Tata Duniani km watu wenye hasira kali! hawashitakiwi, hawafungwi, hawajulikani! kibaka ni bora afie polisi kuliko watu! Mafarisayo na Masadukayo walijua Yesu ni mwana wa Mungu ila waliogopa ...watu!

Mkuu unajua Indication ya Postmortems? kwa nini inafanywa? inafanyiwa wapi? na Tabibu wa level gani?, wangapi wanakuwepo? na kwa nini wawepo hao? na kwa nini asifanyiwe mfu yeyote, ukiisoma na kuielewa hii unapata majibu!

Halafu wale Ma-askari wewe waonege hivihivi tu! wanapita! mtaani kwenu, na uniform zao wako very smart than you can simply imagine, uwezo wa hali ya juu! hata kwa kuangalia tu! Kinyonga akasome!

Uongo wa kuponya nafsi unaruhusiwa kisheria, hata km umetenda kosa! any way ukisoma mpaka mwisho utajua then simply utasema ''alah! kumbee! km ni hivo sawa!''

Mkuu uchunguzi mpya wa ki-hivo unaosema ni wa kizamani sana, Hao polisi wa ivo walisha kufa kwanza mbali na kustaaf,

Siku hizi Jeshi la polisi ni Modern and well sophisticated and computerised, ni sikitoto! wanajua kila mbongo, na ki-mwenendo! tuko million kadhaa tu, hamjai hata saver moja ya Jf,

Mkuu mfumo huu ni tofauti sana kwani hapo ulipo una cards ngapi? kuanzia na ya kupiga kura, ukifa leo computer ina-record, labda uwe nje ya huu mfumo wetu maridhawa, mkuu una Bima ya Afya?

Hata wewe hapo wanakujua! eb fikiri Gari yako inadaiwa wakiiona tu, unapigwa fine lipa kabla ya muda fulani, tena mwenyewe na nafsi yako chumbani kwako!

Uki-speed popote! utapata sms ina command Nyarusare lipa ume-speed leo pale Mbwewe, ukitokea Moshi kuja DSm! saa 9.5Am, tulikupa onyo mara kadhaa! umerudia lipa!

Sasa wanakuja na Camera za mitaani wee subiri tu, jipe muda, tena siyo za kutundika sijui maghorfani, no but indivisible Ba-loon Cameras survey, nchi nzima! ndo maana wanazuia Drone bila kibali.

Ukiwa na kosa lolote lile, km uko vizuri kimfumo, unajulishwa kwa sms, unajibu hapohapo, ukikaidi ndo unafuatwa, kwa shuruti, mkuu umefikiri kizamani kidogo!
 
Ilitokea kumgegeda binti ya Mwalimu mkuu Jirani tu napoishi! baada ya kumsotea sana bila mafanikio, jumamosi moja saa5 kapita kitaa nikamsongisha upya, safari hii kiulaini tu,

km kawaida tukatinga maskani nimepiga cha 1 cha 2-3 nikapumzika . achana na mwanamke mwenye stress! atakurestisha in peace bure!

Demu akalala fofo! nikajipongeza navojua kazi yangu dhidi ya hawa viumbe! nkasema ngoja nimtengenezee Juice ya Parachichi! kweli ikawa tayari!

Nikamuamsha! amsha na wewe! kumbe ni wa zaamaniii! amesha nyooka mkuu! heee! nikamtania ''wacha utani manka amka bebi'' amna kitu! hapo mida imeenda ujue yapata saa mbili usiku! anatafutwa!

Kumbe Dem bana, alisha korofishwa huko kwao amekunywa sumu, inafanya kazi mwilini taatibu inamuondoa!

Nkatoka nje nikaona watu wanamtafuta mpaka wamekata tamaa wanarudi sasa, nikauliza kuna nini wakanipa story! ''Manka hajaonekana kwao tangia saa tano asubuhi!

Duuu nkaona Msala huu ''inanihusu moja kwa moja sasa ''ntakufa na huyuhuyu mzee nilie muuma sikio''

Nikamwambia hali halisi tukaenda kuangalia akakuta ni kweli, maneno yangu, akanipa akili, akasema.una hatari wewe kijana! mimi nalia tu Manka kunitoka Mzee kanifokea ''Nyamaza ukilia utalibeba mwenyewe mimi simo''.......

Mida kidogo kijana mmoja anafika kutoka mpirani,na mijasho tele, kaliona lile kundi la watafutaji akauliza kulikoni, Dogo kapata picha, akasema alipokuwa anacheza mtaani hapo asubuhi alimuona Manka! '' kwa nyarusare!''

Si ikabidi sasa ule umati ujiulize mbona sipo pale? moja kwa moja kwangu!......... yaliyotokea ndugu wana JF, Ni Mungu alinusuru tu! Nashauri vijana msibebe mizigo hovyo bora uoe basi tulia! na usiombe yakukute, kila dakika sema asante Mungu!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3],ikawaje mwisho wake?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna kitu kama hicho kwa hakika ya mimi, nakwambia, just relax, kwa sababu tulikwenda deep zaidi!
ki-social political sphere! kuna tofauti kubwa ''kutupa na kusetiri kwa siri!

Kwanza Manka aliniingiza mkenge kwa siri, alikuja akijua amefanya nini, na mimi pia nilifanya Kuinusuru nafsi na mtego wa tit for tat! kwa siri! nilishiriki na mzee kwa siri, hujui kuwa ningeweza kufa kwa hasira ya wananchi?

Hakuna kitu Tata Duniani km watu wenye hasira kali! hawashitakiwi, hawafungwi, hawajulikani! kibaka ni bora afie polisi kuliko watu! Mafarisayo na Masadukayo walijua Yesu ni mwana wa Mungu ila waliogopa ...watu!

Mkuu unajua Indication ya Postmortems? kwa nini inafanywa? inafanyiwa wapi? na Tabibu wa level gani?, wangapi wanakuwepo? na kwa nini wawepo hao? na kwa nini asifanyiwe mfu yeyote, ukiisoma na kuielewa hii unapata majibu!

Halafu wale Ma-askari wewe waonege hivihivi tu! wanapita! mtaani kwenu, na uniform zao wako very smart than you can simply imagine, uwezo wa hali ya juu! hata kwa kuangalia tu! Kinyonga akasome!

Uongo wa kuponya nafsi unaruhusiwa kisheria, hata km umetenda kosa! any way ukisoma mpaka mwisho utajua then simply utasema ''alah! kumbee! km ni hivo sawa!''

Mkuu uchunguzi mpya wa ki-hivo unaosema ni wa kizamani sana, Hao polisi wa ivo walisha kufa kwanza mbali na kustaaf,

Siku hizi Jeshi la polisi ni Modern and well sophisticated and computerised, ni sikitoto! wanajua kila mbongo, na ki-mwenendo! tuko million kadhaa tu, hamjai hata saver moja ya Jf,

Mkuu mfumo huu ni tofauti sana kwani hapo ulipo una cards ngapi? kuanzia na ya kupiga kura, ukifa leo computer ina-record, labda uwe nje ya huu mfumo wetu maridhawa, mkuu una Bima ya Afya?

Hata wewe hapo wanakujua! eb fikiri Gari yako inadaiwa wakiiona tu, unapigwa fine lipa kabla ya muda fulani, tena mwenyewe na nafsi yako chumbani kwako!

Uki-speed popote! utapata sms ina command Nyarusare lipa ume-speed leo pale Mbwewe, ukitokea Moshi kuja DSm! saa 9.5Am, tulikupa onyo mara kadhaa! umerudia lipa!

Sasa wanakuja na Camera za mitaani wee subiri tu, jipe muda, tena siyo za kutundika sijui maghorfani, no but indivisible Ba-loon Cameras survey, nchi nzima! ndo maana wanazuia Drone bila kibali.

Ukiwa na kosa lolote lile, km uko vizuri kimfumo, unajulishwa kwa sms, unajibu hapohapo, ukikaidi ndo unafuatwa, kwa shuruti, mkuu umefikiri kizamani kidogo!
Ndugu yetu, nguvu uliyotumia kujibu ungeendelea na simulizi tungekuwa mbali zaidi
 
Sintosahau nimeenda dar,hio nyumba niliofkia kuna binti yao,alitokea kunipenda saana.
Siku moja akanambia leo uje chumbani kwangu,nikamwitikia tu,kisha nikampotezea,
Mtoto alinimaind saana siku ya pili yake,ikapita kama siku 3 akanambia leo usiache kuja chumbani kwangu,nikambia poa
Siku hio nikategea ngoma nane usiku nikajua nyumba nzima washalala mwanaume nikajitosa,kibaya zaidi vyumbq vyote vya ndani na mlango wankutokra ni mmoja tu.
Yaani mtoto anaanza tu kuvua,mara mlango wa chumba chumbani unagongwa,tena jamaa anagonga huku akisema kwa sauti ya juu “Naseemaaa Funguaaa Mlangooo”
Daaah,nlitamani nifukue ardhi,akili ikaniijia nikazama kabatini,
Huyo aliekuwa akigonga mlango ni baba yake mdogo na binti,yaani alivofungua tu mlango cha kwanza akampa kofi zito mtt wa kike,hlf moja kwa moja akaja kufungua kabati huku akisema “Kwa usalama wako toka humo”
Aseeee jamaa kama alikuwa na machale vile,
Uzuri siku hio baba mzazi alikua amerudi yoka bar yupo taaban alikua kalala tu juu ya kelele zote hizo na nyumba nzima washaamka
Nkaanza kujitetea”Ooh minlikuja kumfata huyu binti ili akanifungulie mlango niende toilet” kwamaana hio nyumba choo na bafu vilikua kwa uani[emoji2]
Jamaa haelewi lugha amenikwida na shati,,
Ile kukurukakara tu,nikabahatika kuchomoka
Nakumhuka breki yng ya kwanza ilikua ni ubungo[emoji2]
Aseeee huo upuuzi nilisha apia kabxaa sintorudia tena,yaani hata mzigo sijala nikaishia kupata aibu na fedheha tu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sintosahau nimeenda dar,hio nyumba niliofkia kuna binti yao,alitokea kunipenda saana.
Siku moja akanambia leo uje chumbani kwangu,nikamwitikia tu,kisha nikampotezea,
Mtoto alinimaind saana siku ya pili yake,ikapita kama siku 3 akanambia leo usiache kuja chumbani kwangu,nikambia poa
Siku hio nikategea ngoma nane usiku nikajua nyumba nzima washalala mwanaume nikajitosa,kibaya zaidi vyumbq vyote vya ndani na mlango wankutokra ni mmoja tu.
Yaani mtoto anaanza tu kuvua,mara mlango wa chumba chumbani unagongwa,tena jamaa anagonga huku akisema kwa sauti ya juu “Naseemaaa Funguaaa Mlangooo”
Daaah,nlitamani nifukue ardhi,akili ikaniijia nikazama kabatini,
Huyo aliekuwa akigonga mlango ni baba yake mdogo na binti,yaani alivofungua tu mlango cha kwanza akampa kofi zito mtt wa kike,hlf moja kwa moja akaja kufungua kabati huku akisema “Kwa usalama wako toka humo”
Aseeee jamaa kama alikuwa na machale vile,
Uzuri siku hio baba mzazi alikua amerudi yoka bar yupo taaban alikua kalala tu juu ya kelele zote hizo na nyumba nzima washaamka
Nkaanza kujitetea”Ooh minlikuja kumfata huyu binti ili akanifungulie mlango niende toilet” kwamaana hio nyumba choo na bafu vilikua kwa uani[emoji2]
Jamaa haelewi lugha amenikwida na shati,,
Ile kukurukakara tu,nikabahatika kuchomoka
Nakumhuka breki yng ya kwanza ilikua ni ubungo[emoji2]
Aseeee huo upuuzi nilisha apia kabxaa sintorudia tena,yaani hata mzigo sijala nikaishia kupata aibu na fedheha tu


Sent using Jamii Forums mobile app
Hao Walitaka Kukufukuza Walikua Wamekuchoka walitegea Mtego.
 
Dah umenikumbusha mbali mkuu,

nilitongoza binti kumbe mke wa mtu bt yupo kwao coz walikua wana ugomvi na mumewe, so nikachukua chumba then akaja...
ile nimemla chakwanza mara mlango ukabishwa hodi, kufungu jamaa ananiambia namtafuta mke wangu then ile nahamaki jamaa kachomoa kisu... Nilitoka nduki hadi nakufa sintowah kusahau hii kitu na ilinifanya nibaki njia kuu hadi leo
Ungekatwa kitendea kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom