Wale tuliowahi kufumaniwa tukutane hapa tupeane uzoefu wa jinsi ulivyookoka


🤣🤣🤣🤣


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hahahahahahaha


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh noma sana mzee fumanizi nomaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nacheka lkn sio mazuri sasa embu tuambie mwendelezo jamaa alivyorudi kijijini ilikuwaje lete stori

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilifumwa na bi mkubwa namla beki tatu, hii aibu hadi leo kila nkikumbuka natamani kulia tena alinifuma ndo nakojoa cha kwanza nimesimamia ukucha mara pap taa inawashwa afu bi mkubwa anatupimia [emoji119][emoji119]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] duh mwanangu noumaaaa sanaa sipati picha ilikuwaje bao lilirud au lilikata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkeo yupo SMART kuliko wewe ndio maana alikudaka kizembe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya mambo Mkuu hatukomagi sijui kuna nini hapo kati!!! tatizo si tatizo sana, kufumaniwa ni burudani km umeruka viunzi , But ni hatari inayoweza kusababisha kifo cha Ghafla au polepole!!
Nevertheless wanawake ni werevu, kuliko mtu yeyote aweza fikiri, kimaisha ujanja wao unatuponya na Mengi,.. akhsanteni na tuendelee!

Jana Ijumaa majira ya saa tano asubuhi yamenikuta , sikwenda kazini nimezuga tu kitaa nikarudi zangu home, km kawa nikajaa Jf, wife yuko job!, katika maongezi ya kawaida shemeji yangu -19yrs yuko likizo ( CVD19) kaja sebuleni anachechemea!

Nikamuuliza ''kulikoni shemela? akajibu Mguu wauma!!! nkajibu ''haaa! ni sprain tu' chuwa na dawa ya Linment Alba ipo, nikampa hii hapa! ...
''shemela niiiichue jamaniii''... nkasema sawa,

Kumbe sprain iko nyuma ya magoti juu kidogo,... Lool! moyo wangu mie!.. nikachuwa bwana weee! , mpaka nikachuwa! kidogo kidogooo! si nikafika!!! bila ...! mmm!

Shida muda unaeenda na Ijumaa ni nusu siku kwa Wasabato, wanarudi mapema ajili ya Maandalizi ya Sabato, yaani siku inayo fuata ya jumamosi! wakati naendelea kuchua Pale, kivuli cha mke wangu kikakatiza dirishani fyaaa!!! kuelekea mlango mkubwa!

Ghafla bin vuuu! dogo mtu akazuga kwa kwi! kwi! serious na machozi juu! macho mekunduu! mimi sasa nikakazana kutumbulia mimacho JF, natikisa kichwa tu kimoyo moyo kwa uchungu! wa hayo niyafanyayo, najuta!.. hapa basi tena!... yule kaondoka na huyu ataondoka tu? Bila kutegemea....

Eeeeh! akaulizwa nini tena? ''shemeji kanipiga'' .... eti nimempiga shot !!!,..... heeeee! unataka kuniulia mume? mjifunzege! wewe hujui mambo haya ni hatari? kiroho kwatuuu! nikapata nguvu!

NIkapewa pole kwa matatizo, ''' yaani anataka kuni maliza huyu mdogo wako!'', eeeeh! dogo akawa amaeniokoa. nikaunganisha uzi pendwa!

yoote mpaka sasa sijui tutaendeleza libeneke au ndo kesha ogopa jumla, nasikilizia, lkn nawaasa JF ni Hatari msijaribu wala kuthubutu huu mchezo!
 
daah kweli ni balaah
 
Mkuu ukiona yafaa, naomab hiki kisa chako ukianzishie uzi wake maalumu ili tuweze kukisoma vizuri maana hapa wengine wa smati kitochi tunashindwa kupata mtiririko wake kwa usahihi
Ni imani yangu kuwa Ombi litazingatiwa
 
Hujamalizia ile story

Sent from my Infinix X559C using Tapatalk
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Tope hadi kwenye meno hii kali ya mwaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…