Write your reply...daah sitakaa nisahau alikuwa ni mwanafunzi nilikimbia usiku peku sikujali mbigiri wala miiba na bukta yangu ya chelsea kitumbo wazi kuwaepuka wagambo wazazi wakiume walinirushia ndonga likanipata kwenye bega mengine yalinikosa sitasahau
ila hivi viwanafunz vitamu aisee
Mkuu unajua sisi binadamu tunapenda kuwafanyia watu mambo maovu ambayo sisi hatupendi kufanyiwa..Mkuu, ebu chukuwa hicho ulicho kitenda alafu fanya kama ndio anafanyiwa binti yako huyo wa 20 years old.
Najuwa hoja haipigwi rungu, nimejikuta nawazatu
Sent using Jamii Forums mobile app
Dahhh...Mkuu nilichomfanyia yule binti yao ndicho alichofanyiwa binti yangu, ninachoshukur tu ni kwamba wanafanya ki halali.
Nikweli mkuu, lakini basi tufanye kwa kuto kukusudia.Mkuu unajua sisi binadamu tunapenda kuwafanyia watu mambo maovu ambayo sisi hatupendi kufanyiwa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wakati ukweli unakuweka huru, zaidi ya kuandika kitu ambacho ni cha kufikirika hakuna ambaye atajifunza kupitia wewe, sijaandika nikiwa na furaha sana wala huzuni sana, nimejaribu tu kufupisha maneno nilipoandika kwamba hata binti yangu kapitia hali hiyo. Kama mtoto wa kike mpaka anafikia stage anaolewa unahisi kapitia mangapi ktk mapenzi? Mengi! Hakuna haja ya kuremba mwandiko sababu huyo tayari anajua do na dontDahhh...
Mkuu, ujuwe kila jambo lina mipaka yake. Yaani namaanisha kwamba, sio kila shuhuda ina good image kwenye public.
Binafsi nadhani, sio kila jambo linafaa kusema popote ama mbele za watu.
Samahani kama utajiskia sio poa kwa mtazamo wangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah umenikumbusha mbali mkuu,
nilitongoza binti kumbe mke wa mtu bt yupo kwao coz walikua wana ugomvi na mumewe, so nikachukua chumba then akaja...
ile nimemla chakwanza mara mlango ukabishwa hodi, kufungu jamaa ananiambia namtafuta mke wangu then ile nahamaki jamaa kachomoa kisu... Nilitoka nduki hadi nakufa sintowah kusahau hii kitu na ilinifanya nibaki njia kuu hadi leo
sikuhizi tuna badilisha mbinuBahati mbaya nimeshasoma, siku nikiona unajitia kufua nguo wakati si kawaida yako nitajua tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaah hii nzurii... Maana usipomeza oohooMimi nilifumaniwa tena mbele ya kadamnasi, ikabidi nimeze karatasi yangu ya honda kupoteza ushahidi.
Ulikuwa n mtihan wa maths supplementary.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23]ungekufaa mzeeDah umenikumbusha mbali mkuu,
nilitongoza binti kumbe mke wa mtu bt yupo kwao coz walikua wana ugomvi na mumewe, so nikachukua chumba then akaja...
ile nimemla chakwanza mara mlango ukabishwa hodi, kufungu jamaa ananiambia namtafuta mke wangu then ile nahamaki jamaa kachomoa kisu... Nilitoka nduki hadi nakufa sintowah kusahau hii kitu na ilinifanya nibaki njia kuu hadi leo