Wale tuliowahi kufumaniwa tukutane hapa tupeane uzoefu wa jinsi ulivyookoka

Wale tuliowahi kufumaniwa tukutane hapa tupeane uzoefu wa jinsi ulivyookoka

Hahaha
Write your reply...daah sitakaa nisahau alikuwa ni mwanafunzi nilikimbia usiku peku sikujali mbigiri wala miiba na bukta yangu ya chelsea kitumbo wazi kuwaepuka wagambo wazazi wakiume walinirushia ndonga likanipata kwenye bega mengine yalinikosa sitasahau


ila hivi viwanafunz vitamu aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah umenikumbusha mbali mkuu,

Nilitongoza binti kumbe mke wa mtu bt yupo kwao coz walikua wana ugomvi na mumewe, so nikachukua chumba then akaja. Ile nimemla cha kwanza, mara mlango ukabishwa hodi, kufungu jamaa ananiambia namtafuta mke wangu, then ile nahamaki jamaa kachomoa kisu. Nilitoka nduki hadi nakufa sintowahi kusahau hii kitu na ilinifanya nibaki njia kuu hadi leo.
 
Mkuu nilichomfanyia yule binti yao ndicho alichofanyiwa binti yangu, ninachoshukur tu ni kwamba wanafanya ki halali.
Dahhh...
Mkuu, ujuwe kila jambo lina mipaka yake. Yaani namaanisha kwamba, sio kila shuhuda ina good image kwenye public.
Binafsi nadhani, sio kila jambo linafaa kusema popote ama mbele za watu.

Samahani kama utajiskia sio poa kwa mtazamo wangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dahhh...
Mkuu, ujuwe kila jambo lina mipaka yake. Yaani namaanisha kwamba, sio kila shuhuda ina good image kwenye public.
Binafsi nadhani, sio kila jambo linafaa kusema popote ama mbele za watu.

Samahani kama utajiskia sio poa kwa mtazamo wangu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wakati ukweli unakuweka huru, zaidi ya kuandika kitu ambacho ni cha kufikirika hakuna ambaye atajifunza kupitia wewe, sijaandika nikiwa na furaha sana wala huzuni sana, nimejaribu tu kufupisha maneno nilipoandika kwamba hata binti yangu kapitia hali hiyo. Kama mtoto wa kike mpaka anafikia stage anaolewa unahisi kapitia mangapi ktk mapenzi? Mengi! Hakuna haja ya kuremba mwandiko sababu huyo tayari anajua do na dont
 
Hahahaa...ungekufa aise
Dah umenikumbusha mbali mkuu,

nilitongoza binti kumbe mke wa mtu bt yupo kwao coz walikua wana ugomvi na mumewe, so nikachukua chumba then akaja...
ile nimemla chakwanza mara mlango ukabishwa hodi, kufungu jamaa ananiambia namtafuta mke wangu then ile nahamaki jamaa kachomoa kisu... Nilitoka nduki hadi nakufa sintowah kusahau hii kitu na ilinifanya nibaki njia kuu hadi leo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah umenikumbusha mbali mkuu,

nilitongoza binti kumbe mke wa mtu bt yupo kwao coz walikua wana ugomvi na mumewe, so nikachukua chumba then akaja...
ile nimemla chakwanza mara mlango ukabishwa hodi, kufungu jamaa ananiambia namtafuta mke wangu then ile nahamaki jamaa kachomoa kisu... Nilitoka nduki hadi nakufa sintowah kusahau hii kitu na ilinifanya nibaki njia kuu hadi leo
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23]ungekufaa mzee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa yangu mtu wa totozi sana anaishi kijijini kama umbali wa kilometa 30 hivi kutoka mjini napoishi mimi. Sasa huyu jamaa kumbe alikua anamchakata demu fulani mke wa mtu. Nahisi wambea walimtonya mwenye mke kwani siku moja mwenye mke aliaga kua anasafiri lakini akarudi ghafla usiku mida kama saa 2-3 hivi.

Saa hiyo baharia wangu kashazama ndani mda mrefu anajilia vyake. Hamad jamaa kushtuka mwenye mke huyu hapa na ana bonge la sime! Sasa kosa alilofanya mwenye mke ni kuja mwenyewe kufumania, hakujua kama mgoni wake ni msuli mnene. Unaambiwa uliibuka mtanange pale ndani huku na huku jamaa yangu akafanikiwa kumpokonya sime na kumchoma nayo mwenye mke tumboni.

Jamaa akaanguka pale damu zinavuja mke kapiga ukunga watu wakaanza kujaa. Unaambiwa jamaa yangu alipopata upenyo alichomoka nduki kali. Kesho yake mida ya saa kumi na mbili asubuhi mi niko zangu geto nashangaa mshkaji anaibuka home kwangu yuko peku, kavaa bukta tu juu kifua wazi, matope mpaka kwenye meno (ulikuwa msimu wa mvua). Ndio jamaa kunihadithia kilichotokea na kwamba amekimbia tangu ule usiku mpaka asubuhi hiyo. Yeye akawa anajua ameua, ila kuja kufuatilia baadae tukajua kumbe jamaa hakufa ila tukaambiwa mshkaji anatafutwa na mandata. Basi jamaa alikaa kwangu kama mwezi then akahama akawa anasikilizia alipojua noma imeisha akarudi zake kijijini.
 
Back
Top Bottom