Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu naomba kufahamu namna ya kuinstall VPN kwenye IOS [emoji1545]
View attachment 1616946
VPN ziko kibao tena mwezi wa kwanza free then unalipia 0.8$ kwa mwezi iko strong balaaa
Vipi kama unatumia Yahoo Mail badala ya Gmail na umeshapita umri wa kushinda unajiposti vipicha vyako instagram au unafuatilia issue, umbea na vi picha vya Mondi na Mobeto instagram?Wasalaam,
Siku zote mkiambiwa iPhone ni kama gereza mnashupazaga shingo ooh...hamna simu kama Apple iPhone, security kubwa sijui blaah blaah!
Vipi mbona mmetandikwa kombora na wenye mtandao mmetulia tulii😂😂😂 toka jana hama insta😂, gmail, wala ukwaju! Ifike mahali Android ipewe heshima yake inavyostahili!
Android OS is the best ever OS to be invented!
Team Droid till I DIE!Vipi kama unatumia Yahoo Mail badala ya Gmail na umeshapita umri wa kushinda unajiposti vipicha vyako instagram au unafuatilia issue, umbea na vi picha vya Mondi na Mobeto instagram?
bado utahitaji android
umeshindwa kujibu loloteTeam Droid till I DIE!
Kwahio ukitumia Yahoo ndio unakuwa tied na iPhone? Au sababu utumii instagram cmon man!umeshindwa kujibu lolote
unaona hoja yako ilivyo dhaifu ?
sio kila mtu anahitaji GMAIL
na si kila mtu an interest ya kujiposti kala nini for lunch on instagram
au kufuatili maisha ya instagram ya wasanii
Kwa hiyo ukitumia Gmail ndio unakuwa tied na android? Come on man!Kwahio ukitumia Yahoo ndio unakuwa tied na iPhone? Au sababu utumii instagram cmon man!
Hahahahahha dah iwaume kwakweli watulie jela
Halafu huwezi tia app bila kupitia mle.[emoji23]
Ni wivu tu mkuu unakusumbua, inferiority complex, mbona tunabrowse vizuri tu.
Mkuu samahani kwa kuingilia,Vipi kama unatumia Yahoo Mail badala ya Gmail na umeshapita umri wa kushinda unajiposti vipicha vyako instagram au unafuatilia issue, umbea na vi picha vya Mondi na Mobeto instagram?
bado utahitaji android
kiongozi hii mbona ina ofa ya 50mb 24hrs,au kuna namna ya kufanya???Namna nyingine ya kuinstall ni kwa kutumia 3utools pc software,ni rahisi saana na very effective kuliko itune,
Pia kama una document by reedle(app)ile ina vpn inayofanya kazi vizuri kabisa,kwenye bar ya chin baada ya kufungua hiyo app utaona vpn then iturn onView attachment 1617014
View attachment 1617015
Basi mambo imekuwa safi [emoji3581]
Sijawahi kukurupuka, tuliza kipele dume icho