Wale wa bao moja chaliii tukutane tufarijiane na kujadili kivyetuvyetu!


Kwan wote wanatimiza hayo wewe
Ila kuwa mwanaume kazi mi bora niliumbwa mwanamke tu[emoji23][emoji23] Ndio maana wanaume wengi wanaleft group kuwa mwanaume kazii
 
[emoji23][emoji23][emoji23] ila wanaume wa kizazi hiki buree kabisa bora wa zamani
Uliona ile video mama mchungaji anasema wanaume wenye matatizo ya nguvu za kiume wapate mbelee
Hakuna alopita nilicheka sanaa

[emoji23][emoji23][emoji23] ndio ujue tunajiamini tunazo za kutosha sema ninyi ndio poor play
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…