hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Hahaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Write your reply...daah sitakaa nisahau alikuwa ni mwanafunzi nilikimbia usiku peku sikujali mbigiri wala miiba na bukta yangu ya chelsea kitumbo wazi kuwaepuka wagambo wazazi wakiume walinirushia ndonga likanipata kwenye bega mengine yalinikosa sitasahau
ila hivi viwanafunz vitamu aisee
Sent using Jamii Forums mobile app