Wale tuliowahi kufumaniwa tukutane hapa tupeane uzoefu wa jinsi ulivyookoka

Wewe ndio pacha wangu. Mi ndio ulikuwa mchezo wangu nalala humohumo ukweni, ndani ya geti opposite na chumba cha wazee.
 
hapo haukusumwa ulitaka kufumwa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna binti mtaa mmoja ana chumba kimoja kiko smart sana, hufanyi kazi yoyote, akaniamisha yuko mwenyewe ila Nilikua na doubt sana kama ni kweli, nikawa nammega humo siku moja moja.

Sasa kuna siku asub nikaenda, nikammega fresh, condoms ziko chini tu, yeye akatoka nikavaa nikaa kwenye sofa nivae buti, Mara nakuta kuna kipande ya mtu imeingia inauliza huyu yuko wapi, nikajua hali tete, nikamwambia katoka kaenda niitia rafiki yake anakuja. Jamaa akatoka nje, nikazificha fasta condoms nikam SMS demu, akashtuka mno, kumbe mwamba ndio anamweka mjini. Nikamwambia ila nimemwambia umeenda niitia mwenzio, so Njoo na yyte yule. Akaja na kademu fulani tukajifanya wapenzi nikaamsha nae namwacha demu, ila alimtandika kinyama huko nyuma na kumwacha.
Mwamba combat zilimtia wenge.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wew mjeda nini???? Aisee lasivyo angekukula kiboga
Sent using Jamii Forums mobile app
 
***** Walah...! Ukakatafuna nako hako kademu alikoenda kukuitia?. Mabaharia MUNGU anawaona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2012 ,natoka kumla demi Wangu ,kumbe nyumban kwao anatafutwa na dingi yake, ile namsindikiza kwao tulipokaribia kwao Mara nikamlikwa tochi Kali ,naamlishwa nikae chini,nasikia sauti tu coz mwanga wa tochi ulizuia nisione mbele ,nikajisemea moyoni hapa siwezi kufa kizembe lazima nitimue mbio coz mzee wake alikuwa na bucha nilijua hawez kosa kisu,nilitimua mbio nikaenda kupumzika kijiji cha tatu msara nikamwachia binti,alipigwa sana mpaka akachakaa,baada ya siku tatu nikarudi nyumbani,mzee alienda kumaliza kesi,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee mimi nilifumaniwa na sms, ilikuwa jumamosi moja hivi tupo na wife bed tunetumzika unajua tena jmosi uchovu na nini sasa nikawa na chati na binti mmoja mrembo sana mtumishi wa umma tumechat kwa sms zote mpaka tukaafikiana location na atangulie achukuwe room kabisa mara paap bint amefika room akarusha picha yupo location tayari kwa game anakula santiana mimi fasta nikaingia bafuni nikapiga maji huyo niwahi mgegedo nikamuaga wife naenda kuchek game ya mpira nimefika kwenye tukio huku napasha kwa bia mbili tatu full kushikana na binti mara simu ya wife ikawa inaita akaniuliza niko wapi ni mwambia nachek game mahali fulani nikapataja akasema una hakika nikasema ndiyo akasema basi poa.. dakika mbili baadaye nikona kwenye simu zangu mvua za sms zote tulizokuwa nachat na binti mh...nilipagawa nilikuwa mdogo kama piriton nikaharisha game hapo hapo nikasepa zangu huku nyuma kilichotokea nitaweka uzi hapa siku moja ngoja siku zisonge kidogo.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
ahahahahahahahahahahahahaahahahaha.
umenichekesha sana mkuu
 
ahahahahahahahahah...
brother Eyce hebu njoo ucheke huku.
 
Ahsante kwa kunileta huku maana nimechekaaa aseee hahaaa
ahahahahahahahahahahah.
vijana wana mabalaa hawaa.
kweli wanasemaga ukiona nyani mzee, basi kakwepa mishale ya kutosha.
ndio hii sasa
 
[emoji16][emoji16][emoji16] malizia basi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…