Wale Tulisoma Advanced kwenye Shule za Technical

Wale Tulisoma Advanced kwenye Shule za Technical

Kiingereza haikupendi mkuu '...despite of..!!'.
Hiyo sio lugha yangu ya kwanza mkuu na mimi nimesoma Sayansi sio

Literature au Language. Ila nashukuru mtaalam wa lugha nimeshaondoa hiyo
of
 
Ujumbe umefika boss, nimependa ulivyokubali kosa..utafika mbali kwenye maisha
Nashukuru mkuu learning is continuous process, kwa sisi

ambao tunaishi falsafa ya " Long life learning" tunapenda kujifunza
kila siku.
 
Back
Top Bottom