Hakuna kitu kama hicho kwa hakika ya mimi, nakwambia, just relax, kwa sababu tulikwenda deep zaidi!
ki-social political sphere! kuna tofauti kubwa ''kutupa na kusetiri kwa siri!
Kwanza Manka aliniingiza mkenge kwa siri, alikuja akijua amefanya nini, na mimi pia nilifanya Kuinusuru nafsi na mtego wa tit for tat! kwa siri! nilishiriki na mzee kwa siri, hujui kuwa ningeweza kufa kwa hasira ya wananchi?
Hakuna kitu Tata Duniani km watu wenye hasira kali! hawashitakiwi, hawafungwi, hawajulikani! kibaka ni bora afie polisi kuliko watu! Mafarisayo na Masadukayo walijua Yesu ni mwana wa Mungu ila waliogopa ...watu!
Mkuu unajua Indication ya Postmortems? kwa nini inafanywa? inafanyiwa wapi? na Tabibu wa level gani?, wangapi wanakuwepo? na kwa nini wawepo hao? na kwa nini asifanyiwe mfu yeyote, ukiisoma na kuielewa hii unapata majibu!
Halafu wale Ma-askari wewe waonege hivihivi tu! wanapita! mtaani kwenu, na uniform zao wako very smart than you can simply imagine, uwezo wa hali ya juu! hata kwa kuangalia tu! Kinyonga akasome!
Uongo wa kuponya nafsi unaruhusiwa kisheria, hata km umetenda kosa! any way ukisoma mpaka mwisho utajua then simply utasema ''alah! kumbee! km ni hivo sawa!''
Mkuu uchunguzi mpya wa ki-hivo unaosema ni wa kizamani sana, Hao polisi wa ivo walisha kufa kwanza mbali na kustaaf,
Siku hizi Jeshi la polisi ni Modern and well sophisticated and computerised, ni sikitoto! wanajua kila mbongo, na ki-mwenendo! tuko million kadhaa tu, hamjai hata saver moja ya Jf,
Mkuu mfumo huu ni tofauti sana kwani hapo ulipo una cards ngapi? kuanzia na ya kupiga kura, ukifa leo computer ina-record, labda uwe nje ya huu mfumo wetu maridhawa, mkuu una Bima ya Afya?
Hata wewe hapo wanakujua! eb fikiri Gari yako inadaiwa wakiiona tu, unapigwa fine lipa kabla ya muda fulani, tena mwenyewe na nafsi yako chumbani kwako!
Uki-speed popote! utapata sms ina command Nyarusare lipa ume-speed leo pale Mbwewe, ukitokea Moshi kuja DSm! saa 9.5Am, tulikupa onyo mara kadhaa! umerudia lipa!
Sasa wanakuja na Camera za mitaani wee subiri tu, jipe muda, tena siyo za kutundika sijui maghorfani, no but indivisible Ba-loon Cameras survey, nchi nzima! ndo maana wanazuia Drone bila kibali.
Ukiwa na kosa lolote lile, km uko vizuri kimfumo, unajulishwa kwa sms, unajibu hapohapo, ukikaidi ndo unafuatwa, kwa shuruti, mkuu umefikiri kizamani kidogo!