Wale tuliowahi kufumaniwa tukutane hapa tupeane uzoefu wa jinsi ulivyookoka

Wale tuliowahi kufumaniwa tukutane hapa tupeane uzoefu wa jinsi ulivyookoka

Ulikua mtindo wangu kila usiku sa sita sita ivi watu wamelala mimi nanyata kuelekea chumba cha beki tatu tandika mechi safi naenda kulala zangu najiona bingwa mwenyew kalikua katamu jamni 😁😁 basi 40 zikafika siku iyo nimenyata kama kawa nkaingia tukaanza mchezo siku iyo ilikua tamu kweli kweli mana sikusikia hata bi mkubwa akifungua mlango nkaona taa imewashwa tu aisee aliwaka pigwa makofi ya uhakka na beki tatu nae alichezea keleb za kutosha, msala uliisha kijuujuu tu japo alikuja kuondoka mana sio kwa aibu ile dah, sasa mda umepita tukawa sebuleni tunaangalia ze comedy tbc ikafika ile segment mwishon masanja anawachana watu wanaozingua si akaleta pigo za “na wale usiku ukifika mnanyata kwenda geto la mabeki tatu mpo mmetulia mnaangalia show!” maza alicheeeka kwanguvu nlijiskia vibaya 🤣🤣 dah kitambo sana.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuu hukuzimia kwelii

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sikuzimia lakini chamoto nilikiona kwa kweli, nilikuwa nachungulia kwenye kile kitobo cha funguo kama mjusi nikapata wazo nipige simu receiption nikauliza kama kuna mtu au watu wamekuja kulizia mtu nikambiwa hapana nilivaa fasta nikapitia uwani, gari nilipaki mbali kidogo huwa sipendi kupark lodge kama ninamzigo nilitembea kwa mwendo wa maktaimu huku nachanganya na mbio kufika kwenye gari, kufika kwenye gari niliondoka kwa speed kubwa tena kwa njia nyingine tofauti lengo nifike kwenye ile bar niliyomtajia nacheck game kufika mbele nikakosea njia nikatokea kwenye majengo shule flani mbele njia haitoki ikamilazimu nirudi barabara kuu nipitie njia nayoijua nilipofika kwenye hiyo bar nikaipeleka gari car wash nikaenda kucheck game ilikuwa ni game ya simba na yanga enzi ya kichuya, nikampigia simu wife lengo asikie keleleni ajue kweli nacheck game akawa hapokei simu.
 
Vip hakusema muachene mkuu maana hiyo ni live bila chenga

Sent using Jamii Forums mobile app
Haikufikia huko ila alinipotezea akawa haongei na mimi ikawa maisha ni ububu ndani na mimi nikaona isiwe kesi nikauchuna nikisubiri wakati hasira zake zitakapotulia ila baadaye ilimletea shida sana alipatashida ya kichwa kuuma sana kama magrine hivi kumbe ulikuwa msongo wa mawazo, Kuna dr mmoja pale Kairuki mama mmoja (sita msahau huyu mama) hivi ndiyo alikuwa anamtibu alituita pamoja na kutupa ushauri nasaa baadaye nikaona naweza kumpoteza mke nikaarrange safari ya kwenda Arusha kwenye mbuga za wanyama na kukaa hotel moja pale Arusha ya utulivu siku kadhaa nikaomba msamaha akaongea mengi sana na mimi nikaongea yangu basi akanisamehe ingawa kichwa kilichukuwa muda kupona lakini yaliisha.

Ingawa siku moja miaka kama miwili hivi tuliudhuria harusi moja ambayo yule binti alikuwepo sasa mimi nikiwa nje ya ukumbi alikuja huyu binti kunisalimia alikuwa ameshika glass ya wine anatembea kwa kuchchumia kama kiatu kimechomoka hivi siakanipa ile glass nishike ili aweke kiatu vizuri weweeeee mbona tuacha harus ikabidi tuondoke

Hii ni story nyingine nitafungulia uzi siku moja pia.
 
Mimi sikufumaniwa lakini nilikula demu wa mfumaniwa. [emoji3][emoji3] nilienda kwa mshikaji kubonga nae issue flani hivi ya maana, sasa wakati naongea na jamaa mara jamaa akamuona demu wake yulee anakuja. Jamaa akaanza kutetemeka kinoma kumbe ndani anakidemu kakificha, akaniambia ingia ndani jifanye huyo demu ni wakwako. Basi mi nikazama ndani mpaka chumbani natupa macho kitandani nakutana na pisi moja hivi ya maana kinyama. Demu akashtuka nikamuambia wewe teyari umeshafumaniwa haoa nimeambiwa nije tujifanye sisi ni wapenzi kwahiyo kila ntakachokuambia unafanya sawa? Mtoto akakubali huku anatetemeka kinoma. Basi bhana kuna mikondomu jamaa alikuwa ameitupa chini baada ya kugegeda nikaizoa ili demu wake atakapoingia kule chumbani asiione. Nikamshika mkono yule demu nikamuambia nifuate tukaingia chumba cha wageni muda simrefu jamaa nae akazama chumbani na mtu wake. Nilipiga kimoja cha fasta kisha nikatoka nae moaka kwangu, aisee siku hiyo nilikula mzigo balaa [emoji3][emoji3] halafu nilijipigia bila hata ndomu. Kila siku ikawa ndo mchezo wetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo binti alikuwa na gundu na ndoa yakooo pole sana aiseee... Lakini kama unamla fresh maana duu

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu, one day nikiwa safarini Dawasco walituletea bill kubwa sana nikamwabia wife aende pale akaongee nao tujue kulikoni akaongea na mmoja wa staff lakini hawakufikia muafaka ikabidi aombe kuongea na meneja mara paap kuingia ufosini anakutana na mhasimu wake alikuwa anakaimu umeneja kilichotokea ni story nyingine tena.
 
Asante mkuu, one day nikiwa safarini Dawasco walituletea bill kubwa sana nikamwabia wife aende pale akaongee nao tujue kulikoni akaongea na mmoja wa staff lakini hawakufikia muafaka ikabidi aombe kuongea na meneja mara paap kuingia ufosini anautana na mhasimu wake alikuwa anakaimu umeneja kilichotokea ni story nyingine tena.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuu serious?????? Daaha mamaee hiyo nuksi sio kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaaah hatari
Mimi sikufumaniwa lakini nilikula demu wa mfumaniwa. [emoji3][emoji3] nilienda kwa mshikaji kubonga nae issue flani hivi ya maana, sasa wakati naongea na jamaa mara jamaa akamuona demu wake yulee anakuja. Jamaa akaanza kutetemeka kinoma kumbe ndani anakidemu kakificha, akaniambia ingia ndani jifanye huyo demu ni wakwako. Basi mi nikazama ndani mpaka chumbani natupa macho kitandani nakutana na pisi moja hivi ya maana kinyama. Demu akashtuka nikamuambia wewe teyari umeshafumaniwa haoa nimeambiwa nije tujifanye sisi ni wapenzi kwahiyo kila ntakachokuambia unafanya sawa? Mtoto akakubali huku anatetemeka kinoma. Basi bhana kuna mikondomu jamaa alikuwa ameitupa chini baada ya kugegeda nikaizoa ili demu wake atakapoingia kule chumbani asiione. Nikamshika mkono yule demu nikamuambia nifuate tukaingia chumba cha wageni muda simrefu jamaa nae akazama chumbani na mtu wake. Nilipiga kimoja cha fasta kisha nikatoka nae moaka kwangu, aisee siku hiyo nilikula mzigo balaa [emoji3][emoji3] halafu nilijipigia bila hata ndomu. Kila siku ikawa ndo mchezo wetu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sikufumaniwa lakini nilikula demu wa mfumaniwa. [emoji3][emoji3] nilienda kwa mshikaji kubonga nae issue flani hivi ya maana, sasa wakati naongea na jamaa mara jamaa akamuona demu wake yulee anakuja. Jamaa akaanza kutetemeka kinoma kumbe ndani anakidemu kakificha, akaniambia ingia ndani jifanye huyo demu ni wakwako. Basi mi nikazama ndani mpaka chumbani natupa macho kitandani nakutana na pisi moja hivi ya maana kinyama. Demu akashtuka nikamuambia wewe teyari umeshafumaniwa haoa nimeambiwa nije tujifanye sisi ni wapenzi kwahiyo kila ntakachokuambia unafanya sawa? Mtoto akakubali huku anatetemeka kinoma. Basi bhana kuna mikondomu jamaa alikuwa ameitupa chini baada ya kugegeda nikaizoa ili demu wake atakapoingia kule chumbani asiione. Nikamshika mkono yule demu nikamuambia nifuate tukaingia chumba cha wageni muda simrefu jamaa nae akazama chumbani na mtu wake. Nilipiga kimoja cha fasta kisha nikatoka nae moaka kwangu, aisee siku hiyo nilikula mzigo balaa [emoji3][emoji3] halafu nilijipigia bila hata ndomu. Kila siku ikawa ndo mchezo wetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii mkuu ungeileta kule kwenye kula kimasihara
 
Aisee mimi nilifumaniwa na sms, ilikuwa jumamosi moja hivi tupo na wife bed tunetumzika unajua tena jmosi uchovu na nini sasa nikawa na chati na binti mmoja mrembo sana mtumishi wa umma tumechat kwa sms zote mpaka tukaafikiana location na atangulie achukuwe room kabisa mara paap bint amefika room akarusha picha yupo location tayari kwa game anakula santiana mimi fasta nikaingia bafuni nikapiga maji huyo niwahi mgegedo nikamuaga wife naenda kuchek game ya mpira nimefika kwenye tukio huku napasha kwa bia mbili tatu full kushikana na binti mara simu ya wife ikawa inaita akaniuliza niko wapi ni mwambia nachek game mahali fulani nikapataja akasema una hakika nikasema ndiyo akasema basi poa.. dakika mbili baadaye nikona kwenye simu zangu mvua za sms zote tulizokuwa nachat na binti mh...nilipagawa nilikuwa mdogo kama piriton nikaharisha game hapo hapo nikasepa zangu huku nyuma kilichotokea nitaweka uzi hapa siku moja ngoja siku zisonge kidogo.

Ningestua kimoko kwanza ndio nisepe..


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom